Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Ww nae una bwabwaja tu kipindi cha huyo mfu ndio watu walikua wanatembeza bahasha na kujuana kwa sana nyie sjui mlifumbwa macho na nani
 
Sekretarieti ya Ajira wanatoa kazi kwa vigezo vya UDINI...
Vijana wanaoomba kazi ni wengi tena wa dini zote watakao itwa kazini kama ni 100 ni chini ya 10 tu ndo wa Dini X na 90 wa dini Y
Ww na dini yako ambayo unaona hampewi kipaumbeke mlizembea kusoma mkawa mnavaa madera na kwenda kukariri lugha ya wenzenu sasa mambo yamewafika kooni mnaanza lalamika endeleeni kuvaa madera na shanga kabisa
 
Laki 3
Tafuta vijana 10 andika karatasi zitoe kopi unatafuta watoto class 7 leaver wambie mshahara 150,000 /= plus sehem ya kuishi. Nunua sufuria kubwa la lita 60
Kanunue mayai trei 20 kwa 120,000/= nunua kuni za 10000. Chemsha mayai yako alfajiri then wape wazungushe kila mtu trei 2. Jion utakuwa na mauzo ya laki 3 maananyai moja ni 500. Na trei una mayai 30 so utakuwa na mayai 600. Kila mtu mpe chake 5000 ambayo itakugarimu elf 60. Utabakian na laki 240000 kama faida yako toa uchakavu elf 40 zingine weka bank fanya hivi ndani ya mwezi utakuja kurudisha mrejesho
Ingekua simple hivyo ,nadhani kila mtu angekua billionea nchi hii
 
Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Ila wewe dada ni lijinga.

JPM kafanya kazi yake kamaliza.
Ila wewe umekuwa kama limsukule.

Sasa we unataka watu wafanyeje wakamfufue JPM aje aongoze.??

Jinga sana wewe.....
 
wewe huwa unasali? unaamini kuna Mungu? kama jibu ni ndio, hujui namna Mungu anavyosaidia wanadamu?
Mosi Mungu hasaidii bali huneemesha, neema zake anzipitisha kwa visababishi alivyoweka na miongozo mfano alivyofanya mtoa mada ndipo yeye anaoitisha anapata kazi basi hionkazi ndio amepewa na Mungu.



Sasa unachoandika wewe as if mtu alale geto na Mungu anamletea kazi
 
Mosi Mungu hasaidii bali huneemesha, neema zake anzipitisha kwa visababishi alivyoweka na miongozo mfano alivyofanya mtoa mada ndipo yeye anaoitisha anapata kazi basi hionkazi ndio amepewa na Mungu.



Sasa unachoandika wewe as if mtu alale geto na Mungu anamletea kazi
kwahiyo hapo ndio umetumia akili zako zoote kung'amua nini nimemaanisha kwenye hiyo sentence? au umebakisha walau kidogo kichwani.
 
Hiyo hela ukitafuta odd zako 10 kwenye mechi za wikiendi una mil zako 3


Lini vijana mtaanza kutumia akili zenu
 
Laki 3
Tafuta vijana 10 andika karatasi zitoe kopi unatafuta watoto class 7 leaver wambie mshahara 150,000 /= plus sehem ya kuishi. Nunua sufuria kubwa la lita 60
Kanunue mayai trei 20 kwa 120,000/= nunua kuni za 10000. Chemsha mayai yako alfajiri then wape wazungushe kila mtu trei 2. Jion utakuwa na mauzo ya laki 3 maananyai moja ni 500. Na trei una mayai 30 so utakuwa na mayai 600. Kila mtu mpe chake 5000 ambayo itakugarimu elf 60. Utabakian na laki 240000 kama faida yako toa uchakavu elf 40 zingine weka bank fanya hivi ndani ya mwezi utakuja kurudisha mrejesho
Nimejikuta nacheka hiz hesabu za makaratasi nzur sana

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kwenda na kurudi nauli ni elfu 14 tu,Lodge elfu 20,transport na misosi elfu 20 pia. Nimeji evaluate nikaona nitapoteza hii hela bure tu. MUNGU awatendee kadri itakavyompendeza wote mtakaohudhuria.
 
Laki 3
Tafuta vijana 10 andika karatasi zitoe kopi unatafuta watoto class 7 leaver wambie mshahara 150,000 /= plus sehem ya kuishi. Nunua sufuria kubwa la lita 60
Kanunue mayai trei 20 kwa 120,000/= nunua kuni za 10000. Chemsha mayai yako alfajiri then wape wazungushe kila mtu trei 2. Jion utakuwa na mauzo ya laki 3 maananyai moja ni 500. Na trei una mayai 30 so utakuwa na mayai 600. Kila mtu mpe chake 5000 ambayo itakugarimu elf 60. Utabakian na laki 240000 kama faida yako toa uchakavu elf 40 zingine weka bank fanya hivi ndani ya mwezi utakuja kurudisha mrejesho
Na huyu aliyeandika haya yooooote Ni mwajiriwa wa Serikali.
 
Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Acha uongo dada yangu ..
.jpm alikuwa ni mkabila mkubwa...ni wasukuma wachache waliopata vitengo, kama huamini naweza kukupa list nzima
 
Ukweli usemwe japo mchungu mama samia hana ukabila kabisaa anaepata ajira kipindi hiki anapata kwa jitihada zake binafsi, ila lile zee la chato mungu amsamehe bure huenda alikuwa anafanya asilolijua
 
Ila wewe dada ni lijinga.

JPM kafanya kazi yake kamaliza.
Ila wewe umekuwa kama limsukule.

Sasa we unataka watu wafanyeje wakamfufue JPM aje aongoze.??

Jinga sana wewe.....
Anaitwa mwamba jiwe, mtumbua majipu, mkomesha majizi, mzalendo wa watanzania si mwingine ni mkomesha vyeti feki tiriiiiiiiiiiiiiiii from chattle upo dogo?
 
Kama mtu anatafuta kweli ajira kwa nia...basi hatakiwi kuwaza kuhusu hiz habari za connection!

Watu wanapata kazi bila kutumia connection yyte...Omba Mungu, weka juhudi utafanikiwa..
Mkuu mimi sitafuti kazi. Kazi zenyewe za kupelekesha naweza basi? Uko nishatoka
 
Back
Top Bottom