Naona uzalendo umekushinda.... 🤣 🤣 🤣Sipokei sadaka au zawadi yeyote ile kama unataka kutoa sadaka baada ya kutumia bible code na Mungu kukupa suluhisho la changamoto yako katoe kanisa unalosali,
0713520180 sio kwa ajili ya kupokea sadaka au zawadi yeyote bali kuna watu wanamaswali binafsi na wasingependa kushare huku kitu ambacho ni sahii wanakaribishwa
Ni sahihi au anapunga mapepo. Anajua afanyalo huyu. Inawezekana hana shida ya akili ili anaingiza watu kwenye ulimwengu wa mapepo. Hii ni elimu mpya.Hili ni tatizo la Afya ya Akili
Hahaaaaaa, kwa kusimama kwangu madhabahuni kwa miaka zaidi ya 10 nami naona kitu kipya. Mungu atusaidie.25 years ya uzoefu katika biblia ni first time naona elimu hii mpy ya mchongo
Sihitaji hela yako au ya mtu mwingine kama sadaka nimeona niweke waziNaona uzalendo umekushinda.... 🤣 🤣 🤣
Haya bana tutatuma sadaka...
Hii dharau uliyonionyesha kana kwamba unanijua vileWakikuchelewesha ukakutana na jalala hutapona tena
Hata Yesu walimwambia ana mapepoNi sahihi au anapunga mapepo. Anajua afanyalo huyu. Inawezekana hana shida ya akili ili anaingiza watu kwenye ulimwengu wa mapepo. Hii ni elimu mpya.
What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimishaWakikuchelewesha ukakutana na jalala hutapona tena
What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimishaNaona uzalendo umekushinda.... 🤣 🤣 🤣
Haya bana tutatuma sadaka...
What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimishaNilipoona una whatsapp group nikajua tayari njaa imekuuma.
Ubunifu au upuuzi?What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimisha
Mbona wengi wetu tunafanya kazi tunalipwa mishahara
Tanzania ni nchi ngumu sana mtu akiona una-namna utatengeneza hela basi ni kosa ndo maana ni ngumu sana kupata wabunifu jamii yetu ni ya hovyo sana
Usikarikie watu ambao wanatafuta fulsa na wewe tafuta
Hata matapeli huwa wanajidai hawataki hela ya mtuHii dharau uliyonionyesha kana kwamba unanijua vile
Wananchelewesha vip mbona naishi vizuri tu
Sihitaji hela ya mtu nimeona niweke wazi
Amekutapeli sh ngapiHata matapeli huwa wanajidai hawataki hela ya mtu
Mbona hakuna mtu anayelalamika ametapeliwaHata matapeli huwa wanajidai hawataki hela ya mtu
Sawa inaweza ikawa kwako ni upuuzi ila kwanini unamzushia mambo ya uongo unapata faida ganiUbunifu au upuuzi?
Naona unajitetea kwa I'd nyingineMbona hakuna mtu anayelalamika ametapeliwa
Hii nchi ngumu sana aisee ndo maana wazawa wamekalia majungu huku wageni wakiifaidi nchi
Upuuzi ni upuuzi hakuna upuuzi wa kweli wala wa uongoSawa inaweza ikawa kwako ni upuuzi ila kwanini unamzushia mambo ya uongo unapata faida gani
Sawa ni upuuzi we kinachokuumiza ni nini na hakuna baya lolote alilokufanyiaUpuuzi ni upuuzi hakuna upuuzi wa kweli wala wa uongo