Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nungunungu mpe namba ya mtaalam mwenzio
Natolea wapi namba za hivyo mimi...?😅We nungunungu mpe namba ya mtaalam mwenzio
Hakika umemjibu vyema kumbe zipogo😍Pole sana.
Tafuta mahali pazuri upumzike hata kwa siku nzima huku ukitafakari.
Baada ya hapo utajua pa kuelekea.
So ulienda ukiwa hujui unaenda kwa nani? Utaenda pandikizwa majini humo mwilini mpaka ukome
Pole sana, siko Pemba, lakini nitumie details ya kinacho kusumbua na tiba/vipimo ulivyofanyiwa, wakati unaendelea kumtafuta mganga wa jadi, na mi pia nitakuwa nakupa ushauri.Habari zenu.
Wakati mwingine unapoona tiba za hospitali hazisaidii, unaruhusiwa kujaribu na upande wa pili.
Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa kumpata mtaalamu aliyepo hapa Pemba muda huu.
Nimeshuka mchana huu hapa Bandarini.
Nimekuja kwa ajili ya kupata matibabu yangu binafsi.
Kama kuna mwenyeji wa Pemba, naombeni mnisaidie.
Najua nitakejeliwa, ila hamjui yanayonifika.
Niko tu nashangaa hapa, sina ninayemjua.
Hata Pm, njoo tu unipe maelekezo.
Asanteni.
NB:
Naona mnaniita kila majina, mimi mpumbavu na mjinga kwa maana nimekuja bila connection, ila LAITI MNGEJUA NINAVYOUMWA,WALA MSINGENIPA HAYO MAJIBU YA HOVYO.
NIMEKUJA HUKU ILI HATA KAMA NIKIMPATA, NIANZE MATIBABU HUKU HUKU.
Ni kweli sisi matajiri tunaomiliki mali hewa tuko vizuri 🤭 ila namtakia mgonjwa wetu afya njemaJF kila mtu mjuaji,tajiri,ana afya njema...
Ina maana huna connection mzee wa chimbo?
Tawile😂😂Wasiliana na Dogoli kinyamkela,anaweza kukusaidia tatizo lako