Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Ahsanteee week 3 mtu unapiga hapokei sms hajibu nikamuandikia io text ya Kuachana nithibitishe kama tumeachana
 
Huu ndio ukweli unamuwazaje mtu ambaye hakuthamini kama ni mimi nitaishia Tu kukukera basi lakini sio niache kuwaza mambo yangu nikuwaze wewe usieona thamani yangu hapana
Baaasi kwa kuwa umeyajua hayo, utakufa kwa mengine, ajali, malaria, na vinginevyo lakini sio stress za mapenzi.
 
Siwezi kushauri kitu hapa kwa sababu sijaona response ya upande wa kiumeni..

mwanamke kafanya makosa sana kutuma sms ya kuachana kwa sababu hajui hali aliyokua nayo mwanaume wake at that moment..

Miss_Mariaah ulipaswa kuwatafuta ndugu na jamaa wa mchumba wako ili ujue kama mumeo mtarajiwa ametekwa ama amelazwa hospitali ama kapotea tu, hapo ndio unge draw conclusion..

Otherwise niseme una akili kama za wqtoto wa 2000. Wanafanya maamuzi ya moto wa kifuu badae yanakuja kuwacost pakubwa..
 
Unataka kujidhuru kisa kuachwa ziko sawa kichwani kweli wewe alaaaaaah 🤔🤔 kabla hujajimaliza tupe location tuje kupiga mpunga hapo
 
Lazima kuna shida mahali, sio rahisi mtu kukupa mikausho mikali bila sababu na mnakaribia ndoa.
Labda kuna kitu kagundua juu yako, au yeye kapata mtu huko.

Kama kakausha mpe muda kama wiki/mwezi usimtafute, akikausha muda huo uliojiwekea basi anza process za kumove on.

Wewe ushamtafuta na bila shaka ushamtumia text nzito nzito kibao, mwisho wa siku wewe mwenyewe tena unamwambia muachane ilhali hujui sababu ni nini (hapa umekosea). Ungeendelea kumtafuta kikawaida na kumpa muda, muda uliompa ukiisha basi unamwambia muachane.

Sio hujatafutwa siku kadhaa tu unaanza kusema muachane.
 
Mkuu nilimtafuta dada yake Na Kaka yake nikaongea nao nikawaeleza situation wakaongea Nae lkn hakunitafuta
 
Njoo nikupe faraja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…