Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 48:- MENE MENE TELE TELE
Kazi yake;- kukupa tafsiri unatapika chakula ndotoni
(1 wafalme 1:5-21)​
  • Utapata tafsiri binafsi ya kwanini unatapika chakula
  • Utapata wazo la nini cha kufanya
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 49:- MENE MENE TEPE TEPE
Kazi yake;- kukupa tafsiri unaota unatembea peku
(Ayubu 18:7-19)​
  • Utapata tafsiri binafsi ya kwanini unatembea peku kwenye fikra zako
  • Utapata nini cha kufanya kwenye fikra zako
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 50:- TELE PERESI TELE TELE
Kazi yake;- kukupa tafsiri kwanini unatembea uko uchi ndotoni
(Zaburi 69:11)​

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Nadhani bado kuna kilichofichwa kwenye hizi codes, mara nyingi codes za aina hii huwa na turns, zake yaani idadi ya kuzisoma ili kuzipa uzito kwa kusudio tarajiwa, abjad ya Hebrew na sio ya Kiarabu.
Nikola Tesla aliwahi sema kama tutajua ukuu wa namba 3,6 na 9 tutakuwa na ufunguo wa ulimwengu.
Na yeye alikuwa anafanya mambo kwa idadi ya tatu, sita au tisa.
 
Bible code number 51:- MENE MENE MENE TESE
Kazi yake;- tafsiri ya ukiota unakula chakula ndotoni
(1 samweli 2:5)​
  • Utapata tafsir binafsi kwenye fikra zako kwanini unakula ndotoni
  • Utapata ujumbe wa tafsiri ya ndoto nin cha kufanya
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code;- TEKELI TESE TEKELI TEKELI
Kutaka kwenda kutembelea mbingu ya tatu (peponi)
2 korintho 12:1-5, isaya 33:16-24​
Sababu za kwenda kutembelea mbinguni​
  • Kuona utukufu wa Mungu
  • Kulegeza kamba zako
  • Kukaza sana shina la mlango wako
  • Kuondoa ugonjwa ambao ulikushinda baada ya kutumia mbinu za hospitalini na kimaombi ukafeli
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo kimoyo mda wowote ule unaweza acha mzigo ukiondoka au mpaka utakapoona mabadiliko
(Jina lako)(unatamka bible code)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code
(Jina la unayemuombea) (unatamka bible code)
Sishauri hili kwa yeyote niliwahi jaribu kwa formulae nyingine never try this, nakumbuka nilipiga kelele usiku kwa miale ya radi iliyokuwa ikinipitia karibu, kwa kishindo, huku nikiangalia viumbe wenye mabawa wakiimba mfululizo bila kusimama, hallelujah hallelujah, hapa ndipo nilipojifunza mungu hupendezwa zaidi kwa wanaomtukuza kwa masaa 24 bila kuchoka mfululizo miaka kwa miaka.
 
Imebidi nifuatiliae zaidi hizi code nimejilizisha naona hazina shida na ni kagundua tafsiri zake kama hapo chini na kwa wale ambao bado walikua na mashaka kama mimi juu hizi code endelea kujilizisha tu ni mambo safi hayana falme za giza

Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.
Danieli 5:26

TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.
Danieli 5:27
 
Sishauri hili kwa yeyote niliwahi jaribu kwa formulae nyingine never try this, nakumbuka nilipiga kelele usiku kwa miale ya radi iliyokuwa ikinipitia karibu, kwa kishindo, huku nikiangalia viumbe wenye mabawa wakiimba mfululizo bila kusimama, hallelujah hallelujah, hapa ndipo nilipojifunza mungu hupendezwa zaidi kwa wanaomtukuza kwa masaa 24 bila kuchoka mfululizo miaka kwa miaka.
Hujaweka sawa yani hushauri mtu kupitia code zinazo Kwenda kutembela mbinguni ama hushauri huu utaratibu wa kusoma hizi code
 
Sishauri hili kwa yeyote niliwahi jaribu kwa formulae nyingine never try this, nakumbuka nilipiga kelele usiku kwa miale ya radi iliyokuwa ikinipitia karibu, kwa kishindo, huku nikiangalia viumbe wenye mabawa wakiimba mfululizo bila kusimama, hallelujah hallelujah, hapa ndipo nilipojifunza mungu hupendezwa zaidi kwa wanaomtukuza kwa masaa 24 bila kuchoka mfululizo miaka kwa miaka.

