Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 41:- TEKELI LESE MENE LESE
Kazi yake;- kuomba kibali kwa Mungu Kufufua mtu aliyefariki #Necromancy#
(2 Wafalme 4:32-35, 1 wafalme 17:17-22, yohana 11:38-44)​
Ukitamka hizo code kwa imani Mungu atakujibu kwenye fikra zako ama itawezekana au haitowezekana​
  • Watu waliofariki kihalali toa na sababu zako binafsi kwanini afufuliwe
  • Waliochukuliwa misukule toa na sababu binafsi za kurudishwa
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapotaarifiwa na Mungu iwe umepewa au kunyimwa
(Majina matatu ya marehemu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 42:- MENE MENE LESE LESE
Kazi yake;- kuondoa upofu unaomsumbua mtu
(Yohana 9:1-7)​
Ukitamka hizo code kwa imani Mungu atakujibu kwenye fikra zako either amekukubalia au haitawezekana​
  • Waliozaliwa na upofu
  • Waliopata upofu kutokana na changamoto za kimaisha
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka upofu utakapoondoka na kama ukibaki Mungu atakupa sababu
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka upofu utakapoondoka na kama ukibaki Mungu atakupa sababu
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number number 43:- PERESI TEKELI KESE KESE
Kazi yake;-kuomba kibali Mungu alete mvua mahali husika
(Luka 12:54, 1 wafalme 18:42-45, Ayubu 38:26, Ayubu 28:26, Zaburi 135:7)​
Sababu unaweza mpa Mungu kwanini alete mvua na atakubali au kukataa, (usifanye haya mombi kwa masihara au mzaha au kutaka kumjaribu Mungu)​
  • Kama msimu wa mvua umeanza na mvua imechelewa na kama hali ya kuchelewa mvua ikiendelea Mungu atakupa sababu
  • Kutaka mvua inyeshe nje ya msimu ila unatakiwa umpe Mungu sababu
  • Mvua inyeshe sehemu ambayo ni jangwa., Kunyesha mvua juu ya nchi isiyo na watu; Juu ya jangwa asiyokaa mwanadamu;
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina ma bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka mvua itakapokuja na Mungu akikataa atakupa sababu
(Jina la mahali mvua unayotaka kunyesha-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 44:- TEKELI TEKELI KESE MENE
Kazi yake;- Kuomba Mungu kukatisha mvua iliyonyesha mda mrefu
(Mwanzo 8:1-2, 9:13-17)​
  • Kama mvua ikiendelea italeta maafa
  • Kama mvua ikiendelea itaharibu mazao
  • Kama mvua ikiendelea itaharibu shughuli fulani ya kibinadamu
  • Mwisho wa siku Mungu atakubali au atakataa
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka mvua itakapokatika
(Jina la mahali mvua unayotaka kunyesha-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 45:- MENE MENE MENE TERE
Kazi yake;- kumiliki malango ya adui zako
(Mwanzo 22:17, 24:60)​
  • kwenye biashara
  • Kwenye kazi uliyoajiriwa

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapomiliki malango ya adui
(Majina yako matatu na biashara/kazi uliyoajiriwa-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapomiliki malango ya adui
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (biashara/kazi uliyoajiriwa)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
CODE [emoji1] HIVI MNAELEWA VIZURI MAANA YA ULIMWENGU WA ROHO

ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU BILA KUCHOKA UKIANZA KUOMBA KWA KUFUATA CODE HUTOBOI

SILAHA KUBWA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU TENA UOMBE BILA KUCHOKA UWE KAMA MTU ANAE ONGEA NA UPEPO AU KAMA KICHAA YANI UOMBE MPAKA SHETANI AJUE HUYU NI CHIZI SIMUWEZI [emoji23][emoji23]

ILA TUKIANZA KUFUATA CODE TENA WAKUU MIMI NIMEKAA PALE [emoji117]

HAMNAGA CODE KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU NA KUFUNGA.
 
CODE [emoji1] HIVI MNAELEWA VIZURI MAANA YA ULIMWENGU WA ROHO

ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU BILA KUCHOKA UKIANZA KUOMBA KWA KUFUATA CODE HUTOBOI

SILAHA KUBWA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU TENA UOMBE BILA KUCHOKA UWE KAMA MTU ANAE ONGEA NA UPEPO AU KAMA KICHAA YANI UOMBE MPAKA SHETANI AJUE HUYU NI CHIZI SIMUWEZI [emoji23][emoji23]

ILA TUKIANZA KUFUATA CODE TENA WAKUU MIMI NIMEKAA PALE [emoji117]

HAMNAGA CODE KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU NA KUFUNGA.
Hujaona mtu anaomba mungu na majibu hayaji haraka mpaka anafikia kukufuru?
MAOMBI YANA TERMINOLOGY ZAKE, PIA ROTATIONS ZAKE, YAPO MAOMBI YANAYOAMNATANA NA SADAKA, YAANI UMTOLEE MUUMBA NDIYO YAFANIKIWE!
 
Hujaona mtu anaomba mungu na majibu hayaji haraka mpaka anafikia kukufuru?
MAOMBI YANA TERMINOLOGY ZAKE, PIA ROTATIONS ZAKE, YAPO MAOMBI YANAYOAMNATANA NA SADAKA, YAANI UMTOLEE MUUMBA NDIYO YAFANIKIWE!
Mkuu kwenye kuambatanisha maombi na sadaka, naomba ufafanuzi...sadaka unaitoa kanisani au popote? unaiombea?

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
 
Bible code number 46:- PESI PERESI TEKELI MENE
Kazi yake;- kukuepusha na marafiki wabaya
(Mithali 18:24)​
Mungu atakutenganisha nao​
  • Kuachana na marafiki wasiokua na tija kwenye maisha yako
  • Kukutanisha na marafiki wenye faida kwenye maisha yako
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka atakapokuepusha nao
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka atakapokuepusha nao
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Hujaona mtu anaomba mungu na majibu hayaji haraka mpaka anafikia kukufuru?
MAOMBI YANA TERMINOLOGY ZAKE, PIA ROTATIONS ZAKE, YAPO MAOMBI YANAYOAMNATANA NA SADAKA, YAANI UMTOLEE MUUMBA NDIYO YAFANIKIWE!
Mambo ya Mungu ni magumu sana nashangaa watu wanavyo chukulia kirahisi rahisi sana
Mungu ana njia nyingi sana ni neema yake kumjua

Haya mambo ya kumrahishisha Mungu yamefanya ukristo umekua wa kawaida sana usiokua na maajabu
 
Waislam wanatumia tarasim nyie mnatumia hzo cod wote n waganga,
Hizo code chini yake kuna mistari ya biblia iliyohuishwa na roho mtakatifu unafananishe na uganga au uchawi
Biblia ni codede book ukisoma kawaida kawaida tu huwezi elewa

Hizi huwezi tumia kumdhuru mtu hazifanyi kazi ni tofauti kuna waganga wanatumia qurani kulogea
 
Bible code number 47: TEKELI TEKELI TELE MENE
Kazi yake;- kwanini unalishwa chakula na mtu ndotoni
(Mithali 9:17)​
  • Utapata tafsiri yake binafsi kwenye fikra zako
  • Itakupa jambo la kufanya kwenye fikra zako
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri na ujumbe
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom