gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Mkoloni alijenga lami hadi chalinze,acha uwongo jombaa,na nyerere mwenyewe kwenye lami ndiyo bure kabisa,hakuna cha maana alichofanya,kikwete pekee alijenga lami zaidi ya awamu tatu za kabla yake kwa ujumlaKukosoa ni kazi nyepesi sana. Nyerere alirithi nchi mbovu zaidi. Barabara ya kwanza ya lami ilijengwa mwaka 1956 na marehemu Kikenya, tumetoka mbali.
Haina tija yoyote kumsimanga marehemu asiyeweza kujitetea, alifanya kazi ngumu katika kuujenga msingi wa kitaifa.
Hujui lolote mkuu, lami ya kwanza alijenga marehemu James Kikenya mwaka 1956 niliyasikia haya kutoka kwake mwenyewe aliishi hapa mbezi beach,Mkoloni alijenga lami hadi chalinze,acha uwongo jombaa,na nyerere mwenyewe kwenye lami ndiyo bure kabisa,hakuna cha maana alichofanya,kikwete pekee alijenga lami zaidi ya awamu tatu za kabla yake kwa ujumla
Ndio, sera zake za kiuchumi zilifeli vibaya mnoNimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukari, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni nchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
Baba wa Modern TanzaniaHizi dhana nyingine zinatengenezwa kwa lengo la kumuabudu mtu fulani tu lakini kiuhalisia hazina ukweli wowote,Hakuna taifa lolote katika dunia hii lililoanzishwa na Nyerere.
Kwenye Udini alichemkawatu wengi wanamuona Nyerere kama nabii ,kwamba alipaswa kuanzisha na kumaliza yeye kila kitu .
wanasahau kuwa Nyerere ni mwanadamu japo na kwa zama zake alifanya makubwa sana
Kipindi tunapata uhuru, vitu vya msingi vilikuwa ni
1.Disunity
2.Ujinga
3.Ukabila
4.Decentralized Settlements
5.Udini
yote haya yakifanikiwa ndo huduma za kijamii zingefanikia kutolewa kwa watu wengi ndani ya muda mfupi
Nyerere alipokea nchi ikiwa bado ipo jehanam , asingeweza maliza kil kitu yeye binafsi
Alianzisha nia ila waliofuata wakabadili njia na ndo matokeo ya haya tunayaona sasa
1.Ufisadi
2.Utekaji
3.Mikopo ya hovyo
4.Mikataba ya hovyo
Tulisingizia ??!Sio kweli
Unanieleza mambo ya kipumbavu unategemea mimi nitayajuwa vipi!Unaijua hadithi ya mwinyi ya kuoga bafuni na mwendawazimu kupitia nguo zako?..ulisikia alichokisema kwenye hotuba yake inayofichwa ya mikuki mitatu?..hapo alikua 'anamkoga' tu
Kabisa!Uvivu ule ule wa kuumiza vichwa, Mwalimu alishaaga dunia miaka 25 iliyopiita tupambane na hali zetu kwa sasa.
Bado huelewi unacho ambiwa. Wewe ulitaka Tanzania iwe dunia gani ya kipekee sana ambayo matatizo yaliyo ikumba dunia nzima yaliyumbisha kila sehemu?Mimi na wewe nani ambae hana akili? Nimetaja mambo ambayo yalikuwepo katika uongozi wake lakini wewe reply yako imejaa dhihaka na vijembe mwanzo mwisho, nilitegemea wewe mwenye akili upinge nilichoandika kwa mifano anuai. Katika uongozi wa teacher nchi haikutumbukia kwenye umasiki?, watu hawakukimbia nchini kwenda kuishi uamishoni?
Nashambulia mtu binafsi kwa sababu mtu huyo ni mjinga. Kwa mtu wa aina hiyo unatakaje?Tatizo la njaa lilisababishwa na nini? Kama lilitokea kwa majirani zetu jr ni halali kutokea kwetu?. Uko Kenya sehemu kubwa ya ardhi yao haikubalinkilimo kama hapa kwetu, kwa wao kukumbana na tatizo la huaba wa chakula ni kawaida.
Reply zako unashambulia mtu binafsi badala ya kushambulia hoja.
Ukitaka kuua mbwa mpe jina bayaTulisingizia ??!
Sasa si ndo ifafanue hayo matatizo sasa, hivi we jamaa una akili kweli.Bado huelewi unacho ambiwa. Wewe ulitaka Tanzania iwe dunia gani ya kipekee sana ambayo matatizo yaliyo ikumba dunia nzima yaliyumbisha kila sehemu?
