Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Serikali yetu ibaki kwenye kutoa huduma zipi? elimu? afya? maji? umeme? kote huko bado kuna matatizo miaka 60 baada ya kupata uhuru.

Narudia tena, serikali yetu nayo ibinafsishwe kwanza, kabla hatujafikiria kubinafsisha hizo taasisi nyingine.
wewe ndio inatakiwa ubinafsishwe maana huwezi hata kujiendesha mwenyewe
 
Serikali yetu ibaki kwenye kutoa huduma zipi? elimu? afya? maji? umeme? kote huko bado kuna matatizo miaka 60 baada ya kupata uhuru.

Narudia tena, serikali yetu nayo ibinafsishwe kwanza, kabla hatujafikiria kubinafsisha hizo taasisi nyingine.
Uko sawa.
 
Marekani inadaiwa na china sana tu. Kukopa ni moja ya maendeleo chanya. Ungesema ungejua. Shida ya nyie elimu ndo tatizo

Unajua kitu kinaitwa Modigliani theories? Unajua input and output models and how they work?
Kwa hiyo unalinganisha uchumi wa Marekani na kwetu? kwamba nao wanakopa hovyo hovyo kila siku kama tufanyavyo sisi?!

Hujui hata kufanya comparison, kigezo cha kwanza hakikisha unaowa- compare wanafanana kwa kiasi kikubwa, kama level ya uchumi, uendeshwaji wa serikali, uwajibikaji.. sio una compare mbingu na ardhi we mchumi wa modigliani theory!.

Pili, hakikisha hayo madesa yako uliyokariri yanaendana na mazingira tuliyomo, jiulize; hiyo theory uliyoandika { + input/output} iko applicable kwa viongozi wetu? au wanatumia kigezo cha hiyo theory kuficha udhaifu wao?

Hiyo modigliani theory yako sijui nini inasaidia nini kuondoa ujinga vichwani mwa viongozi wetu? wanaweza kufanya nini? hata huduma za msingi za binadamu zimewashinda kutoa, hatuna hata matundu ya vyoo mashuleni!, halafu wewe "msomi" unaleta ujuaji wa kukariri madesa yako wa modegliani....
 
Unafikiri tatizo ni nini?
 
Kwa Tanzania hii? Tulibinafsisha mshirika mengi mwisho wakaja wajanja wakavuna wakasepa na kuyaacha yakijifia
 
Na hapo ndo machina alikuwa anapataka bandari ya dar ingekufa natural death
 

Umetoa hoja nzuri but hii syteam isiwe kwa viongozi wa juu tuu bali iende mpaka kwa wafanyakazi wa chini kila mtu ajue jukumu lake ni lipi
 
Serikali yetu ibaki kwenye kutoa huduma zipi? elimu? afya? maji? umeme? kote huko bado kuna matatizo miaka 60 baada ya kupata uhuru.

Narudia tena, serikali yetu nayo ibinafsishwe kwanza, kabla hatujafikiria kubinafsisha hizo taasisi nyingine.
Hawa jamaa kula mbengu kwao sio ishu wamelitia umasikini taifa laki bado tu wanata wauze kilatiku.

Siwezi kuwalaumu ccm na serekali zake hapa wajinga ni watanzania wenye nchi yako.
 
Samia hataki shida kabisa yeye kila kinachomkera anabonafsisha
 
Lengo la kubinafsisha ni kwa ajili ya kuwapa Waarabu au Wachina hakuna jambo jingine hapo.

Watu wenyewe ni akina Mwigulu Nchema,January Makamba na Ridhiwani Kikwete chini ya Bunge bubu la Tulia Acksoni nchi itabaki mifupa tu.
Watu ni kama wamekatwa vichwa, washindwe kuendesha bandari eti wanasubiri mwingine aje awaendeshee wao kazi yao kwenda kukusanya pesa. Labda kama huyo mwekezaji ni mjinga

Anaanza na kuwekeza trilioni 1, hawajui katoa masharti gani. Pengine mmeambiwa msubiri mwaka mzima arudishe kwanza hiyo trillion 1 ndio mkusanye Kodi. Na hapo kwenye Kodi anaweza ku-declare hasara
 

Nimeona kavideo clip mtandaoni U tube just a blink of an eye. Ka dinner ya yanga jana hapo Afisi Kuu Takatifu. Hizo sura za wahudumu wa misosi na vinywaji ni kastuka kidogo au ubinafsishaji ulianzia hapo kwa huduma za misosi huku bandarini/TPA ni muendelezo tu
 
Sasa si wataiba hizo kiduchu zitakazopatikana kutoka kwenye hayo makampuni?
 
Marekani inadaiwa na china sana tu. Kukopa ni moja ya maendeleo chanya. Ungesema ungejua. Shida ya nyie elimu ndo tatizo

Unajua kitu kinaitwa Modigliani theories? Unajua input and output models and how they work?
Hili si tatizo lako, ni tatizo la teenagers wengi wapo hivi. Akijua kitu huwa anaamini hakuna wengine wanaojua

Leo unaniuliza kuhusu Modigliani-miller? Hunijui lakini unaassume hakuna kitu najua
 
Ndiyo mkuu uko sahihi wezi wanafikiria namna ya kunufaisha familia zao.
Na njia moja kubwa wanayotumia kwenye kujinufaisha hi hii ya MIKATABA. Ukisikia kuna MKATABA umesainiwa, angalia kwa jicho la tatu, utaona nia halisi ya nyuma ya pazia.
 
Uafrika hasa utanzania ni LAANA.
 
Mwafrika hawezi kujiongoza mwenyewe inabidi mkoloni arudi kutu tawala kwa viboko.

Mwafrika akipata nafasi tu ya uongozi anachowaza ni kuji tajirisha yeye kwanza.

Mjerumani inabidi kutawala hii nchi kwa Viboko.

Uafrika hasa Utanzania ni LAANA.
 
Watanzania ni wezi imeshindikana kuwadhibiti kutokana na aina ya viongozi iliyopo na wanalindana sana kwenye wizi wao hivyo serikali haipati pesa zinazo stahiLi kupitia badari bora kuwapa wawekezaji tuu
Wala hawajashindikana. Tatizo lilianza pale mwizi wa kuku anafungwa miaka 10 ila mwizi wa mabiliano kifungo cha miaka Mitano au kulipa faini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…