Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Marko 3:22-30​

22 Walimu wa sheria waliotoka Yerusalemu walikuwa wakisema, “Amepagawa na Beelzebuli, mkuu wa mashetani; na ni kwa uwezo wa Beelzebuli anawafukuza mashetani.”

Kwahiyo una Belelzebuli au? Kwa Ukristo wetu. Msingi upo Imara na hatuyumbishwi na hizi blah blah. Pole, hamuna anayekupinga ila kuutumia na kujificha kwenye mwamvuli wa Bible ndio unatukosea. We declare tu unafanya uchawi wa spell mkuu.
 
Kwahiyo una Belelzebuli au? Kwa Ukristo wetu. Msingi upo Imara na hatuyumbishwi na hizi blah blah. Pole, hamuna anayekupinga ila kuutumia na kujificha kwenye mwamvuli wa Bible ndio unatukosea. We declare tu unafanya uchawi wa spell mkuu.
We nani umezaliwa umekuta ukristo na utakufa utauacha huna hati-miliki nao mpaka uwe na mamlaka ya kuwapangia kipi cha kufanya
 
N
Kwahiyo una Belelzebuli au? Kwa Ukristo wetu. Msingi upo Imara na hatuyumbishwi na hizi blah blah. Pole, hamuna anayekupinga ila kuutumia na kujificha kwenye mwamvuli wa Bible ndio unatukosea. We declare tu unafanya uchawi wa spell mkuu.
Na hii imeonekana hujui biblia Yesu ndo aliambiwa ana mapepo
 
