Nauli mpya za Mabasi zimeanza kutumika, vipi Mdau ulishirikishwa kupanga nauli hizo?

Nauli mpya za Mabasi zimeanza kutumika, vipi Mdau ulishirikishwa kupanga nauli hizo?

watalii wameongezeka na nauli lazima ziongezeke kukuza...
 
kama kuna sehemu ya kuhamia uenjiy maisha n zanzibar mkuu
 
Kila siku tunalia unyonge unyonge.
Si tuache kusafiri?

Hao wasafirishaji wako na mikopo mikubwa ya magari.
Vipuli kodi juu, wataendeshaje hizo biashara na kulipa mikopo?

Unyonge na uhalisia...unyonge hauna nafasi.

Tanzania ina watu legelege na kutska huruma mchana kutwa.
Ukiona wenye magari wanafaidi nawe pambana ununue bus uanze usafirishaji
Kwa nini usafiri wa train zakisasa hauanzi? Au tunasubiri wenye mabasi wamalize marejesho ya mikopo yao?
 
Kwa nini usafiri wa train zakisasa hauanzi? Au tunasubiri wenye mabasi wamalize marejesho ya mikopo yao?
Mkuu ukitaka seryikali ifanye biashara unafeli sana kwani hatuna mfumot mzuri wa ajira.

Nisikilize:
Wenzetu majuu wanauamini sana mfumo wa serikali kutoa huduma ya usafiri lkn tofauti yetu na wao ni hii;

1. Uchumi wa mwananchi hauathiriki kwasababu mfumo wao w ajira uko vizuri yaani watu wengi wana ajira...hii hupelekea mzunguko wa fedha/pesa kuwa mzuri.

2. Tanzania ikiwa serikali itajikita kufanya biashara, tutakufa njaa kwani pesa nyingi zikiingia kwenye mfumo rasmi wa serikali mzunguko wa pesa utakuwa mbovu kuliko.

Kwanini?
Ajira ni hafifu...ni sawa na maji mengi yaingie ziwani lakini hakuna mkondo wa kuyavuna maji kwa matumizi ya binadamu.

3. Biashara huria hustawisha uchumi kwa vile huajiri watu wengi zaidi
 
Tunaiomba mamlaka husika kulitizama hili kwani vigezo vilivyotumika havifahamiki ukizingatia mafuta yameshuka bei kwa shs 200/-

MAMLAKA HUSIKA USAIDIENI UMMA HUU WA WANYONGE,SHUSHENI NAULI NA ONGEZENI SHS 50/- KWA NAULI ZA MIJINI, INAUMIZA MNO.
#Based on town trips!
Na sio nauli / safari za mikoani.
Mtazoea ndo kauli mbiu ya CCM
 
Dunia haiko hivyo mkuu, tunazidi kuleta siasa kwenye masuala nyeti.

Unyonge wako hauna uhusisno na mtu mwenye mķopo mkubwa bank akanunua mabus halafu ukamdhibiti kwenye nauli.

Kuwa na bus sio utajiri bali huo nao ni ujasiria mali.

Mbona wauza mazao na mitumba hawadhibitiwi bei?

Tunawakandamiza na kuwafilisi watoa huduma za usafiri.

Kumbuka nje ya siku za wanafunzi kurudi shule na msimu wa mwisho na mwanzo wa mwaka wenye abiria wengi, wakati uliosalia hakuna abiria mabus yapo tupu je watajiendesha je?

Mimi sina basi lkn naiona taabu yao.
Nauli za usafirishaji wa umma hudhibitiwa hata ulaya. National express hajipandishii nauli ki- holela kule Uingereza na kwenye City Councils na London Boroughs zote, hupangiwa nauli himilivu kufatana na uchumi wa sehemu husika.
 
Nauli za usafirishaji wa umma hudhibitiwa hata ulaya. National express hajipandishii nauli ki- holela kule Uingereza na kwenye City Councils na London Boroughs zote, hupangiwa nauli himilivu kufatana na uchumi wa sehemu husika.
Tatizo huku humo Ratla kuna wakubwa wana miliki daladal na wanapewa rushwa na wenye mabassi
 
Hapana Hawa wahusika waliangalie hili suala ni hatari
 
Wasafirishaji kama wanakomoa wananchi,ni hatari
Kwenye hili msije walaumu wafanyabiashara hata kidogo sababu wao wanacheza mziki mnaopiga ninyi raia.

Sasa mlitaka serikali ipandishe gharama za mafuta na mambo mengine halafu wao wazibebe huku ninyi mkiendelea kuishi as if hamuelewi kinachoendelea ni nini?

Hapa naomba kabisa tusiwabebeshe lawama.
 
Back
Top Bottom