Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Kwahiyo una Belelzebuli au? Kwa Ukristo wetu. Msingi upo Imara na hatuyumbishwi na hizi blah blah. Pole, hamuna anayekupinga ila kuutumia na kujificha kwenye mwamvuli wa Bible ndio unatukosea. We declare tu unafanya uchawi wa spell mkuu.Marko 3:22-30
22 Walimu wa sheria waliotoka Yerusalemu walikuwa wakisema, “Amepagawa na Beelzebuli, mkuu wa mashetani; na ni kwa uwezo wa Beelzebuli anawafukuza mashetani.”
Huwez muwekea Mungu mipaka hata siku moja na huna hatimiliki ya neno lake ambalo ni bibliaNaona una comment mwenyewe kwa ID zako mbilimbili. 😀😃😄😁😆😅. Unajidanganya mwenyewe tu mkuu.
We nani umezaliwa umekuta ukristo na utakufa utauacha huna hati-miliki nao mpaka uwe na mamlaka ya kuwapangia kipi cha kufanyaKwahiyo una Belelzebuli au? Kwa Ukristo wetu. Msingi upo Imara na hatuyumbishwi na hizi blah blah. Pole, hamuna anayekupinga ila kuutumia na kujificha kwenye mwamvuli wa Bible ndio unatukosea. We declare tu unafanya uchawi wa spell mkuu.
Na hii imeonekana hujui biblia Yesu ndo aliambiwa ana mapepoKwahiyo una Belelzebuli au? Kwa Ukristo wetu. Msingi upo Imara na hatuyumbishwi na hizi blah blah. Pole, hamuna anayekupinga ila kuutumia na kujificha kwenye mwamvuli wa Bible ndio unatukosea. We declare tu unafanya uchawi wa spell mkuu.
Dakika 15 za kutamka hiyo codeHapo unaposema mara tatu tu unakuwa unamaanisha nini na wakati umesema tutumie japo dk15
Hayo majina yako unatamka na code mara tatu tu baada ya hapo unatamka code peke yake mpaka dakika 15 zitimie unaacha ila unaweza endeleaKwahiyo kuna kutamka majina matatu kwanza mara tatu. Kisha ndio unaanza kutaja bible code kwa dk 15 si ndio hivyo?