Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

Tafuta kitu cha kufanya alafu kipende kitakubali hautahangaika na mambo ya ajira

Shida ni jamii najua unafanya ili uonekane uliomba ili yasije ya kuwa hautaki ajira .

Pole ila kumbuka kuwa

The real man is who stands alone.
 
Naam ni izi selection zilizoitwa juzi hapa za utumishi serikalini. Tunaenda pambana watu zaidi ya buku kusaka ajira za kudumu.

Gharama za nauli+chakula+malazi nenda rudi inakaribia 300k dah. Inaniuma lkn kwny maisha haya huwez pata kitu bila kurisk.

Ama kweli maisha bongo ni magumu sana, acha tukapambane.
Tupe uchambuzi yakinifu wa hyo laki tatu ila kama unaenda na ndege usitupe
 
Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Jpm jpm unajua kuwa kuna maafisa tarafa na watendaji kata walichaguliwa na Mh Rais bila hta kupita interview?? Tumsifie Kwa mwingne kwenye hili la ajira alivurundaaa big time
 
Wanaweza wasikuelewe mkuu kwa hii statement ila mimi ninakuelewa kwa asilimia 200%

Niliomba kazi ,nikaipata kazi kufanya kazi ikawa kazi sana daah
[emoji16][emoji16]
 
mi ningeshauri mtu a confirm kanda atakayo pigia pepa ya usahili then ndipo apewe number ya usahili lkn sio kama sasa wamechukua details za zamani halafu wanakupeleka mbeya kwenye usaili. dar -mbeya 50k nauli ujala ujalala,bdo kama utaingia oral uende domu. aiseeh utumishi ni miyeyusho mno kwa sisis ma absolute jobless
 
Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Kama mtu anatafuta kweli ajira kwa nia...basi hatakiwi kuwaza kuhusu hiz habari za connection!

Watu wanapata kazi bila kutumia connection yyte...Omba Mungu, weka juhudi utafanikiwa..
 
Kibanda cha chips mpaka ukisimike tu ni zaidi ya hiyo laki 3.nyie motivation speakers huwa mnapenda sana kudanganya watu.
Vipo vya kukodi Man na vifaa vyake ni wewe tu kuingiza mtaji tu
 
Laki 3
Tafuta vijana 10 andika karatasi zitoe kopi unatafuta watoto class 7 leaver wambie mshahara 150,000 /= plus sehem ya kuishi. Nunua sufuria kubwa la lita 60
Kanunue mayai trei 20 kwa 120,000/= nunua kuni za 10000. Chemsha mayai yako alfajiri then wape wazungushe kila mtu trei 2. Jion utakuwa na mauzo ya laki 3 maananyai moja ni 500. Na trei una mayai 30 so utakuwa na mayai 600. Kila mtu mpe chake 5000 ambayo itakugarimu elf 60. Utabakian na laki 240000 kama faida yako toa uchakavu elf 40 zingine weka bank fanya hivi ndani ya mwezi utakuja kurudisha mrejesho
 
mi ningeshauri mtu a confirm kanda atakayo pigia pepa ya usahili then ndipo apewe number ya usahili lkn sio kama sasa wamechukua details za zamani halafu wanakupeleka mbeya kwenye usaili. dar -mbeya 50k nauli ujala ujalala,bdo kama utaingia oral uende domu. aiseeh utumishi ni miyeyusho mno kwa sisis ma absolute jobless
Yan n changamoto sana, tatizo teknolojia yetu ni ndogo sana. Wanaweza wakawa wamefikiria hivo lakini kufanya kwa vitendo ikaonekana process ndefu. Mimi ndo kilichonikuta iko.
 
ODD 5 X 300k= 1.5M kabla ya kodi, kupanga ni kuchagua.

Mimi sibeti kabisa na sikushauri ila kama unayo pesa, nenda kafanye io interview kuliko kuipotezea.
 
Back
Top Bottom