Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 132:- TEKELI TEKELI LELELI MEMESI
Kazi yake;- Kumuomba Mungu kuwa invisible ili kutimiza kusudi la Mungu
(Marko 6:45-52, Matendo ya mitume 12:5-11, Daniel 3:23-25, Daniel 6:16-22)​
Hakikisha unampa Mungu sababu ya msingi na unauhitaji wa lazima wa kuwa invisible usifanye ni kama tukio la masihara au kutumia kufanyia ufedhuli kama wizi, kuwakimbia polisi, ubakaji n.k​
  • Kutokuonekana na watu
  • Kutembea juu ya maji
  • Kutembea kwenye moto
  • Kupita katikati ya wanyama wakali
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa msisitizo na imani mpaka Mungu atakapokupa kibali cha kuwa invisible au kukunyima
(Jina lako-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na kama ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa msisitizo na imani mpaka Mungu atakapokupa kibali cha kuwa invisible au kukunyima
(Jina la mtu unayemuombea-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na kama ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 39:- MENE MENE MENE TESE
Kazi yake; Mungu kukuonyesha fulsa ambazo watu wengine hawazioni kwenye nyakati ngumu
(Mwanzo 26:18-24)​
  • Kwenye biashara yako
  • Kwenye kazi yako ya kuajiriwa
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka kimoyo moyo angalau dakika 15 kwa siku (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mda wowote ule mpaka utakapoona fulsa
(Aina ya biashara unayofanya/aina kazi unayofanya-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

Nahitaji ya kusamehe na kuwa na amani
 
CODE [emoji1] HIVI MNAELEWA VIZURI MAANA YA ULIMWENGU WA ROHO

ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU BILA KUCHOKA UKIANZA KUOMBA KWA KUFUATA CODE HUTOBOI

SILAHA KUBWA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU TENA UOMBE BILA KUCHOKA UWE KAMA MTU ANAE ONGEA NA UPEPO AU KAMA KICHAA YANI UOMBE MPAKA SHETANI AJUE HUYU NI CHIZI SIMUWEZI [emoji23][emoji23]

ILA TUKIANZA KUFUATA CODE TENA WAKUU MIMI NIMEKAA PALE [emoji117]

HAMNAGA CODE KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NI KUOMBA TU NA KUFUNGA.

This is true,Mimi siku ninazokomaa kuomba non stop rohoni huwa najibiwa siku hio hio
Asante kwa kunikumbusha niache uvivu
 
Nahitaji ya kusamehe na kuwa na amani
Bible code number 63:- MENE MENE LEPE LEPE
Kazi yake:- kukupa furaha ya asili
(Filipi 4:4)
  • Kama uko kwenye depression itakusaidia kupata furaha
  • Itakuwezesha kusamehe ubaya uliofanyiwa, kusahau, kuondoa uchungu, kusahau na kukupa furaha ya asili
  • Kama upo kwenye ukiwa itakusaidia kupata furaha
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka furaha itakapokuja
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

(Unataja majina matatu ya mtu unayetaka awe na furaha-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri
 
Bible code number 133:- TETEPE MENE REPE PERESI
Kazi yake; kumuomba Mungu kibali uende kuzimu kufungua kilichofungwa hapa duniani na password zake zipo kuzimu
(Ufunuo 1:18)​
  • Kufuta taarifa zako kuzimu
  • Kufungua kilichofungwa hapa duniani ila password zake zipo kuzimu
  • Kuwakomboa baadhi ya ndugu zako walioko mateka kuzimu waende sehemu wanayotakiwa kwenda hata kama walikufa katika dhambi hawapaswi kukaa kuzimu sababu kule wanateseka mara mbili
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa au kukunyima kibali
(Unataja majina yako matatu-sababu ya wewe kwenda kuzimu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code kwa msisitizi na iman kwa mda ambao Roho mtakatifu atakuongoza)
 
Bible code number 134: TETEPE TEKELI MENE PERESI
Kazi yake;- Kuomba ruhusa kuwakomboa baadhi ya viumbe ambao sio majini katika utumwa wa shetani
(Ufunuo 1:18, Mwanzo 2:19)​
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa au kukunyima kibali
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code kwa msisitizi na iman kwa mda ambao Roho mtakatifu atakuongoza)
 
Bible code number 135:- TETEPE TEKELI MENE MENE
Kazi yake;- kujua ni jambo/ujumbe gani Mungu anaachilia kama sababu ya kuwepo uchungu/taabu unayopitia
(Mwanzo 3:16-17)​
Kwa-mtu binafsi Kuna baadhi ya uchungu/maumivu yanaletwa na Mungu na kuna familia zinateseka sababu tu ya mtu mmoja anapitisha jambo la ki-Mungu na halijui. Usikimbilie kutoa huo uchungu/maumivu sababu hautaondoka bali jitahidi ujue ujumbe unaotakiwa ujue na huujui, na ukijua hilo jambo taratibu huo uchungu na maumivu yataondoka; mfano wa huo uchungu au maumivu ni​
  • Ugonjwa
  • Umaskini
  • Kukataliwa
  • Ukiwa
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokuonyesha ujumbe uliopo kwenye uchungu/maumivu unaopitia
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code kwa msisitizi na iman kwa mda ambao Roho mtakatifu atakuongoza)

