Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Watu wenye roho mbaya ndivyo walivyo uwa wanajijali wenyewe tu na wanapenda sifa na kuabudiwa na ndivyo hali ilivyo hivi sasa nchini mwetu,
Nyerere anaabudiwa kuliko Mwenyezi Mungu aliyetuumba,kila kitu utasikia Mwalimu alisema!
Angalia hata Muungano tulionao ulistahili kabisa muundo wake kupitiwa upya lakini ni kama vile kila kiongozi anaogopa kuchokonoa jambo hilo kwani anaona atauudhi mzimu wa Nyerere sasa labda tusubiri hadi vile vizee vyote vinavyomuabudu huyo bwana mkubwa vife vyote.
Duh! Tundu Lisu anaweza kupindu maujinga aliyotuachia Nyerere
 
Kama ulizaliwa mwaka 1970 basi by 1985 Nyerere akitoka madarakani ulikuwa na miaka 15.

Hukuwa na akili ya kujua mambo. Endelea kujuzwa na waliokuwepo ili uelimike.

Hakuna Tanzania yenye utulivu huu tulionao bila mchango mkubwa wa baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere
Umenena vema👏🏽👏🏽👏🏽
 
Kama ulizaliwa mwaka 1970 basi by 1985 Nyerere akitoka madarakani ulikuwa na miaka 15.

Hukuwa na akili ya kujua mambo. Endelea kujuzwa na waliokuwepo ili uelimike.

Hakuna Tanzania yenye utulivu huu tulionao bila mchango mkubwa wa baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere
Yaani wewe mpaka 15yrs of age ulikuwa hujitambui!!
We tupishe humu
 
Kila kiongozi ana mazuri na mabaya yake. Nadhani Nyerere angechagua ubepari kipindi kile , Leo tungekuwa nchi ya hovyo Sana. Bora kwa Sasa tumeingia ubepari kwa hatua hivyo madhara yake tunayaona kwa Sasa kuliko tungeanza kutaona 1965.
Hawa wajinga wapigaj wa pesa za umma lazima wamlaumu Nyerere.

kwasasa tuna zaid ya watz 10% ambao ni homeles , vijana wanaangamia na madawa , uharifu unakithiri na umaskini umeshamir , miji imejengwa hovyo , kila mradi unatuletea deni na mradi haumaliz miaka 5 unakuwa umeharibika huku riba ya deni imepanda , jeshi la polisi limekuwa ndo wauaji na watekaji , wanajeshi wamekuwa walevi , watumishi wa umma wanatafuta pa kuiba kwenye miradi ya umma au ofisi za umma , ccmu kazi kubwa ni kukopa na kula pesa za mikopo huku watz wengine ndo tunabeba mzigo

HAWA WAJINGA WANATAKA YOTE HAYA ANGEYATATUA NYERERE ILIHALI YALIANZA BAADA YA NYERERE KUFARIKI

NB.TANZANIA ILIKUWA NCHI YENYE HESHIMA UKANDA WA KUSINI , MASHARIKI NA KATI YA AFRIKA ENZI ZA UTAWALA WA NYERERE.

NYERERE ALIWEZA KUDHIBITI

1.RUSHWA
2.UWAJIBIKAJI WA WATUMISHI WOTE HADI MAWAZIRI
3.GAP LA WASIOKUWA NACHO NA WALIONACHO
4.UFISADI WA MIRADI YA UMMA
5.UKABILA
6.UDINI
7.KUTUNZA VIWANDA VILIVYOACHWA NA WAKOLONI
8.KUTUNZA MIRADI ILIYOACHWA NA WAKOLONI IKIWEMO RELI ILA MWINY ALIKUJA KUUA AU KUPAVE WAY YA KUUA
9.NYERERE ALIWEKA MBELE NA SIO FAMILIA YAKE KAMA ILIVYO SIKU HZ


