Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Abdul nyoko alivuma sana miaka ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee nasongea home,Kanda ya ziwaKwanini unahama? Ni mbali sana?
[emoji3]kuna wa yule mtaalam wa nyotaKunae uzi humu wa mganga wa kienyeji konki,.
Weekend njema madam teacherNgoja waje.
Pole kwa kuumwa dear.
JF kila mtu mjuaji,tajiri,ana afya njema...Kwani mnaojuaa hizo chimbo za Waganga wa jadi mkimjibu hapa au kumfata inbox mnapungukiwa nini??
Kama hauna cha kumsaidia ukinyamaza pia ni busara tosha.
Dunia ina mengi sana yasipokukuta unaweza kuwa unatukana kila mtu na kujiona wewe unaishi kwa akili zako.
Siku zote chizi anachekesha akiwa atoki nyumbani kwako..Omba na Sali sana yasikukute Duniani kuna mitihani mizito mno.
Polee sana muhitajii jukwaa ni kubwa sana na kila mtu anaupeo wake wa kufikiriaa naamini kabisa msaada unaweza kuupata hapa hapa jukwaani Waungwana wapo
Cheki na Mwamposa ama Kapola.Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.
Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.
Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.
Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.
NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.
Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.
Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.
Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.
NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.