Naumwa sana: Nimefika Pemba ili nitibiwe kienyeji, naombeni msaada wa Mtaalamu

Naumwa sana: Nimefika Pemba ili nitibiwe kienyeji, naombeni msaada wa Mtaalamu

Kwani mnaojuaa hizo chimbo za Waganga wa jadi mkimjibu hapa au kumfata inbox mnapungukiwa nini??
Kama hauna cha kumsaidia ukinyamaza pia ni busara tosha.

Dunia ina mengi sana yasipokukuta unaweza kuwa unatukana kila mtu na kujiona wewe unaishi kwa akili zako.
Siku zote chizi anachekesha akiwa atoki nyumbani kwako..Omba na Sali sana yasikukute Duniani kuna mitihani mizito mno.
Polee sana muhitajii jukwaa ni kubwa sana na kila mtu anaupeo wake wa kufikiriaa naamini kabisa msaada unaweza kuupata hapa hapa jukwaani Waungwana wapo
JF kila mtu mjuaji,tajiri,ana afya njema...
 
Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.

Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.

Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.

Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.

NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Cheki na Mwamposa ama Kapola.
Shetani hatubu, belzebuli hawezi toa belzebuli mwenzake.
 
Mkiwaga ofisini muwatetendee mema watumishi wenzenu,hasa nyie maafisa utumishi
Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.

Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.

Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.

Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.

NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
 
Back
Top Bottom