MSISAHAU ENZI ZA NYERERE
1.KULIKUWA NA WASOMI WACHACHE
2.BADO SEHEM KUBWA YA NCHI ILIKUWA DUNI KIFIKRA NA KIUCHUMI
3.PIA WALIOKUWA WAKOLONI WALIKUWA NA USHAWISHI MKUBWA KWENY NCHI ZETU SO VIONGOZ WETU HAWAKUWA NA MAAMUZ HURU KWA 100%
4.BILA KUSAHAU TULIKUWA NDO TUMEPATA UHURU SO TULIKUWA NA CHANGAMOTO NDOGO NDOGO NYING AMBAZO ILIKUWA MUHIMU KUZITATUA KABLA YA KUKIMBILIA FYLOVER MF UKABILA , UDINI , UJINGA , KUPUNGUZA TOFAUTU YA WASIOKUWA NACHO NA WALIOKUWA NACHO , KUILETA JAMII PAMOJA NA KUANZA KUJENGA MSINGI WA KESHO
5.NJIA ZA MAWASILIANO NA UCHUKUZI ZILIKUWA DUNI SO ILIKUWA NGUMU KUFANIKISHA JAMBO KWA MUDA MFUPI
 
Mwalim alipoachia uñataka kusema na waliofuatia nao nchi iliwashinda!? Maana speech zako zinaonesha nchi Iko palepale.
Hapa Mzee Mwinyi ndiyo aliyefungua inchi kutoka kwenye umasikini wa kutupa,yaani kila kitu kilikuwa kibaya,mfano ilikuwa kawaida ukashinda stand ya basi mpaka siku 3 sababu hakuna usafiri unakotaka kwenda na tiketi umeshakata, no kampuni ilikuwa ni moja tu us mabasi Railway,huo mda hakuna guest mnashinda mmelala stand, hii inchi tumshukhuru sana Mzee Mwinyi
 
Hawa wajinga wapigaj wa pesa za umma lazima wamlaumu Nyerere.

kwasasa tuna zaid ya watz 10% ambao ni homeles , vijana wanaangamia na madawa , uharifu unakithiri na umaskini umeshamir , miji imejengwa hovyo , kila mradi unatuletea deni na mradi haumaliz miaka 5 unakuwa umeharibika huku riba ya deni imepanda , jeshi la polisi limekuwa ndo wauaji na watekaji , wanajeshi wamekuwa walevi , watumishi wa umma wanatafuta pa kuiba kwenye miradi ya umma au ofisi za umma , ccmu kazi kubwa ni kukopa na kula pesa za mikopo huku watz wengine ndo tunabeba mzigo

HAWA WAJINGA WANATAKA YOTE HAYA ANGEYATATUA NYERERE ILIHALI YALIANZA BAADA YA NYERERE KUFARIKI

NB.TANZANIA ILIKUWA NCHI YENYE HESHIMA UKANDA WA KUSINI , MASHARIKI NA KATI YA AFRIKA ENZI ZA UTAWALA WA NYERERE.

NYERERE ALIWEZA KUDHIBITI

1.RUSHWA
2.UWAJIBIKAJI WA WATUMISHI WOTE HADI MAWAZIRI
3.GAP LA WASIOKUWA NACHO NA WALIONACHO
4.UFISADI WA MIRADI YA UMMA
5.UKABILA
6.UDINI
7.KUTUNZA VIWANDA VILIVYOACHWA NA WAKOLONI
8.KUTUNZA MIRADI ILIYOACHWA NA WAKOLONI IKIWEMO RELI ILA MWINY ALIKUJA KUUA AU KUPAVE WAY YA KUUA
9.NYERERE ALIWEKA MBELE NA SIO FAMILIA YAKE KAMA ILIVYO SIKU HZ


MSISAHAU ENZI ZA NYERERE
1.KULIKUWA NA WASOMI WACHACHE
2.BADO SEHEM KUBWA YA NCHI ILIKUWA DUNI KIFIKRA NA KIUCHUMI
3.PIA WALIOKUWA WAKOLONI WALIKUWA NA USHAWISHI MKUBWA KWENY NCHI ZETU SO VIONGOZ WETU HAWAKUWA NA MAAMUZ HURU KWA 100%
4.BILA KUSAHAU TULIKUWA NDO TUMEPATA UHURU SO TULIKUWA NA CHANGAMOTO NDOGO NDOGO NYING AMBAZO ILIKUWA MUHIMU KUZITATUA KABLA YA KUKIMBILIA FYLOVER MF UKABILA , UDINI , UJINGA , KUPUNGUZA TOFAUTU YA WASIOKUWA NACHO NA WALIOKUWA NACHO , KUILETA JAMII PAMOJA NA KUANZA KUJENGA MSINGI WA KESHO
5.NJIA ZA MAWASILIANO NA UCHUKUZI ZILIKUWA DUNI SO ILIKUWA NGUMU KUFANIKISHA JAMBO KWA MUDA MFUPI

