EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
"Na lau tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyotoka kwangu: Kwa yakini nitaijaza jahannamu kwa wote hawa, majini na watu."Kwann aumbe watu ili aje awaangamize baadae ihali anajua kabisa watatenda maovu...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitundike mkuu.Tena hicho kitabu chenye kiarabu ndio hakina chochote cha maana
Huo sio udhaifu. That is strength.Sawa wewe sio dhaifu sasa kaa bila kula au kulala usingizi halafu utupatie mrejesho.
Mungu hawezi kuwawazia viumbe wake mawazo maovu kiasi hiki."Na lau tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyotoka kwangu: Kwa yakini nitaijaza jahannamu kwa wote hawa, majini na watu."
32:13
Nijitundike mimi nimekuwa dripJitundike mkuu.
Mimi tokea najiunga Jf niligundua hilo kuwa jamaa dishi limeyumba, mada na comments zake ugoro mtupu..We jamaa siku nyingi tu nishakuona hamnazo kupitia thread zako na comments zako
okay i won't.Mungu hawezi kuwawazia viumbe wake mawazo maovu kiasi hiki.
HII aya inatumiwaga na walokole wanao amini uislamu ni dini ya majini na mkuu wa majini na hiyo aya Wana sema ni mkuu wa majini anasema atawapeleka motoni watu wengi ambao watamfuasa.
Don't quote this ayat again
Mh nmeshangaa sana leo.Mimi tokea najiunga Jf nilindua hilo kuwa jamaa dishi limeyumba, mada na comments zake ugoro mtupu..
Evilspirit.Nijitundike mimi nimekuwa drip
We jamaa siku nyingi tu nishakuona hamnazo kupitia thread zako na comments zako
Kuna Uzi wake kuhusu majini vichekesho vitupu, anatoa taarifa kuna viumbe wengine kama binadamu wanaishia huko mahali fulani Mungu alipanda mbegu za viumbe hao sehemu kibao yaani ukisoma ni ugoro plus pumba, source yake ni 'Trust me bro'Huyu dogo Pombe nyingi
Tuwapuuze wajinga tuHapo una maanisha kwamba taarifa za kwenye thread HII ni kubwa kuliko uwezo wa akili yako katika kupokea taarifa.
Ushauri wangu kwako: PANUA UWEZO WA AKILI YAKO KUPOKEA TAARIFA.
Narudia tena.
Panua
Panua
Panua.
HII hoja yangu alishindwa kuijibu mjomba wangu Ustaz Mazinge itakuwa wewe mjinga mjinga mmoja.
Panua mkuu
Kwanini Mungu aumbe binadamu asiyekamilika? Ili iweje?1. Iweke sawa.
2. Kati ya kitabu na binadamu nani muongozo kwa mwenzie? Ikiwa ni kitabu basi ndi maana kimekamilika kinamuongoza huyu asiyekamilika(binadamu)
Hhhhhhhhhh kumbe sipo peke anguMimi tokea najiunga Jf niligundua hilo kuwa jamaa dishi limeyumba, mada na comments zake ugoro mtupu..
Wewe ndio kilaza. Ume sapoti hoja yangu bila kujua kama una sapoti.We kilaza kweli, yaani Point inapinga Hoja yako unaona kama nakusuport?
1. Third brain? Scientifically not proved hakuna kitu kinaitwa third brain na unayoita subconcious brain ni part ya mind ,kama haujui mind ni abstract thing na brain ni physical thing in my experience kwenye hii field of science ni kwamba SOMETHING ABSTRACT CAN NOT BE PROVEN BY SCIENTIFIC APPROACH hence hata existence ya hiyo 'subconcious mind' kama ulivyoiita ni more controversial prove me wrong.Nimejua kwamba nimeumbwa na Mungu kupitia :
1. My third brain ( it is known as Subconscious Brain or Subconscious Mind)
I have downloaded the message from the universal mind. Everything about everything that humans need to know is in the universal mind...
2. By studying the nature.
3. Sijazaliwa taburalasa. Nimezaliwa tayari Mungu akiwa ame print this information in my dna.
Sikuwahi kufundishwa kudindisha nikimuona mwanamke yupo nusu uchi.
Ila ulipofika wakati wa kufanya hivyo nolijikuta nadindisha tu.
Alienifundisha kudindisha. Alienifundisha kukunja ngumi. Alienifundisha kukimbia kwenye hatari.Alie nifundisha kunyonya, alienifundisha kuweka CHAKULA kupitia mdomoni, Alienifundisha kuogopa giza nikiwa mtoto mchanga etc ndio alienifundisha " subconsciously" kwamba Mungu yupo na kwamba mimi nimeumbwa na Mungu