Kwa sababu akili yako haina upeo wa kuangalia mbali zaidi ya pua yako, hayo unayo yazungumzia hapa hujui kwamba kulikuwa na matatizo mengi duniani wakati huo. Badala ya kupanua akili yako, unaishia kulaumu kwa msukumo wa unaoujuwa mwenyewe. Hapo unataka usaidiwe vipi, kama si kukuacha uendelee na ujinga/upumbavu wako!
Kwa mentality za most humu na hasa chakadomozzzzNimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukari, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni nchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
Duh.! walimu wako walipata shida sana, haya mkuu umeshinda.Nashambulia mtu binafsi kwa sababu mtu huyo ni mjinga. Kwa mtu wa aina hiyo unatakaje?
Wewe kama umezaliwa miaka yote hiyo, lakini muda wote huo hukuweza hata kujitambua, unataka watu wakuchukulie vipi?
Mungu wako alipozidi kumfuatafuata,akatoa simulizi ya mwendawazimu kupitia nguo zako,akatukumbusha kuwa alitutoa foleni za unga,mtu uliwatia tabu za maisha uliowatawala lakini huchoki kubwekea uongozi ulioondoa tabu ulizowatwika watu,kana kwamba ulifanya la maanaUnanieleza mambo ya kipumbavu unategemea mimi nitayajuwa vipi!
Sipotezi muda na hadithi za huko vijiweni kama ulivyo wewe. Ngazi yangu ni tofauti kabisa na hiyo yako.
Unatoa mfano wa Mwinyi, huyo ndiye kiongozi aliye kukoga wewe? Basi anzisha mada juu yake.
Unamsikiliza mtu kumbukumbu zake zimeliwa na mchwa,una uhakika gani hasumbuliwi na dimentia!?..rais' wa nchi kikwete alirudia mara kadhaa kuwa lami aliyoacha mkoloni ni dar-chalinzeHujui lolote mkuu, lami ya kwanza alijenga marehemu James Kikenya mwaka 1956 niliyasikia haya kutoka kwake mwenyewe aliishi hapa mbezi beach,
Nyerere apewe heshima yake aliongoza Tanganyika iliyojaa wajinga wengii hivyo asingeweza kwa mara moja tu akaleta mabadiliko yote tunayoyaona leo hii. Kuongoza nchi ni tofauti na hizi soga zetu humu jukwaani.
Nyerere alikua kiongozi mzuri, na tunampenda ila sera yake ya ujamaa haikuweza, isingeweza kutoa matunda kwa jamii hizi za kitanzania.Kuna msemo unasema 'huwezi kutumia akili iliyosababisha tatizo kutatua tatizo'..haishangazi kuona kwamba hakuona tatizo kwenye ujamaa wake,ujamaa kwake ulikua dini,alichukia sana mtu kuwa tajiri
Kenya ina uchumi wa kuufanya kuwa benchmark yetu?.. acheni akili za kutukuza vya njeNyerere alikua kiongozi mzuri, na tunampenda ila sera yake ya ujamaa haikuweza, isingeweza kutoa matunda kwa jamii hizi za kitanzania.
It was a day dream, na alifeli pakubwa.
Ange adopt na ujamaa mapema tangu uhuru, hata kenya tungekua tunakimbizana kiuchumi.
Wewe mbinguni utaenda kwa kusema ukweli.Nyerere last time alikuwa Raisi wa Tanzania almost 40 years ago, leo bado mnafikiri shida zenu ni Nyerere, at least shukuru hakutuachia vita kama haya matekaji ya siku hizi yanapotupeleka, na Kwa msio jua Nyerere alikuwa ahead of his time, yeye ndio alipigania nchi iwe na vyama vingi huku CCM aliyoianzishia walikuwa wanatutisha vyama vingi vitaleta vita, Nyerere nakubali sera zake za uchumi zilituletea umaskini lakini alionekana kubadilika mwishoni, alikuwa mtu wa haki na hakuwahi na Tamaa, alikufa maskini kabisa, na ingekuwa anaishi Nina uhakika asingekubaliana na siasa za CCM za wizi wa kura, kubambikia kesi, utekaji au kuuza maliasiri za nchi. He was a good man
If you want to kill a dog just give it a bad name ??!Ukitaka kuua mbwa mpe jina baya
Ndio tulisingizia na maumivu yake mpaka leo vizazi vinateseka kwa ushamba wa mtu mmoja