Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 26:- PERESI PERESI TEKELI SENE
Kazi yake;- kujua mtoto wako/unayemlea kuhusu njia ya elimu anayotakiwa kupitia na kujua kipaji chake
(Yeremia 1:4)
  • Kujua njia ya elimu (career) ya mtoto wako
  • Uweze kujua kipaji cha mtoto wako
UNATUMIAJE
  1. unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapojua destiny ya mtoto wako
(Majina matatu ya mtoto wako/unayemlea-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Maisha ni kuchagua na hakuna sehemu kwenye uzi wangu nimekataza watu wasiwaige israel au nchi nyingine zilizoendelea

Aafrika tuna kundi kubwa sana la watu wasioamini dini na mambo ya kiroho je kama wewe mmeidia nini Afrika au kazi ni kulaumu watu wanaoamin dini
Nakuelewa sana wala sijakupinga mkuu nimetupia tu kaukwel kachungu wewe endelea na mada kiongozi🙏
 
Nakuelewa sana wala sijakupinga mkuu nimetupia tu kaukwel kachungu wewe endelea na mada kiongozi🙏
Afrika tuna kundi kubwa la wasioamin dini ila wako bize kuwaponda ambao wanaamini dini hayo ndo maajabu

Dini sio kikwazo kwa Afrika isiendelee bali ubinafsi na kuwa na upeo mdogo
 
Bible code number 27:- MENE PERESI TEKELI PERESI
Kazi yake;- kurudisha hali yako nzuri ya uchumi ambayo ulikua nayo ila ukaja kufilisika
(Ayubu 42:10)​
  • Atarudisha miaka yako iliyoliwa na nzige
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka hali yako nzuri itakaporudi
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka hali yako nzuri itakaporudi
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 29:- LESE LESE LESE TEKELI
Kazi yake;- Mungu kukulinda katika safari
(Matendo ya mitume 27:1-44, 28:1-16)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia (kwa siri abiria mwenzako asijue) kwa imani na msisitizo ukiwa safarini
(Majina yako matatu-na sehemu unayoenda-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia (kwa siri abiria mwenzako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka atakapo-fika
(Majina matatu unayemuombea-sehemu anayoenda-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 5 akiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia)
 
Bible code number 28:- METE METE METELI METESI
Kazi yake;-kumrudisha mume/mke aliyekimbia
(Kutoka 4:14)​
Mungu ataachilia furaha kwenye fikra za mme/mke aliyekimbia na hatimaye atarudi​
  • Kama unataka mke wako kurudi aliyekimbia na kukuachia watoto
  • Kama unataka mme wako arudi baada ya kuikimbia familia
UNATUMIAJE
  1. Mwanaume unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mke wako atakaporudi
(Majina yako matatu ya mke wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mme wako atakaporudi
(Majina yako matatu ya mme wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mke/mume atakaporudi
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code;- MENE PERESI TEKELI TEKELI
Kuota umeua nyoka kwenye ndoto
Ufunuo 12:11, luka 10:19​
  • Ukitaja hizo code utapata tafsiri binafsi ya wewe kuua nyoka kwenye ndoto, kukua nyoka ni ushindi ila unatakakiwa ujue ni ushindi kwenye nini
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo kimoyo mda wowote ule unaweza acha mzigo ukiondoka au mpaka utakapoona mabadiliko
(Jina lako)(unatamka bible code)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code
(Jina la unayemuombea) (unatamka bible code

Hili neno ni lugha gani na linq maana gani kwa kiswahili
Most high the mostly high why left me!
 
Wewe ambaye hauna afya ya akili ni uvumbuzi upi wa maana uliofanya au ni jambo lipi la maana ulilofanya la kukumbukwa hapa Tanzania

Ni rahisi kuwatolea watu wengine maneno ya shombo ilihali wewe huna chochote kile cha maana ulichofanya ambacho nchi tunajivunia nacho
Usiongee neno cheka tulia, wakina Einstein walichokuwa wakifanya tunakijua The secret of secret hidden.
 
Bible code number 30:- TEKELI TEKELI TEKELI TEKELI
Kazi yake; kukupa tafsiri kwanini unafanya mapenzi ndotoni
(Ezekieli 23)​
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata ujumbe
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata sababu
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 31:- TEKELI TEKELI PERESI PERESI
Kazi yake;-Kuondoa madhara ya wewe kufanya mapenzi ndotoni
(1 nyakati 4:10)​

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka madhara yatakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka madhara yatakapoondoka
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 32:- MENE NENE TETELI TETESI
Kazi yake;-Kulinda lango lako la ndoto ili shetani asitumie kupitisha agenda zake
(2 samweli 2:1-4)​
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka kiu itakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka kiu itakapoondoka
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 33:- PERESI PERESI LEPE LEPE
Kazi yake;- kuondoa tatizo la nguvu za kiume kwa wanaume na wanawake wenye matatizo ya uzazi
(Isaya 32:1-5)​
Mungu ana-njia mbili either akupe wazo la kutibu changamoto nilizoziorodhesha hapo chini kwa njia ya dawa au akuponye kwa miujiza​
  • Wanaume;- jogoo hawiki kabisa, jogoo asimami kwa ukakamavu, jogoo mdogo sana, jogoo analala baada ya round ya kwanza, na Low sperm count
  • Wanawake wenye matatizo ya uzazi ambayo yanawazuia wasiweze kubeba mimba
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka tatizo litakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku )(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka tatizo litakapoondoka
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 58:- LEPE LEPE LEPE LEPE
Kazi yake;- kuondoa mahanithi (mashoga na wasagaji) katika familia, kampuni, wilaya, mkoa na nchi
(1 wafalme 15:12, 22:46)​
Hivi vita vimejikita kwenye ulimwengu wa roho na sio wa mwili haina lengo la kuanzisha vurugu dhidi ya mashoga (mahanithi)​
  • Kuondoa wanaume mashoga katika familia, kampuni, wilaya, mkoa na nchi kwenye ulimwengu wa roho
  • Kuondoa wanawake wasagaji katika familia, kampuni, wilaya, mkoa na nchi kwenye ulimwengu wa roho