Bible code number 120:- PERESI RERE TETELI REPE
kazi yake;- kukufanya kuwa na akili ya kutenda mema kufanikiwa na kuishi kwa kutenda mema
(Yeremia 4:22, Hosea 4:6)​
Ni-kawaida kwenda kwenye jamii/nchi moja utakuta kuna baadhi ya watu flani wananeemeka kwa kuona fulsa na kuna wengine hawaoni fulsa zaidi ya kulalamika na kuona wanaonewa​
  • Kuna watu wao wanachoona ni kuishi kwa kuiba yaani hana akili ya kutenda mema
  • Kuna jamii-ukienda wana kila kitu ila hawana akili ya kutenda na kufanikiwa kwa kutenda mema
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapoihuisha akili yako
(Majina yako matatu-mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Jamii/familia/nchi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapohuisha akili ya jamii/familia/nchi ya watu fulani
(Unatamka jina la jamii, familia au nchi-mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 121:- REPE PERESI LENE MENE
Kazi yake;- kutubu uovu wa kujitukuza kimo chako
(Ezekieli 31:10-18, Ezekieli 32:1-16, Isaya 30:26)​
Kuna baadhi ya watu watajaribu kuwasha Nuru ndani yao kupitia bible code number 03-itashindikana wanatakiwa watubu uovu wa kujitukuza kimo chao wanaweza wakawa wamerithi uovu hawajetenda wao ila wanatakiwa kutubu​
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-kuondolea uovu wako
(Majina yako matatu-mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Jamii/familia/nchi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokuondolea uovu
(Unatamka jina la jamii, familia au nchi-mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 122:- LEPE TEKELI MENE PERESI
Kazi yake;- Mungu ahuishe fikra zako kwenye innovative engeneering
Kama unataka kutengeneza novel hardware, Kama unataka kufanya mradi mpya, Kama unataka kumuuliza Mungu ili ujue umeachia nini kwenye engineering​
  • Civil engineering
  • Aerospace engineering
  • Electrical engineering
  • Electronics engineering
  • Product engineering
  • Biomedical engineering
  • Automobile engineering
  • Aerospace engineering
  • Surgery engineering
  • Others
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina yako matatu na field uliyochagua kwenye engineering-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka majina yake na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na field uliyochagua kwenye engineering-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 123:- LEPE TEKELI LEPE LEPE
Kazi yake;- Mungu kuhuisha fikra zako kwenye services and development engineering
  • Civil engineering
  • Aerospace engineering
  • Electrical engineering
  • Product engineering
  • Biomedical engineering
  • Surgery engineering
  • Others
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina yako matatu na field uliyochagua kwenye engineering-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka majina yake na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na field uliyochagua kwenye engineering-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 124:- LEPE LEPE MENE PERESI
Kazi yake;- Mungu kuhuisha akili zako kwenye information technology
(Mwanzo 1:4-18)​
  • Computer science
  • Artificial intelligence
  • Information and communication technology
  • Robotics
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina yako matatuna field uliyochagua kwenye engineering-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jinana bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na field uliyochagua kwenye engineering-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 125:- PESE LEPE PERESI TEKELI
Kazi yake;- Mungu kuhuisha akili zako kwenye finance
(Luka 19:12-23)​
Predict interest rate​
  • Discount rate
  • Bonds
  • Simple interest rate
  • Compound interest rate
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kw siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 126:- PESE TEKELI MENE PESE
Kazi yake;- Kumwabudu Mungu katika nyimbo (Music)
(1 samweli 16:23, Zaburi)​
  • Direct
  • Indirect
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 127:- TEKELI MENE PERESI TEKELI
Kazi yake;- Omba Mungu akupe neno ukiwa kwenye nyakati ngumu; fahamu wanadamu tumeumbiwa magumu na mazuri kuwa mwema na kumtumikia Mungu hakukuzui usipitie nyakati ngumu
(Yohana 1:1-5)​
Wakati ukiwa kwenye nyakati ngumu Mungu anaweza asikupe au kukujibu kama unavyotaka ila omba neno kwa Mungu litakusaidia kuvuka hizo nyakati ngumu​
  • Ukiwa huna hela (financial broke) usikimbilie kujiua omba neno kwa Mungu
  • Ukiwa kwenye madeni usiende kuzalilisha utu wako kwa watu omba neno kwa Mungu
  • Ukiwa na mafarakano na mwenza wako suluhisho sio kuachana ni chukizo kwa Mungu omba neno kwa Mungu
  • Ukiwa na mafarakano na wafanyakazi wenzako usiache kazi omba neno kwa Mungu
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-kupa neno kwenye nyakati ngumu
(Majina yako matatu na aina ya changamoto unayopitia-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakupa neno kwenye nyakati ngumu
(Majina matatu ya unayemuombea na aina ya changamoto unayopitia -unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Sina jengo linaloitwa kanisa au ofisi hii ni ibada ya asilimia 100 online tunafanya ushirika kupitia kutamka hizi code lengo ni kufikia watu zaidi ya billion 1.
 
Hapo unaposema mara tatu tu unakuwa unamaanisha nini na wakati umesema tutumie japo dk15
 
Kwahiyo kuna kutamka majina matatu kwanza mara tatu. Kisha ndio unaanza kutaja bible code kwa dk 15 si ndio hivyo?
 
Bible code number 128:- PESE PESE LEPE MENE
Kazi yake;- kufungisha ndoa katika ulimwengu wa roho kabla hujafunga kwenye ulimwengu wa mwili
(Mwanzo 2:18, 2:23-24, Mathayo 7:24-25, 1 korintho 6:10-11)​
Hii haikuzuii usifunge ndoa katika ulimwengu wa mwili natoa angalizo mapema fanya taratibu za kufunga ndoa iwe kanisani, serekalini au sehemu yeyote ile baada ya kufungisha ndoa kwenye ulimwengu wa roho​
  • Faida yake ni imani itaibeba ndoa yenu hata pale upendo utakapopoa na itakua ngumu kutengana
UNATUMIAJE
  1. Mwanaume-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapofungisha ndoa
(Unataja majina ya mke wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke- unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapofungisha ndoa
(Majina matatu ya mme wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom