Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

Sasa hyo laki tatu si mtaji huo wa biashara
Mkuu 300k ndio ni mtaji lkn at the same time ukifanikiwa kuajiriwa serikalini kuna faida nyingi mno haswa faida ya kuwa na ajira ya kudumu.

Biashara zinaporomoka mda wwt ndo changamoto yake na ukiangalia asilimia kubwa ya wafanyabiashara ni wawekezaji ambao awali walikua ni watumishi.
 
Naam ni izi selection zilizoitwa juzi hapa za utumishi serikalini. Tunaenda pambana watu zaidi ya buku kusaka ajira za kudumu.

Gharama za nauli+chakula+malazi nenda rudi inakaribia 300k dah. Inaniuma lkn kwny maisha haya huwez pata kitu bila kurisk.

Ama kweli maisha bongo ni magumu sana, acha tukapambane.
Ningependa kufahamu unatokea wapi kwenda wapi ilipo venue
 
Unajiskiaje baada ya kumkatisha tamaa? Ndo unajiona mwanaume kamili sio? Very stupid.
Wapi nimemkatisha tamaa? Kwahiyo nisimwambie ukweli? Asante mimi ni stupid ila nadhani wewe ni zaidi.
 
siku zote kazi atakayokupa Mungu ndio utaifurahia, izo unazorandaranda kwa akili yako huwa hazidumu, unafukuzwa au unaifanya kwa machungu everyday. mwombe Mungu akupe kazi.
Wanaweza wasikuelewe mkuu kwa hii statement ila mimi ninakuelewa kwa asilimia 200%

Niliomba kazi ,nikaipata kazi kufanya kazi ikawa kazi sana daah
 
Sekretarieti ya Ajira wanatoa kazi kwa vigezo vya UDINI...
Vijana wanaoomba kazi ni wengi tena wa dini zote watakao itwa kazini kama ni 100 ni chini ya 10 tu ndo wa Dini X na 90 wa dini Y
Are you sure about this?
 
Naam ni izi selection zilizoitwa juzi hapa za utumishi serikalini. Tunaenda pambana watu zaidi ya buku kusaka ajira za kudumu.

Gharama za nauli+chakula+malazi nenda rudi inakaribia 300k dah. Inaniuma lkn kwny maisha haya huwez pata kitu bila kurisk.

Ama kweli maisha bongo ni magumu sana, acha tukapambane.
Hivi kama interview ingefanywa online, gharama si ingekuwa bando tu? Yaani 10k nyingi!
 
Naam ni izi selection zilizoitwa juzi hapa za utumishi serikalini. Tunaenda pambana watu zaidi ya buku kusaka ajira za kudumu.

Gharama za nauli+chakula+malazi nenda rudi inakaribia 300k dah. Inaniuma lkn kwny maisha haya huwez pata kitu bila kurisk.

Ama kweli maisha bongo ni magumu sana, acha tukapambane.
Ni Wapi au nchi gani ambako maisha sio magumu?
 
Naam ni izi selection zilizoitwa juzi hapa za utumishi serikalini. Tunaenda pambana watu zaidi ya buku kusaka ajira za kudumu.

Gharama za nauli+chakula+malazi nenda rudi inakaribia 300k dah. Inaniuma lkn kwny maisha haya huwez pata kitu bila kurisk.

Ama kweli maisha bongo ni magumu sana, acha tukapambane.
Nlishachaga uo upumbavu wa kiwango Cha lami,..
 
Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
JPM alitoa ajira gani sasa, yeye si ndio alikua akijitapa sasa hivi anajenga nchi kipaumbele chake si ajira na hakuahidi kutoa zaidi akaja na ile Kiki yake ya viwanda. In fact yeye ndio kaongeza hili tatizo la ajira mara 1000.

Mama anazingua ila katika issue ya ajira amefanya vyema zaidi kuliko mtangulizi wake.
 
siku zote kazi atakayokupa Mungu ndio utaifurahia, izo unazorandaranda kwa akili yako huwa hazidumu, unafukuzwa au unaifanya kwa machungu everyday. mwombe Mungu akupe kazi.
Utajuaje hyo kazi kma ndio imepangwa aipate hyo
 
Back
Top Bottom