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapoacha
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mtu unayemuombea ataacha
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kuombea nchi (wilaya, mkoa au nchi)-unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mahanithi watakapoondoka kwenye eneo ulikokusudia
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 59:- MENE TEKELI MENE MENE
Kazi yake;- Kuondoa roho ya uzinzi inayomsumbua mwanamke au mwanaume
(Ezra 10:3-44)​
Walengwa​
  • Kwa wale wanawake malaya wanaojianika
  • Kwa wale wanawake malaya wa kisirisiri
  • Kwa wale wanaume wenye mahusiano na wanawake wengi
  • Kwa wale wanaume wanaonunua malaya
  • Kumuondoa jini mahaba
  • Kwa wale ambao wanaota ndoto wanafanya mapenzi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka roho ya uzinzi itakapoondoka ndani yako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka roho ya uzinzi itakapoondoka kwa mtu
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 35:- PERESI PERESI TEKELI TEKELI
Kazi yake;- Kuondoa roho ya uzinzi inayolisumbua eneo/mtaa flani
(Maombelezo 1:8-10)​
  • Kuondoa ujasiri wa watu kufanya umalaya kwenye mtaa/eneo flani
UNATUMIAJE
  1. unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka watu watakapoacha kujiuza hilo eneo kama ishara ya kuondoka roho ya uzinzi
(Jina la mahali-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
UTANGULIZI
Daniel 5:25 Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Ukisoma huu mstari utaona ni mara moja kwenye biblia yote Mungu ametumia mfano wa code kufikisha ujumbe, japokua anaweza tumia njia nyingine sababu anazo nyingi kufikisha ujumbe. Mimi binafsi natumia bible code kuwa agano kwa watu na nuru ya mataifa; kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani waliofungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufungwa.

SINA KANISA HUDUMA YANGU NI ONLINE ASILIMIA 100 (DIGITAL) NA LENGO NI KUFIKIA WATU WENGI KIURAHISI
  • Kama kichwa cha habari kinavyosema sina kanisa na sina mpango wa kufungua kanisa ni asilimia 100 online
  • WhatsApp only 0713520180 ni kwa maelezo zaidi ya code nazozitoa kama una-maswali binafsi
  • Hii ni ibada ya sirini nikimaanisha kama ni mkristo dhehebu la roma unabaki huko, same kwa lutheran, wasabato, na hata kama ni muislamu unatumia code ukiendelea kubaki kuwa muislamu
AINA ZA CODE NTAKAZOZITOA
  1. Zinazohusiana na binadamu
  2. Zinazohusiana na viumbe tofauti na binadamu
  3. Zinahusiana na kutumia nguvu za Mungu (Yahweh) kupambana na ufalme wa giza kujua aina za shetani. Shetan aliyehasi ni mmoja ila baada ya kutupwa nje ya mbinguni walifaraka na kutokea mashetani wengi na falme zao na wenyewe kwa wenyewe wanapigana vita mpaka sahivi
  4. Zinahusiana na science
  5. Zinazohusiana na universe kwa ujumla maisha kabla ya uharibifu
MAMBO YA KUZINGATIA
  • Usifanye masihara na hiki nachofanya sikutishii ila kama unaona hakina msaada kwako achana nacho sababu una-haki hiyo ila usifanyie masihara na mizaha na hizi code
  • Kama huna iman juu ya hizi code ni ngumu sana kufanya kazi
  • Code zinatolewa bure hulipii gharama yeyote ntakua nazituma huku kwenye huu uzi na matumizi yake
  • Nia yako moyoni mwako ndo itakayoamua either code ifanye kazi au la nikimaanisha kama una nia ovu kama kisasi, kuwa kikwazo kwa wengine, kuwakera wengine, n.k hazifanyi kazi ili ifanye kazi inatakiwa uwe mnyenyekevu
  • Code hazina ishara yeyote ile sababu zimejikita kwenye ulimwengu wa roho na zinafanya kazi kimya kimya na ni mara chache sana zina miujiza
  • Code inachukua mda kufanya kazi means inafanya kazi pole pole ni kwa mda gani exactly mapenzi ya Mungu ndo yatakayoamua na ni mara chache sana inafanya kazi mara moja (instantly)
  • Kwenye suala zima la kipato inakupa unachostahili kama ni utajiri itakupa utajiri ila huwezi lazimisha kupata utajiri
  • Inabadilisha sheria za ulimwengu wa roho
  • Hakikisha unafanya kazi hizo code zisiwe tiketi ya wewe kusubiria miujiza
  • Code mda mwingine inaweza isiondoe tatizo linalokukabili ila ikalisitiri (kulifanya kuwa irrelevant) lisiwe ni kikwazo kwako lakin litaendelea kuwepo
Karibuni katika utukufu wa Mungu

Usisahau kushare hizi code na jirani yako ni bure gharama yake ni imani tu

"Don’t stop praying because you don’t see results immediately"
Watanzania mmerogwa na Nani?

Nipo tayari niwe nakichangia Pesa ya Kula mkuu
 
Back
Top Bottom