Kweli kabisa mkuu
 
Watu wenye roho mbaya ndivyo walivyo uwa wanajijali wenyewe tu na wanapenda sifa na kuabudiwa na ndivyo hali ilivyo hivi sasa nchini mwetu,
Nyerere anaabudiwa kuliko Mwenyezi Mungu aliyetuumba,kila kitu utasikia Mwalimu alisema!
Angalia hata Muungano tulionao ulistahili kabisa muundo wake kupitiwa upya lakini ni kama vile kila kiongozi anaogopa kuchokonoa jambo hilo kwani anaona atauudhi mzimu wa Nyerere sasa labda tusubiri hadi vile vizee vyote vinavyomuabudu huyo bwana mkubwa vife vyote.
Nakubaliana nawewe sehemu nyingi hasa, umaskini uliopo sasa bongo ni sababu ya Nyerere kukurupuka kuanzisha sera ya ujamaa ambao hakuuelewa kabisa!! English si lugha yetu kuingia chaka ni dkk sifuri na ndiyo maana wazungu hawakumuelewa Nyerere na alipoandika vitabu vyake wakasema aseme ujamaa sababu anachoandika si socialism ya Karl Marx wao yenye mfuatano sahihi wa modes of production!! 1. 1. Primitive communalism,
2. Slave society, 3. Feudalism, 4. Capitalism and 5. Socialism /communism.
Yaani alichofanya Nyerere ni kama umtoe mtoto darasa la tatu tena Kayumba umpeleke sekondari ya English medium , A level! Elimu za wazungu tuwaachie wenyewe kuiga bila kuelewa ni mbaya mno. Nonsense kabisa!!

Katika modes of production lazima kwanza upite ukabaila maendeleo ya kilimo ambapo matajiri wa kilimo hukuza mitaji na kuanzisha viwanda na bizness kubwa local and internationally kama sehemu ya ideology ya ubepari inavyotaka ambapo watu wachache wanapojaa utajiri wa kutisha kwa kunyonya mamilioni ya watu wanaanza kuigaragaza na kuisumbua serikali na ndipo ideology ya ujamaa huingia kuwapiga spana matajiri na kuwapunguzia raia wanaonyonywa hali ngumu kupitia mali za matajiri sasa sijui Nyerere alisoma wapi ujamaa wake sababu nchi ilikuwa maskini eti ikawa ya kijamaa, kivipi sasa? Mbona hatukupita mapinduzi ya kilimo (agrarian revolution) na hatukupita industrial revolution sasa ujamaa ulitoka wapo? nonsense kabisa!

Kuhusu muungano Nyerere was a genius, hakuna kama yeye duniani maana muungano wa bongo hauvunjiki sababu ya muundo wake hauko kwenye kitabu chochote duniani , hatupaswi kuhoji chochote kuhusu muungano , ni too much philosophical.
Aina za muungano ni
1. union (nchi mbili au tatu zinaungana inakuwa nchi moja, rais mmoja, msipoelewana mkipigana vita mnatengana) ,
2 federation ( nchi zinaungana kila moja inakuwa na mtawala ila kuna Rais wa Muungano, mkizinguana kila nchi inabaki kivyake na rais wake, Rais wa muungano anajikuta hana nchi , anasepa), confederal (nchi zinaungana katika baadhi ya mambo kama sarafu moja, jeshi moja nk ila kila moja inakuwa na rais wake) . Ukiona huelewi muungano wetu usiulize jukwaani hutapata kitu we nenda tu UDSM Mlimani wanafundisha.

