Nyerere last time alikuwa Raisi wa Tanzania almost 40 years ago, leo bado mnafikiri shida zenu ni Nyerere, at least shukuru hakutuachia vita kama haya matekaji ya siku hizi yanapotupeleka, na Kwa msio jua Nyerere alikuwa ahead of his time, yeye ndio alipigania nchi iwe na vyama vingi huku CCM aliyoianzishia walikuwa wanatutisha vyama vingi vitaleta vita, Nyerere nakubali sera zake za uchumi zilituletea umaskini lakini alionekana kubadilika mwishoni, alikuwa mtu wa haki na hakuwahi na Tamaa, alikufa maskini kabisa, na ingekuwa anaishi Nina uhakika asingekubaliana na siasa za CCM za wizi wa kura, kubambikia kesi, utekaji au kuuza maliasiri za nchi. He was a good man