NB: sio kila uchungu unaopitia unasababishwa na wewe kutenda dhambi
mfano Yesu alipitia mateso makali ya msalabani sio kwa sababu alitend dhambi bali kuna kitu alikua anaachilia nacho ni agano jipya
 
Bible code number 136:- TETEPE MENE SETE MENE
Kazi yake;- kujua ni jambo/ujumbe gani Mungu anaachilia kwenye kampuni kama sababu ya kuwepo uchungu/taabu inayopitia
(Mwanzo 3:16-17)​
Kwa-kampuni Kuna baadhi ya uchungu/maumivu yanaletwa na Mungu na kuna familia zinateseka sababu tu ya mtu mmoja anapitisha jambo la ki-Mungu na halijui. Usikimbilie kutoa huo uchungu/maumivu sababu hautaondoka bali jitahidi ujue ujumbe unaotakiwa ujue na huujui, na ukijua hilo jambo taratibu huo uchungu na maumivu yataondoka; mfano wa huo uchungu au maumivu ni;-​
  • Kampuni ina-struggle kupata faida
  • Kampuni inashindwa kuvutia wateja japokua inafanya jitahada kubwa sana kwenye matangazo
  • Kampuni inakosa ubunifu

UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokuonyesha ujumbe uliopo kwenye uchungu/maumivu unaopitia
(Unataja jina la kampuni-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code kwa msisitizi na iman kwa mda ambao Roho mtakatifu atakuongoza)

NB: sio kila uchungu unaopitia unasababishwa na wewe kutenda dhambi
mfano Yesu alipitia mateso makali ya msalabani sio kwa sababu alitend dhambi bali kuna kitu alikua anaachilia nacho ni agano jipya
 
Bible code number 137:- REPE SETE MENE MENE
Kazi yake;- kujua ni jambo/ujumbe gani Mungu anaachilia kwenye nchi kama sababu ya kuwepo uchungu/taabu inayopitia
(Mwanzo 3:16-17)​
Kwa-kampuni Kuna baadhi ya uchungu/maumivu yanaletwa na Mungu na kuna familia zinateseka sababu tu ya mtu mmoja anapitisha jambo la ki-Mungu na halijui. Usikimbilie kutoa huo uchungu/maumivu sababu hautaondoka bali jitahidi ujue ujumbe unaotakiwa ujue na huujui, na ukijua hilo jambo taratibu huo uchungu na maumivu yataondoka; mfano wa huo uchungu au maumivu ni;-​
  • Umaskini
  • Nchi ilikua imeendelea na inatumbukia katika umaskini na jitihada zinafanyika ila hazifui dafu
  • Population ya nchi inapungua watu hawazaliani
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokuonyesha ujumbe uliopo kwenye uchungu/maumivu unayopitia
(Unataja jina la nchi-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code kwa msisitizi na iman kwa mda ambao Roho mtakatifu atakuongoza)

NB: sio kila uchungu unaopitia unasababishwa na wewe kutenda dhambi
mfano Yesu alipitia mateso makali ya msalabani sio kwa sababu alitend dhambi bali kuna kitu alikua anaachilia nacho ni agano jipya
 
Bible code number 33:- PERESI PERESI LEPE LEPE
Kazi yake;- kuondoa tatizo la nguvu za kiume kwa wanaume na wanawake wenye matatizo ya uzazi
(Isaya 32:1-5)
Mungu ana-njia mbili either akupe wazo la kutibu changamoto nilizoziorodhesha hapo chini kwa njia ya dawa au akuponye kwa miujiza
  • Wanaume;- jogoo hawiki kabisa, jogoo asimami kwa ukakamavu, jogoo mdogo sana, jogoo analala baada ya round ya kwanza, na Low sperm count
  • Wanawake wenye matatizo ya uzazi ambayo yanawazuia wasiweze kubeba mimba
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka tatizo litakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku )(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina alafu zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka tatizo litakapoondoka
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
OUR PRODUCT -BIBLE CODE (luka 24:45)
Jumla zipo 140 na zote zipo kwenye huu uzi; zimekua digested kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi ndo maana chini yake kuna mstari wa biblia. Bible code unatumia bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.
 
###wale ambao wanasumbuliwa na umaskin na uduni uliokithiri kwenye familia zenu###

Bible code number 61:- MENE MENE SENE SENE
Kazi yake;- Kuondoa tatizo la umaskin na uduni unaoutesa familia yako kwa Mungu kukushughulika na wazaliwa wako wa kwanza tokea adam na hawa
(Kutoka 12:12 )
  • Kwa wale ambao mmefanya jitahada karibia zote za kuondoa umaskin na uduni kwenye familia zenu

UNATUMIAJE
  1. Familia-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakaposhughulika na mzaliwa wa kwanza
(Majina yako matatu/jina la familia yako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###kujua siri ya mafanikio yako imefichwa kwenye shughuli ipi###

