Naumwa sana: Nimefika Pemba ili nitibiwe kienyeji, naombeni msaada wa Mtaalamu

Naumwa sana: Nimefika Pemba ili nitibiwe kienyeji, naombeni msaada wa Mtaalamu

So ulienda ukiwa hujui unaenda kwa nani? Utaenda pandikizwa majini humo mwilini mpaka ukome
Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.

Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.

Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.

Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.

NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Pole sana, siko Pemba, lakini nitumie details ya kinacho kusumbua na tiba/vipimo ulivyofanyiwa, wakati unaendelea kumtafuta mganga wa jadi, na mi pia nitakuwa nakupa ushauri.
 
Naona apa nime tagiwa,nipo safari nalud kwenye makazi yangu kutokea Arusha sa kumi na mbili nafika by sa Moja nitakua nimetulia nitakuja kumsikiliza mtoa mada nione tunasaidianaje🙏🏽
 
Piga namba hii 0774 40 54 08 huyu Ni mwalimu huko wanaita MAALIMU MOHAMMED,ni mwenyeji hapo mueleze shida zako atakusaidia.
Kila la kheri huko mwana jf usisahau kuleta feedback
 
Back
Top Bottom