Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

Natumia approximately laki 3 kwenda kwenye interview ya kazi ambayo ni Mungu tu ndo anajua kama ntaipata

We mbwa Jpm alimwajiri nani zaidi ya kujaza misukuma kwenye kila idara
Jiwe lilikupondwa bichwa baada ya kuwa na vyeti feki nini? Mbona asira?
We mbwa Jpm alimwajiri nani zaidi ya kujaza misukuma kwenye kila idara
Anaitwa mwamba

"John Joseph pombe magufuli. "

Nakupa amri imba ilio jina hapo juu mara 10 non stop. Haya anza....
 
Kwani unatokea(mkoa) wapi na unaenda kufanya usahili wapi(mkoa)
Mimi pia nilimuuliza hivi nilitaka nifanye mahesabu ya matumizi kama kweli hiyo laki 3 huwa inaisha kiuhalali, ila hajanijibu
 
Nyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Acha uongo watu wanapata ajira bila connection
 
Msiishie kuomba serikalini tu,hata kwenye mashirika ya kimataifa na makampuni ya nje,muwe mnachungulia kwenye tovuti zao.

Kingine mjifunze driving na muwe na passport(hati ya kusafilia)
"Kingine mjifunze driving na muwe na passport(hati ya kusafilia)"

Hz zna umuhmu/kazi gan mkuu?
 
Msiishie kuomba serikalini tu,hata kwenye mashirika ya kimataifa na makampuni ya nje,muwe mnachungulia kwenye tovuti zao.

Kingine mjifunze driving na muwe na passport(hati ya kusafilia)
Hii mwenye akili atachukulia poa lkn umewasanua vzr sana..Zipo nje nyingi sana za pesa ndefu..Ukisafiri nchi za watu ndio utapa ushuhuda wa hili. Tuche kutumia m itandao kutwa whatsup,Tiktok,insta...sijui mke wa Manara...Tuangalie fursa,zipo mikononi mwetu na sifa tunazo ila ujinga ujinga umetujaa pamoja na woga.
 
Wadau mlioniponda kwanini nimetumia hela yote hiyo kwaajili ya interview, nachukua nafasi hii kuwataarifu kuwa nimekua selected for oral interview out of more than 2000 candidates, n sina connection yyte. Nimekuja kusema ivo ili msiendelee kukatisha tamaa wengine. Tuombeane kwny iyo oral. Asanten
 
Wadau mlioniponda kwanini nimetumia hela yote hiyo kwaajili ya interview, nachukua nafasi hii kuwataarifu kuwa nimekua selected for oral interview out of more than 2000 candidates, n sina connection yyte. Nimekuja kusema ivo ili msiendelee kukatisha tamaa wengine. Tuombeane kwny iyo oral. Asanten
Mmeingia oral wangapi mkuu?
 
Wadau mlioniponda kwanini nimetumia hela yote hiyo kwaajili ya interview, nachukua nafasi hii kuwataarifu kuwa nimekua selected for oral interview out of more than 2000 candidates, n sina connection yyte. Nimekuja kusema ivo ili msiendelee kukatisha tamaa wengine. Tuombeane kwny iyo oral. Asanten
Hongera mkuu, ni kada gani na mmekuwa selected wangapi kati ya hao 2k
 
Hii mwenye akili atachukulia poa lkn umewasanua vzr sana..Zipo nje nyingi sana za pesa ndefu..Ukisafiri nchi za watu ndio utapa ushuhuda wa hili. Tuche kutumia m itandao kutwa whatsup,Tiktok,insta...sijui mke wa Manara...Tuangalie fursa,zipo mikononi mwetu na sifa tunazo ila ujinga ujinga umetujaa pamoja na woga.
Naomba kujuwa process za kupata hati ya kusafiria (passport) mkuu.
 
Back
Top Bottom