Bible code number 07:- KEKE KEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kujua hazina yako ilipo
(1 samwel 2:1-10, Luka 12:34, Mathayo 6:21)
Hii itakusaidia kujua siri ya mafanikio
yako imefichwa kwenye kazi/shughuli ipi

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa msisitizo na iman mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###wale ambao wanasumbuliwa na ndoto wakiwa wanazini usiku###

Bible code number 59:- MENE TEKELI MENE MENE
Kazi yake;- Kuondoa roho ya uzinzi inayomsumbua mwanamke au mwanaume
(Ezra 10:3-44)
Walengwa
  • Kwa wale wanawake malaya wanaojianika
  • Kwa wale wanawake malaya wa kisirisiri
  • Kwa wale wanaume wenye mahusiano na wanawake wengi
  • Kwa wale wanaume wanaonunua malaya
  • Kumuondoa jini mahaba
  • Kwa wale ambao wanaota ndoto wanafanya mapenzi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka roho ya uzinzi itakapoondoka ndani yako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka roho ya uzinzi itakapoondoka kwa mtu
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###kwa wale wenye magonjwa sugu yasiyokua na tiba hospitalini tamka hii code###

Bible code number 40:- PERESI PETELI PETELI PERESI
Kazi yake;- kugusa upindo wa vazi la Yesu ili kupona magonjwa sugu
(Luka 8:43-48, Luka 5:15)
Magonjwa sugu yaliyoshindikana hospitalini
  • Aggresive cancer
  • Kufeli kwa figo kunakotishia maisha ya mgonjwa
  • Neurodegenerative diseases mfano motor neuron, alzheimers, parkinson n.k
  • Magonjwa ya moyo
  • Na mengine mengi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka na usipoondoka tamka Bible code number 138:
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka na usipoondoka tamka Bible code number 138:
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###Mungu kukupa mbinu za kuishi na changamoto iliyogoma kuondoka baada ya kutumia kila njia###

Bible code number 138:- MENE LENE LENE LENE
Kazi yake;- Kumuomba Mungu kuifanya changamoto iliyoshindikana kuondoka kwa njia zote ulizojaribu angalau kuwa irrelevant (kuishi nayo)
(Waamuzi 2:3, 2 Wakorintho 12:5-10)​
Sio kila changamoto unakumbana nayo itaisha au kuondoka kirahisi nyingine zipo na wewe hadi kifo usimkasirikie Mungu muombe akupe mbinu za kuishi nao mfano Mungu hajaondoa ukimwi ila ametupa mbinu za kuufanya kuwa irrelevant kwa kuleta ARV's ila bado ukimwi upo. Usitumie nguvu kubwa sana kuondoa changamoto inayokukabili baada ya kushindwa kuiondoa sababu italeta negative impact kubwa sana kwako.​
  • Sio kila changamoto nchi inayokumbana nayo itaondoka kirahisi nyingine zipo miaka 50 mbele na hata miaka 100
  • Sio kila changamoto ya kiafya inayokukabili itaondoka nyingine utaishi nazo maisha yako yote mpaka kifo kitakapokukuta
  • Sio kila tabia mbaya uliyonayo itaondoka nyingine hazitaondoka mpaka mauti itakapokukuta muombe Mungu kuwa irrelevant kwa watu wengine na kwako
  • Usitumie nguvu kubwa kuondoa udhaifu wa mme wako au mke wako muombe Mungu aufanye kuwa irrelevant
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa msisitizo na imani mpaka Mungu atakapokupa mbinu za kuifanya kuwa irrelevant
(Jina lako-aina ya changamoto inayokukabili-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code dakika 15 kwa siku na kama ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa msisitizo na imani mpaka Mungu atakapokupa mbinu za kuifanya kuwa irrelevant
(Majina yake-aina ya changamoto inayokukabili-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code dakika 15 kwa siku na kama ukiendelea ni vizuri)
  1. Kuombea nchi-unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa msisitizo na imani mpaka Mungu atakapokupa mbinu za kuifanya kuwa irrelevant
(Jina la nchi-aina ya changamoto inayokukabili-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code dakika 15 kwa siku na kama ukiendelea ni vizuri)
 
###kujua majira na nyakati ya mji###

Bible code number 139:- TEPE TEPE TEPE PERESI
Kazi yake;- Mungu kukuonyesha majira na nyakati ya mji na jambo la kufanya
(Isaya 32:15-18)​
  • Namna ya kuwa mnyenyekevu nyakati nzuri
  • Mbegu ya kupanda mji ukiwa unapitia nyakati ngumu
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina lako zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa iman na msisitizo mpaka Mungu atakakuonyesha majira na nyakati ya mji na jambo la kufanya
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###kwenye nyakati ngumu za uchumi###

Bible code number 39:- MENE MENE MENE TESE
Kazi yake; Mungu kukuonyesha fulsa zitakazokupatia fedha ambazo watu wengine hawazioni kwenye nyakati ngumu
(Mwanzo 26:18-24)
  • Kwenye biashara yako
  • Kwenye kazi yako ya kuajiriwa
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mda wowote ule mpaka utakapoona fulsa
(Aina ya biashara unayofanya/aina kazi unayofanya-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom