- Thread starter
- #121
NNyie
Nyie vijana wa sasa hivi hamuwezi kujua umaskini watu waliopitia waulize wakubwa zakoMada inafikirisha kiaina ila the fact I know ni kwamba mwalimu himself alikuwa ana uwezo sana as a person sasa kuhusu kutokuwa na uwezo wa kuiongoza nchi mh labda Nisikilize maoni ya wadau kwanza