Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Huyo anaongea mambo asiyoyajua
Agano la kale Mungu alionekana sana sababu walikua wanatoa sadaka sana

Ukishakua na fikra potofu kwamba hawa naowapa sadaka wanaenda kula utapoteza kikubwa sana wakila watajuana na Mungu we haikuhusu

Na ufalme wa Mungu unakuja kwenye mambo matatu
Kutoa sadaka
Kuombea watu wengine na sio wewe mwenyewe
Kuhubiri
Mambo yapo kwenye bibilia sijui yeye anasoma bibilia ipi, lipo neno linalosema amtolea bwana atamkumbuka siku za shida, lipo lingine linasema mwenye mkono wa kutoa ndivyo atabarikiwa sana shida imani ni pana sana na hajaamua kuijua, hata kunena kwa lugha anakataa sasa utamjibu lipi kati ya hayo anayoyapinga, aishi inavyompendeza
 
Kuna sehemu nimewaambia watu wasile kuna katazo lolote lile kwenye uzi wangu
Ebu nionyeshe
HUONI UNAPO SEMA WATU WATUMIE CODE ILI MUNGU AWAJIBU AU ATAJIBU MAOMBI HUONI WATU WATAACHA KUOMBA KAMA WALIVYO KUWA WANA MUELEKEA MUNGU WAO NA KUANZA KUFUATA MAFUNDISHO YAKO YA CODE AMBAYO NI POTOFU. HUONI HAPO WEWE NDIE UTAONEKANA UMEWEKA KATAZO.
 
Mambo yapo kwenye bibilia sijui yeye anasoma bibilia ipi, lipo neno linalosema amtolea bwana atamkumbuka siku za shida, lipo lingine linasema mwenye mkono wa kutoa ndivyo atabarikiwa sana shida imani ni pana sana na hajaamua kuijua, hata kunena kwa lugha anakataa sasa utamjibu lipi kati ya hayo anayoyapinga, aishi inavyompendeza
UNA SAFARI NDEFU SANA ETI AMTOLEAYE BWANA.... ALIE KUAMBIA MUNGU ANAHITAJI FEDHA NI NANI

YESU ANAPENDA MWANADAMU ANAYE SAIDIA WANADAMU WENZAKE WENYE SHIDA HILO NDIO LIMEBEBA AMRI YAKE KUU "UPENDO "
 
HUONI UNAPO SEMA WATU WATUMIE CODE ILI MUNGU AWAJIBU AU ATAJIBU MAOMBI HUONI WATU WATAACHA KUOMBA KAMA WALIVYO KUWA WANA MUELEKEA MUNGU WAO NA KUANZA KUFUATA MAFUNDISHO YAKO YA CODE AMBAYO NI POTOFU. HUONI HAPO WEWE NDIE UTAONEKANA UMEWEKA KATAZO.
Kuna ubaya gani nimekuuliza swali kuna sehemu nimekataza watu wasiombee hili swali hutaki kulijibu????
Mwache Mungu an-judge na sio wewe
Umeshawahi kupewa mzigo wa kuombea watu alafu na wewe una changamoto kibao
 
Kwani Abraham baba wa taifa aliambiwa afanyaje nini na Mungu, shida una argue with no fact
POLE SANA WE JAMAA MTUPU SANA JE ABRAHAM MUNGU ALIMUAMBIA ATOE FEDHA AU SADAKA YA KUTEKETEZWA?? ILIYO KUWA INAENDA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU NA HIYO SADAKA ILIWEKWA NA MUNGU MWENYEWE.

JIFUNZE VIZURI UELEWE MAANA YA AGANO LA KALE NA JIPYA

YESU ALIFANYIKA SADAKA MSALABANI YEYE SASA HIVI ANAHITAJI REHEMA (KUSAIDIA) KAMA ALIVYO FANYIKA MSAADA YEYE YANI TUPENDANE SISI KWA SISI NA KUSAIDIANA.
 
POLE SANA WE JAMAA MTUPU SANA JE ABRAHAM MUNGU ALIMUAMBIA ATOE FEDHA AU SADAKA YA KUTEKETEZWA?? ILIYO KUWA INAENDA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU NA HIYO SADAKA ILIWEKWA NA MUNGU MWENYEWE.

JIFUNZE VIZURI UELEWE MAANA YA AGANO LA KALE NA JIPYA

YESU ALIFANYIKA SADAKA MSALABANI YEYE SASA HIVI ANAHITAJI REHEMA (KUSAIDIA) KAMA ALIVYO FANYIKA MSAADA YEYE YANI TUPENDANE SISI KWA SISI NA KUSAIDIANA.
Sawa mjuzi mimi sina la kuongeza
 
Naona mleta mada kajiingiza kwenye mabishano badala ya kuendelea na kazi yake.Sio kila swali linahitaji kujibiwa ukifanya hivyo unaenda kupoteza mwelekeo
uku na uku mara mleta mada katoa shati na kubaki kifua wazi,,,anatikisa manyonyo kibabe inaelekea anataka kupigana

hatujakaa sawa katupa ngumi kama mandonga,,,ngumi inamkosa mtu

zogo linazidi watu wanaanza kutawanyika kelele zinazidi oooh ooh,,,wengine wanahoji sa imekuwaje kwani uyu si bamchungaji wajameni?

kumbe bado hajamaliza,,,kachomoa panga kama la maasai kiunoni uku anashusha code za hatari

apo sasa pagum kila mmoja anapotelea kwake🤣🤣🤣
 
Bible code number 55:- PERESI MENE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Yesu kutoa mapepo/majini yanayomsumbua mtu
(Luka 8:26-32)​
  • Unasumbuliwa na majini mahaba
  • Ugonjwa wa ajabu uliosababishwa na majini
  • Kichaa kilicho sababishwa na majini
  • Utahira uliosababishwa na majini
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka majini yatakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka majini yatakapoondoka
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

MUHIMU
Ukishatoa sumu ya kulogwa hakikisha unabatizwa na Yesu kwa Roho mtakatifu na moto kupitia foundation bible code X na Yesu kukutawadha kupitia foundation bible code XX
 
Bible code number 63:- MENE MENE LEPE LEPE
Kazi yake:- kukupa furaha ya asili
(Filipi 4:4)
  • Kama uko kwenye depression itakusaidia kupata furaha
  • Itakuwezesha kusamehe ubaya uliofanyiwa, kusahau, kuondoa uchungu, kusahau na kukupa furaha ya asili
  • Kama upo kwenye ukiwa itakusaidia kupata furaha
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka furaha itakapokuja na uchung utakapoondoka
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

(Unataja majina matatu ya mtu unayetaka awe na furaha-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom