Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 778
- 2,764
ATHARI ZA ROHONI NA MWILINI KWANI YULE ALIE WAAMBIA WATU KENYA WASILE CHAKULA ILI WA MUONE YESU UNADHANI ALITUMIA MISTARI YA WAPI ILIYO WAATHIRI MPAKA WAKAFA WATU ZAIDI YA MIA NNEAthari zipi nawakati hizo code ni mistari ya biblia
Kuna sehemu nimewaambia watu wasile au kuna katazo lolote lile kwenye uzi wanguATHARI ZA ROHONI NA MWILINI KWANI YULE ALIE WAAMBIA WATU KENYA WASILE CHAKULA ILI WA MUONE YESU UNADHANI ALITUMIA MISTARI YA WAPI ILIYO WAATHIRI MPAKA WAKAFA WATU ZAIDI YA MIA NNE
Mambo yapo kwenye bibilia sijui yeye anasoma bibilia ipi, lipo neno linalosema amtolea bwana atamkumbuka siku za shida, lipo lingine linasema mwenye mkono wa kutoa ndivyo atabarikiwa sana shida imani ni pana sana na hajaamua kuijua, hata kunena kwa lugha anakataa sasa utamjibu lipi kati ya hayo anayoyapinga, aishi inavyompendezaHuyo anaongea mambo asiyoyajua
Agano la kale Mungu alionekana sana sababu walikua wanatoa sadaka sana
Ukishakua na fikra potofu kwamba hawa naowapa sadaka wanaenda kula utapoteza kikubwa sana wakila watajuana na Mungu we haikuhusu
Na ufalme wa Mungu unakuja kwenye mambo matatu
Kutoa sadaka
Kuombea watu wengine na sio wewe mwenyewe
Kuhubiri
HUONI UNAPO SEMA WATU WATUMIE CODE ILI MUNGU AWAJIBU AU ATAJIBU MAOMBI HUONI WATU WATAACHA KUOMBA KAMA WALIVYO KUWA WANA MUELEKEA MUNGU WAO NA KUANZA KUFUATA MAFUNDISHO YAKO YA CODE AMBAYO NI POTOFU. HUONI HAPO WEWE NDIE UTAONEKANA UMEWEKA KATAZO.Kuna sehemu nimewaambia watu wasile kuna katazo lolote lile kwenye uzi wangu
Ebu nionyeshe
UNA SAFARI NDEFU SANA ETI AMTOLEAYE BWANA.... ALIE KUAMBIA MUNGU ANAHITAJI FEDHA NI NANIMambo yapo kwenye bibilia sijui yeye anasoma bibilia ipi, lipo neno linalosema amtolea bwana atamkumbuka siku za shida, lipo lingine linasema mwenye mkono wa kutoa ndivyo atabarikiwa sana shida imani ni pana sana na hajaamua kuijua, hata kunena kwa lugha anakataa sasa utamjibu lipi kati ya hayo anayoyapinga, aishi inavyompendeza
Kwani Abraham baba wa taifa aliambiwa afanyaje nini na Mungu, shida una argue with no factUNA SAFARI NDEFU SANA ETI AMTOLEAYE BWANA.... ALIE KUAMBIA MUNGU ANAHITAJI FEDHA NI NANI
YESU ANAPENDA MWANADAMU ANAYE SAIDIA WANADAMU WENZAKE WENYE SHIDA HILO NDIO LIMEBEBA AMRI YAKE KUU "UPENDO "
Kuna ubaya gani nimekuuliza swali kuna sehemu nimekataza watu wasiombee hili swali hutaki kulijibu????HUONI UNAPO SEMA WATU WATUMIE CODE ILI MUNGU AWAJIBU AU ATAJIBU MAOMBI HUONI WATU WATAACHA KUOMBA KAMA WALIVYO KUWA WANA MUELEKEA MUNGU WAO NA KUANZA KUFUATA MAFUNDISHO YAKO YA CODE AMBAYO NI POTOFU. HUONI HAPO WEWE NDIE UTAONEKANA UMEWEKA KATAZO.
POLE SANA WE JAMAA MTUPU SANA JE ABRAHAM MUNGU ALIMUAMBIA ATOE FEDHA AU SADAKA YA KUTEKETEZWA?? ILIYO KUWA INAENDA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU NA HIYO SADAKA ILIWEKWA NA MUNGU MWENYEWE.Kwani Abraham baba wa taifa aliambiwa afanyaje nini na Mungu, shida una argue with no fact
Sawa mjuzi mimi sina la kuongezaPOLE SANA WE JAMAA MTUPU SANA JE ABRAHAM MUNGU ALIMUAMBIA ATOE FEDHA AU SADAKA YA KUTEKETEZWA?? ILIYO KUWA INAENDA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU NA HIYO SADAKA ILIWEKWA NA MUNGU MWENYEWE.
JIFUNZE VIZURI UELEWE MAANA YA AGANO LA KALE NA JIPYA
YESU ALIFANYIKA SADAKA MSALABANI YEYE SASA HIVI ANAHITAJI REHEMA (KUSAIDIA) KAMA ALIVYO FANYIKA MSAADA YEYE YANI TUPENDANE SISI KWA SISI NA KUSAIDIANA.
SAWA MJUZI MWENZANGU ENDELEA KUWAACHA WENYE DHIKI KALI MTAANI KWAKO HUKU UKIAMINI ETI UNAMTOLEA MUNGU SADAKA YA FEDHA HUKO UENDAKO [emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mjuzi mimi sina la kuongeza
acha ujinga piga msuli,,, kuchana pepa hakuna shotikati zaidi ya kukaza msuliMkuu naomba na ile code za kuamsha kumbukumbu kwa wanafunzi ili wafaulu mitihani
Unakosea sana kila mtu ana-uhuru wa kufanya jambo ambalo lina manufaa kwakeacha ujinga piga msuli,,, kuchana pepa hakuna shotikati zaidi ya kukaza msuli
uku na uku mara mleta mada katoa shati na kubaki kifua wazi,,,anatikisa manyonyo kibabe inaelekea anataka kupiganaNaona mleta mada kajiingiza kwenye mabishano badala ya kuendelea na kazi yake.Sio kila swali linahitaji kujibiwa ukifanya hivyo unaenda kupoteza mwelekeo
Ila unatuma the power of subconsious😁😁💪Mimi sijamdai mtu hela kwa njia ya sadaka in short huduma yangu ni ya online ni bure kwa asilimia 100 natumia neno kwa asilimia 100
Situmii kucha, maji ya upako au mafuta ya upako
Kila maono lazima yatokane na Neno,asiwepo mtumishi yeyote atakaye toa maono yake bila Neno, lazima tuthibitishie kupitia maandiko ndoo tukubali.Biblia ina karama nyingi sana sio unabii tu