Jiwe lilikupondwa bichwa baada ya kuwa na vyeti feki nini? Mbona asira?We mbwa Jpm alimwajiri nani zaidi ya kujaza misukuma kwenye kila idara
Anaitwa mwambaWe mbwa Jpm alimwajiri nani zaidi ya kujaza misukuma kwenye kila idara
Mimi pia nilimuuliza hivi nilitaka nifanye mahesabu ya matumizi kama kweli hiyo laki 3 huwa inaisha kiuhalali, ila hajanijibuKwani unatokea(mkoa) wapi na unaenda kufanya usahili wapi(mkoa)
Acha uongo watu wanapata ajira bila connectionNyie mnaenda kusindokiza washawapata watu wao.
Jpm alikuwa ameweza huu upuuzi wa kujuana na kupeana kazi, watu walipata kazi kutokana na sifa zao sasa hivi aiiiiiii kazi mnayo.
Na vyeti feki watapata kazi hilo msisahau.
Acha uongoSekretarieti ya Ajira wanatoa kazi kwa vigezo vya UDINI...
Vijana wanaoomba kazi ni wengi tena wa dini zote watakao itwa kazini kama ni 100 ni chini ya 10 tu ndo wa Dini X na 90 wa dini Y
Hii sio makaratasi umekalili dogo ni kitu kirahisi sana mm nafanyaNimejikuta nacheka hiz hesabu za makaratasi nzur sana
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Sijui anataka tumsaidiaje wakati hataki kujibu maswaliMimi pia nilimuuliza hivi nilitaka nifanye mahesabu ya matumizi kama kweli hiyo laki 3 huwa inaisha kiuhalali, ila hajanijibu
Yes ni mwajiriwa ila nafanya hii biashara, vijana wangu wanauwezo kuuza trei 2 hadi 3 kwa siku napiga hela sio polepoleNa huyu aliyeandika haya yooooote Ni mwajiriwa wa Serikali.
"Kingine mjifunze driving na muwe na passport(hati ya kusafilia)"Msiishie kuomba serikalini tu,hata kwenye mashirika ya kimataifa na makampuni ya nje,muwe mnachungulia kwenye tovuti zao.
Kingine mjifunze driving na muwe na passport(hati ya kusafilia)
Kumbe akili ni kubet sikuhzHiyo hela ukitafuta odd zako 10 kwenye mechi za wikiendi una mil zako 3
Lini vijana mtaanza kutumia akili zenu
Hii mwenye akili atachukulia poa lkn umewasanua vzr sana..Zipo nje nyingi sana za pesa ndefu..Ukisafiri nchi za watu ndio utapa ushuhuda wa hili. Tuche kutumia m itandao kutwa whatsup,Tiktok,insta...sijui mke wa Manara...Tuangalie fursa,zipo mikononi mwetu na sifa tunazo ila ujinga ujinga umetujaa pamoja na woga.Msiishie kuomba serikalini tu,hata kwenye mashirika ya kimataifa na makampuni ya nje,muwe mnachungulia kwenye tovuti zao.
Kingine mjifunze driving na muwe na passport(hati ya kusafilia)
Mmeingia oral wangapi mkuu?Wadau mlioniponda kwanini nimetumia hela yote hiyo kwaajili ya interview, nachukua nafasi hii kuwataarifu kuwa nimekua selected for oral interview out of more than 2000 candidates, n sina connection yyte. Nimekuja kusema ivo ili msiendelee kukatisha tamaa wengine. Tuombeane kwny iyo oral. Asanten
Hongera mkuu, ni kada gani na mmekuwa selected wangapi kati ya hao 2kWadau mlioniponda kwanini nimetumia hela yote hiyo kwaajili ya interview, nachukua nafasi hii kuwataarifu kuwa nimekua selected for oral interview out of more than 2000 candidates, n sina connection yyte. Nimekuja kusema ivo ili msiendelee kukatisha tamaa wengine. Tuombeane kwny iyo oral. Asanten
Naomba kujuwa process za kupata hati ya kusafiria (passport) mkuu.Hii mwenye akili atachukulia poa lkn umewasanua vzr sana..Zipo nje nyingi sana za pesa ndefu..Ukisafiri nchi za watu ndio utapa ushuhuda wa hili. Tuche kutumia m itandao kutwa whatsup,Tiktok,insta...sijui mke wa Manara...Tuangalie fursa,zipo mikononi mwetu na sifa tunazo ila ujinga ujinga umetujaa pamoja na woga.
Mkoa gani huo mkuu wanauza mayai ya kupika 500?Yes ni mwajiriwa ila nafanya hii biashara, vijana wangu wanauwezo kuuza trei 2 hadi 3 kwa siku napiga hela sio polepole