Asilimia kubwa ya sisi wanaume hatuwi tested. Kitendo cha kuthubutu kuandika tuachane wanaume wengi hatuwezi jisumbua wala kujigusa inakuwa imeisha.Hapo zilikua zimeshapita week mbili mkuu nikimpigia hapokei sms hajibu nilimtumia break up text nione kama ata make effort kuokoa mahusiano ndo nikarealize kama alidhamiria tuachane
Basi endelea kumbembeleza atakuelewa utafurahia mahusiano yenu.Why anidharau wakati Mimi namuonesha upendo
Anahitaji farajaTukusaidie nini Sasa?
Pole sana Mjukuu
Kasongo Yeyeeeeee×2siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu
Njoo inbox tuyajenge.Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Wala uisone aibu. Watu wanafunga ndoa wanaachana sembuse boyfriend. Achana na tabia ya kuwekeza moyo wako kwa mtu. Jijali mwenyewe. Atayekupenda arakuja tu. Ndoa kama ipo ipo tu. By the way, ndoa zenyewe za siku hizi ni majanga matupu. Tuliza moyo wako na jipe furaha mwenyewe kwanza. Usitegemee kupata furaha kwa watu utaishia kuumizwa tu.Aibu nishaipata sababu mahusiano yetu yalikua open Sana
Acha mawazo ya kujiua binti. Wanaume wote hawa ujiue for what? Siku hizi watu hawalilii mapenzi kama hivi...Ahsante
Muache aende , mambo ya kulazimisha mtakuja kuumizana baadaeBora wewe mchumba, mimi nauona mwaka unaisha kwa divorce ambayo wifr ana force baada ya miaka 15 ya ndoa na watoto wa 4.
Nimeamua kumpa anachotaka.
Hapa kesho nimeitwa dawati la jinsia polisi.
Yah will do that, bado niko dawati kituo cha polisi muda huuMuache aende , mambo ya kulazimisha mtakuja kuumizana baadae
Au ndo yule mwenye maTatoooHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Hata ningekuwa ni mimi ningelala mbele.Anazo Ila Mimi nimemzidi Mara 5 yake
Ahsante mkuuLetting go is the best way to go!!.
1-Tafuta namna utakayoweza kukusaidia usimuone machoni mwako, iwe laivuu au mitandao ya kijamiii Kisha jijali nafasi yako na Maisha yako ya uchumi kwakua siku hizi mwanadam anataka kwanza ajue una nn ili apime kiwango Cha Heshima anachoweza kuendelea kukupa.
2-Kama una Moyo wa kuugulia ndan Kwa ndan bila MTU kujua, Usifute namba yake Wala usimblok,kwenye mitandao ya kijamii, ILA HAKIKISHA UNAPOST PICHA UKIWA NA FURAHAA SANAAA na nyingine ukiwa Sehem ambazo hakuwahi kukupeleka ... Watu wanaotupitisha kwenye maumivu Huwa wanawakawaida ya kutamani kutuona tunawalilia ,watuone tunatoka machozi ,watuone tumeharibikiwa, kwao wao hiyo ndo Furaha yako Kuu, Sasa ukifanikiwa kumpa matokeo Kinyume ya kile ambacho walikitegemea Huwa wanaumia sanaaa , na usishangae akaanza kujirudisha.
3-Mapenzi Kwa wanadamu hayatakiwi kua Kipaumbele Chao Cha Maisha Kwa sababu watu wanabadilika , hivo hupaswi kumtumainia mwanadamu na kumpa matarajio makubwa asiyostahili.
4/ Kama mmekua kwenye Uhusiano muda mrefu na mwezi Huu ndio alipanga kujitambulisha, basi huyo Hana mpango wa kukuoa , anasubiri mwezi wa kujitambulisha upite Kisha atarudi....Hana utayari wowote kwako.
5/Inawezekana ni Moja ya wanaume ambao Huwa wanaamua kutoa mitego ya kupima MTU , Huenda anataka kuona Ukomo wa uvumilivu wako
Sasa ufanye nini??.
Chagua Kati ya namba Moja au Mbili, lipi uende nalo.
Kivyovyote vile akijirudisha iwe aliamua kukupima au kaona we ndio sahihi, au Kwa namna yoyote Ile, SHARITI LAKO WEWE KURUDIAMA NAYE IWE NI NDOA, YAAN AJITAMBULISHE, NA MCHAKATO WA NDOA UANZE MARA MOJA BILA KUMPA MZIGO , YAAN KWA MAUMIVU ALOKUPITISHA , MPE MZIGO KWENYE NDOA TU.
Usikubali tena kua Mjinga.
Hapa aliibiwa simu mkuuHii ilikuwa dalili mbaya
Thread 'Nimenuniwa na mpenzi wangu' Nimenuniwa na mpenzi wangu
HuwendaPole Sana, Kaa chini tafakari jipende wewe mwenyewe, kila jambo linakuwa na sababu zake huenda Mungu amekuepusha na majuto ya mbeleni.
Why mapenzi Sio pesaHata ningekuwa ni mimi ningelala mbele.