saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
wewe ndio inatakiwa ubinafsishwe maana huwezi hata kujiendesha mwenyeweSerikali yetu ibaki kwenye kutoa huduma zipi? elimu? afya? maji? umeme? kote huko bado kuna matatizo miaka 60 baada ya kupata uhuru.
Narudia tena, serikali yetu nayo ibinafsishwe kwanza, kabla hatujafikiria kubinafsisha hizo taasisi nyingine.
Uko sawa.Serikali yetu ibaki kwenye kutoa huduma zipi? elimu? afya? maji? umeme? kote huko bado kuna matatizo miaka 60 baada ya kupata uhuru.
Narudia tena, serikali yetu nayo ibinafsishwe kwanza, kabla hatujafikiria kubinafsisha hizo taasisi nyingine.
Kwa hiyo unalinganisha uchumi wa Marekani na kwetu? kwamba nao wanakopa hovyo hovyo kila siku kama tufanyavyo sisi?!Marekani inadaiwa na china sana tu. Kukopa ni moja ya maendeleo chanya. Ungesema ungejua. Shida ya nyie elimu ndo tatizo
Unajua kitu kinaitwa Modigliani theories? Unajua input and output models and how they work?
Unafikiri tatizo ni nini?Ifike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.
Mashirika ya umma kama Bandari, Tanesco, Maji, sijui Posta, TTCL, ATCL, na zinitakiwa kuingia sokoni kuuzwa.
Hiyo Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.
Tanesco angali utendaji wao, lazima wafuatwe offisini uwe unajuama na mfanya kazi mmoja wapo, na sio tu kufuatana na kuwapa rushwa juu, sasa ingekuwa inasimamiwa na watu weupe unazani kungekuwa na kufuatana offisini?
Angalia TTCL haijulikani kazi zao kwa sasa, hivi TTCL ilikuwa ni ya kushindwa hadi na wakina Haloteli? TTCL ilipaswa kuwa sawa na Vodacom, ila Kwa sababu ni Mali ya Umma hakuna anaye jali pale na imejaa wafanya kazi wengi kuliko ufanisi na hakuna anajali.
Mamlaka za maji zimejaa upigaji tupu, unafuatilia kuunganishiwa maji hadi unachoka na lazima uhonge la sivyo hutakaa uunganishiwe maji.
Kwani Bandari ikikodishwa hao wanao kodisha watakuja kuondoka nayo? Wataihamisha? Tuachane na ujamaaa
Kwa Tanzania hii? Tulibinafsisha mshirika mengi mwisho wakaja wajanja wakavuna wakasepa na kuyaacha yakijifiakubinafsisha kupo kwa aina mbili. mojawapo ni kuwapa watu wa ndani na aina nyingine ni kuwapa wawekezaji wa nje. Hapa kweli tunaweza kuwawezesha wawekezaji wetu wa ndani na kuisimamia bandari na mashirika mengine yakaendeshwa kwa tija na kwa faida zaidi kuliko kuiachia serikali wakati kila mwaka mwaka wanazalisha hasara tu. serikali ibaki kwenye majukumu yake ya msingi ambayo ni kutoa huduma za msingi na kudhibiti ubora wa huduma na viwango pamoja na kukusanya kodi katika hizo taasisi.
Na hapo ndo machina alikuwa anapataka bandari ya dar ingekufa natural deathHio Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.
Hata mimi kwa hili naunga mkono zaid ya 1000000% serikali inashindwa kuwasimamia watu iliyo waajir yenyewe
Kama hadi Bandari inatushinda kuiendesha, basi hakuna kitu Watanzania tutaweza kukisimamia na kukiendesha kwa Ufanisi.
Hapo Bandari na mashirika mengine ya Umma kilichotakiwa ni kubadiri namna ya kuwapata Wakurugenzi Watendaji yaani CEOs, badala ya kuteuliwa kisiasa basi Wangechujwa kupitia Interviews pamoja na kuruhusu Mtu yeyote mwenye sifa kuomba hata kama atakuwa Sio raia wa Tanzania.
Upatikanaji wao uangalie zaidi Merits.
Hao maCEOs wapewe malengo na Serikali iache Utaalamu ufanye kazi badala ya kuingiza Siasa zao
Hawa jamaa kula mbengu kwao sio ishu wamelitia umasikini taifa laki bado tu wanata wauze kilatiku.Serikali yetu ibaki kwenye kutoa huduma zipi? elimu? afya? maji? umeme? kote huko bado kuna matatizo miaka 60 baada ya kupata uhuru.
Narudia tena, serikali yetu nayo ibinafsishwe kwanza, kabla hatujafikiria kubinafsisha hizo taasisi nyingine.
Samia hataki shida kabisa yeye kila kinachomkera anabonafsishaAkili za hovyo kabisa hizi, kwa hiyo furaha yako uwape wageni wakuendeshee mambo yako wewe uendelee na story za pwagu na pwaguzi kwenye kijiwe cha kahawa.
