Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Mkoloni alijenga lami hadi chalinze,acha uwongo jombaa,na nyerere mwenyewe kwenye lami ndiyo bure kabisa,hakuna cha maana alichofanya,kikwete pekee alijenga lami zaidi ya awamu tatu za kabla yake kwa ujumla
 
Mkoloni alijenga lami hadi chalinze,acha uwongo jombaa,na nyerere mwenyewe kwenye lami ndiyo bure kabisa,hakuna cha maana alichofanya,kikwete pekee alijenga lami zaidi ya awamu tatu za kabla yake kwa ujumla
Hujui lolote mkuu, lami ya kwanza alijenga marehemu James Kikenya mwaka 1956 niliyasikia haya kutoka kwake mwenyewe aliishi hapa mbezi beach,

Nyerere apewe heshima yake aliongoza Tanganyika iliyojaa wajinga wengii hivyo asingeweza kwa mara moja tu akaleta mabadiliko yote tunayoyaona leo hii. Kuongoza nchi ni tofauti na hizi soga zetu humu jukwaani.
 
Ndio, sera zake za kiuchumi zilifeli vibaya mno
 
Kwenye Udini alichemka
 
Unaijua hadithi ya mwinyi ya kuoga bafuni na mwendawazimu kupitia nguo zako?..ulisikia alichokisema kwenye hotuba yake inayofichwa ya mikuki mitatu?..hapo alikua 'anamkoga' tu
Unanieleza mambo ya kipumbavu unategemea mimi nitayajuwa vipi!
Sipotezi muda na hadithi za huko vijiweni kama ulivyo wewe. Ngazi yangu ni tofauti kabisa na hiyo yako.

Unatoa mfano wa Mwinyi, huyo ndiye kiongozi aliye kukoga wewe? Basi anzisha mada juu yake.
 
Bado huelewi unacho ambiwa. Wewe ulitaka Tanzania iwe dunia gani ya kipekee sana ambayo matatizo yaliyo ikumba dunia nzima yaliyumbisha kila sehemu?
Kwa sababu akili yako haina upeo wa kuangalia mbali zaidi ya pua yako, hayo unayo yazungumzia hapa hujui kwamba kulikuwa na matatizo mengi duniani wakati huo. Badala ya kupanua akili yako, unaishia kulaumu kwa msukumo wa unaoujuwa mwenyewe. Hapo unataka usaidiwe vipi, kama si kukuacha uendelee na ujinga/upumbavu wako!
 
Nashambulia mtu binafsi kwa sababu mtu huyo ni mjinga. Kwa mtu wa aina hiyo unatakaje?
Wewe kama umezaliwa miaka yote hiyo, lakini muda wote huo hukuweza hata kujitambua, unataka watu wakuchukulie vipi?
 
Sasa si ndo ifafanue hayo matatizo sasa, hivi we jamaa una akili kweli.
 
Kwa mentality za most humu na hasa chakadomozzzz

Kila kiongozi hapa bongo ni failure

Za kuambiwa?
 
Mungu wako alipozidi kumfuatafuata,akatoa simulizi ya mwendawazimu kupitia nguo zako,akatukumbusha kuwa alitutoa foleni za unga,mtu uliwatia tabu za maisha uliowatawala lakini huchoki kubwekea uongozi ulioondoa tabu ulizowatwika watu,kana kwamba ulifanya la maana
 
Unamsikiliza mtu kumbukumbu zake zimeliwa na mchwa,una uhakika gani hasumbuliwi na dimentia!?..rais' wa nchi kikwete alirudia mara kadhaa kuwa lami aliyoacha mkoloni ni dar-chalinze
 
Kuna msemo unasema 'huwezi kutumia akili iliyosababisha tatizo kutatua tatizo'..haishangazi kuona kwamba hakuona tatizo kwenye ujamaa wake,ujamaa kwake ulikua dini,alichukia sana mtu kuwa tajiri
Nyerere alikua kiongozi mzuri, na tunampenda ila sera yake ya ujamaa haikuweza, isingeweza kutoa matunda kwa jamii hizi za kitanzania.

It was a day dream, na alifeli pakubwa.

Ange adopt na ujamaa mapema tangu uhuru, hata kenya tungekua tunakimbizana kiuchumi.
 
Kenya ina uchumi wa kuufanya kuwa benchmark yetu?.. acheni akili za kutukuza vya nje
 
Wewe mbinguni utaenda kwa kusema ukweli.

Na huu ndo ukweli wazee wa miaka 70, hawataki kuskia. Kwenye sera za uchumi nyerere alifeli, Huko kwingine kote Alikua vizuri lkn kwenye uchumi ni 0.

Sasaivi, tuko na sera angalau ila hatuzitekelezi kama tunavo zi strategize mwisho wa siku results/Impacts inakua below targets.

Nyerere sera iko kushoto, utekelezaji uko juu, matokeo zero 🤣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…