Kuhusu wazee kuishia mavumbini ili nchi ya bongo itajirike yes you are right, hawa wazee ni kikwazo kikubwa cha maendeleo, wengi wao walizaliwa kijijini na kutembea peku umbali mrefu kwenda shule ya mission, wazee wengi ni washamba na malimbukeni mno, hawa wazee wetu ndio shida kubwa ya nchi hii, wamejaa mawazo mgando, mawazo ya kizamani sababu ya kuchapwa bakora na mkoloni mweupe ili kuchimba barabara, baada ya nchi kupata uhuru wao wakageuka wakoloni weusi, miungu watu unajua mi nani na hawa ndio wanalazimisha ujinga wa ujamaa kuendelea kudidimiza nchi kwenye umaskini!! Wazee watakapokufa na ujamaa wao utakufa. Ujamaa ambao hata hawajui ni kitu gani.
 
Stress za kuachwa na Mme wako unaletea watu. Ninamjibu mwingine wewe ndio unajipendekeza. Stupid idiot.
Hapo umemjibu nani? Halafu kama baba yako anafirwa usifikiri wanaume wote wapo hivyo,endelea kutukana.
Screenshot_20240901_105544_DuckDuckGo.jpg
 
Tatizo jingine lilitotia moto kwenye utawala wa nyerere ni Azimio la Arusha utaifishaji wa njia kuu zote za uchumi na kumilikiwa na selikali hili nalo liliirudisha sana nyuma Tanzani,sijui alikuwa anashauriwa na nani mzee wetu, bila kusahau Sogeza Vijiji vya ujamaa,kuwahamisha watu kwenye maeneo yao ya asili yenye rutuba na makubwa halafu kuwaweka pamoja ili wafanye kazi pamoja,Vijiji vya ujamaa ilisababisha vifo vingi sana na njaa,tatizo vijana wa sasa hivi hawaujui ukweli,na hata walioandika historia wameandika kwa kuwafurahisha watawala
 
Kulikuwa na sababu ya kuingia vitani? tufafanulie

Hakuna anayelialia tunajiribu kutafakali no kuchambua pale walipikosea Viongozi wetu
Kulikuwa na ulazima wa kuingia vitani kukomboa mkoa wa kagera ambao iddi amini aliuteka.
Kwa mtazamo wangu Nyerere aliikuza sana ile vita kulikuwa hakuna ulazima wa kuivamia Uganda manake Iddi Amini aliondolewa kirahisi Kagera vita ingeishia hapo na Nchi isingeingia gharama kubwa tungebaki kuimarisha ulinzi mpakani Kagera.
Kulikuwa na sababu ya kuingia vitani? tufafanulie

Hakuna anayelialia tunajiribu kutafakali no kuchambua pale walipikosea Viongozi wetu
 
Kulikuwa na ulazima wa kuingia vitani kukomboa mkoa wa kagera ambao iddi amini aliuteka.
Kwa mtazamo wangu Nyerere aliikuza sana ile vita kulikuwa hakuna ulazima wa kuivamia Uganda manake Iddi Amini aliondolewa kirahisi Kagera vita ingeishia hapo na Nchi isingeingia gharama kubwa tungebaki kuimarisha ulinzi mpakani Kagera.
Alikuwa na sababu nyingine zilizomsukuma kuingia vitani ambazo hakutaka kuziweka bayana bila shaka.
 
Mada inafikirisha kiaina ila the fact I know ni kwamba mwalimu himself alikuwa ana uwezo sana as a person sasa kuhusu kutokuwa na uwezo wa kuiongoza nchi mh labda Nisikilize maoni ya wadau kwanza
 
Miaka yote hii umekuwa mtu mzima; na sijui kama hata shule ulikwenda, bado hata akili ya kutafuta taarifa mwenyewe huna?
Unaeleza umezaliwa miaka ya 1970. Sasa wewe kama mtoto hayo mambo uliyajuaje?
Tueleze ulipata utapia mlo ndiyo maana akili yako ikadumaa kiasi hiki?

Ni waTanzania wangapi walikufa njaa wakati huo, unajuwa? Je, Ethiopia na hapo Kenya, nako Nyerere aliwanyima chakula watu wa huko waliokuwa wakifa kwa njaa?
Mleta Mada ni tutusa na mbwiga fulani hivi

Ugumu wa maisha ulianzia 1979 baada ya Vita ya Kagera
 
Back
Top Bottom