Kuna kitu unataka kuelezea zaidi ila umekwamia hapo please endelea kwa ufafanuzi zaidi
 
Bible code number 17:- MENE TEKELI MENE MENE
Kazi yake;- kujua tafsiri ya ndoto ya wewe kukimbizwa na nyoka
(Ufunuo 12:13-16)
  • Nyoka mkubwa
  • Nyoka mdogo
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 52:- MENE MENE TELE PERESI
Kazi yake;- kuomba kibali kutoka kwa Mungu kusimamisha jua na mwezi
(Yoshua 10:12-14)​
Unatakiwa uwe na sababu za msingi na Mungu atakukubalia au kukatalia (usifanye michezo au kutaka kumjaribu Mungu huwa ajaribiwi)​
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa kibali au kukunyima
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Hujaona mtu anaomba mungu na majibu hayaji haraka mpaka anafikia kukufuru?
MAOMBI YANA TERMINOLOGY ZAKE, PIA ROTATIONS ZAKE, YAPO MAOMBI YANAYOAMNATANA NA SADAKA, YAANI UMTOLEE MUUMBA NDIYO YAFANIKIWE!
Kwahiyo Ukiomba Kwa Kufuata Code Ndio Mungu Atakusikia Na Kujibu Maombi Yako [emoji1]

YESU MWENYEWE ALISEMA OMBENI BILA KUCHOKA IKIWA NA MAANA MUNGU HAJIBU KUTOKANA NA MIILI YETU INAYO CHOKA NA KUANZA KUKUFURU

NB MIMI SIJUI MUNGU ANAJIBUJE ILA NIMEFUNDISHWA KUOMBA BILA KUCHOKA YANI NIOMBE TU HATA KAMA SIONI KITU KWA MDA MREFU.
 
Kwahiyo Ukiomba Kwa Kufuata Code Ndio Mungu Atakusikia Na Kujibu Maombi Yako [emoji1]

YESU MWENYEWE ALISEMA OMBENI BILA KUCHOKA IKIWA NA MAANA MUNGU HAJIBU KUTOKANA NA MIILI YETU INAYO CHOKA NA KUANZA KUKUFURU

NB MIMI SIJUI MUNGU ANAJIBUJE ILA NIMEFUNDISHWA KUOMBA BILA KUCHOKA YANI NIOMBE TU HATA KAMA SIONI KITU KWA MDA MREFU.
Utukufu wa Mungu ni mkubwa sana na ana njia nyingi
Hana njia moja ndo maana kuna karama tofauti tofauti kapa watu ingekua ndo hivyo kama unavyosema kusingekua na haja ya Mungu kuwapa karama tofauti tofauti kama mambo yangekua ni marahisi hivyo

Kuna watu wanakarama za lugha za rohoni ulishajiuliza kwanini Mungu kawapa

Na hii imepelekea ukristo kutokusupport mambo ya science kwa kuwa na mawazo mgando kama yako
 
Kwahiyo Ukiomba Kwa Kufuata Code Ndio Mungu Atakusikia Na Kujibu Maombi Yako [emoji1]

YESU MWENYEWE ALISEMA OMBENI BILA KUCHOKA IKIWA NA MAANA MUNGU HAJIBU KUTOKANA NA MIILI YETU INAYO CHOKA NA KUANZA KUKUFURU

NB MIMI SIJUI MUNGU ANAJIBUJE ILA NIMEFUNDISHWA KUOMBA BILA KUCHOKA YANI NIOMBE TU HATA KAMA SIONI KITU KWA MDA MREFU.

Yeah upo sahihi lakini kinginge sadaka ni muhimu na sadaka iwe ya kukuumiza yani utoe sadaka ambayo imo ndani ya uwezo wako, pia matendo yako yani wanasema imani bila matendo ni kazi bure ni sahihi yani uwe na matendo mazuri ya kumpendeza Mungu ndiyo maombi hujibiwa kwa haraka...
 
Utukufu wa Mungu ni mkubwa sana na ana njia nyingi
Hana njia moja ndo maana kuna karama tofauti tofauti kapa watu ingekua ndo hivyo kama unavyosema kusingekua na haja ya Mungu kuwapa karama tofauti tofauti kama mambo yangekua ni marahisi hivyo

Kuna watu wanakarama za lugha
Na hii imepelekea ukristo kutokusupport mambo ya science kwa kuwa na mawazo mgando kama yako
NJIA YA MUNGU NI MOJA TU KUOMBA

UKISEMA WATU WAFUATE CODE HAYA CODE ZIKIGOMA WATATAFUTA CODE NYINGINE [emoji23][emoji1]

NJIA ZA MUNGU SIO KAMA VPN ZA FREE INTERNET

MUHIMU NI KUWAFUNDISHA WATU KUOMBA BILA KUCHOKA MAANA MUNGU YEYE HAFIKIWI KWA CODE[emoji23]
 
Back
Top Bottom