Kama mnataka kubinafsisha kwa nini msiwambie watanzania wenyewe waunde makampuni waiendesha, au ndo ule jenerali Ulimwengu aliuita ugenishaji.
Watu ni kama wamekatwa vichwa, washindwe kuendesha bandari eti wanasubiri mwingine aje awaendeshee wao kazi yao kwenda kukusanya pesa. Labda kama huyo mwekezaji ni mjingaLengo la kubinafsisha ni kwa ajili ya kuwapa Waarabu au Wachina hakuna jambo jingine hapo.
Watu wenyewe ni akina Mwigulu Nchema,January Makamba na Ridhiwani Kikwete chini ya Bunge bubu la Tulia Acksoni nchi itabaki mifupa tu.
kubinafsisha kupo kwa aina mbili. mojawapo ni kuwapa watu wa ndani na aina nyingine ni kuwapa wawekezaji wa nje. Hapa kweli tunaweza kuwawezesha wawekezaji wetu wa ndani na kuisimamia bandari na mashirika mengine yakaendeshwa kwa tija na kwa faida zaidi kuliko kuiachia serikali wakati kila mwaka mwaka wanazalisha hasara tu. serikali ibaki kwenye majukumu yake ya msingi ambayo ni kutoa huduma za msingi na kudhibiti ubora wa huduma na viwango pamoja na kukusanya kodi katika hizo taasisi.
Sasa si wataiba hizo kiduchu zitakazopatikana kutoka kwenye hayo makampuni?Naungana na wewe serikali kufanya biashara ni kunufaisha watu wachache tu maana wizi ni asili ya watanzania ziwekwe terms nzuri kimkataba ambazo zitaipa pesa za uhakika serikali wawaachie wawekezaji.hata ufanisi utakuwepo sana na malalamiko yatapungua sana
Ndiyo mkuu uko sahihi wezi wanafikiria namna ya kunufaisha familia zao.Bandari ni suala la usalama wa taifa, ni mpaka wa nchi.
Hili si tatizo lako, ni tatizo la teenagers wengi wapo hivi. Akijua kitu huwa anaamini hakuna wengine wanaojuaMarekani inadaiwa na china sana tu. Kukopa ni moja ya maendeleo chanya. Ungesema ungejua. Shida ya nyie elimu ndo tatizo
Unajua kitu kinaitwa Modigliani theories? Unajua input and output models and how they work?
Na hawa kubadilika wenyewe ni kama haiwezekani - ni wajibu wetu kuwabadilisha, kama tunalipenda Taifa hili.Hapo serekali ndio inatakiwa kubadilika ukishindwa kuendeshe bandari Kuna siku utabinafsisha TRA
Na njia moja kubwa wanayotumia kwenye kujinufaisha hi hii ya MIKATABA. Ukisikia kuna MKATABA umesainiwa, angalia kwa jicho la tatu, utaona nia halisi ya nyuma ya pazia.Ndiyo mkuu uko sahihi wezi wanafikiria namna ya kunufaisha familia zao.
Uafrika hasa utanzania ni LAANA.Ifike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.
Mashirika ya umma kama Bandari, Tanesco, Maji, sijui Posta, TTCL, ATCL, na zinitakiwa kuingia sokoni kuuzwa.
Hiyo Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.
Tanesco angali utendaji wao, lazima wafuatwe offisini uwe unajuama na mfanya kazi mmoja wapo, na sio tu kufuatana na kuwapa rushwa juu, sasa ingekuwa inasimamiwa na watu weupe unazani kungekuwa na kufuatana offisini?
Angalia TTCL haijulikani kazi zao kwa sasa, hivi TTCL ilikuwa ni ya kushindwa hadi na wakina Haloteli? TTCL ilipaswa kuwa sawa na Vodacom, ila Kwa sababu ni Mali ya Umma hakuna anaye jali pale na imejaa wafanya kazi wengi kuliko ufanisi na hakuna anajali.
Mamlaka za maji zimejaa upigaji tupu, unafuatilia kuunganishiwa maji hadi unachoka na lazima uhonge la sivyo hutakaa uunganishiwe maji.
Kwani Bandari ikikodishwa hao wanao kodisha watakuja kuondoka nayo? Wataihamisha? Tuachane na ujamaaa
Mwafrika hawezi kujiongoza mwenyewe inabidi mkoloni arudi kutu tawala kwa viboko.Kuwaachia kila kitu wawekezaji maana yake tunakiri hatuwezi kujitawala, ni bora sasa tumrudishe mkoloni arudi kwasababu naamini kabisa, jinsi mambo yanavyoendelea serikalini kwa sasa, pia tunahitaji kuibinafsisha serikali yetu.
Hivyo sioni sababu kwanini tuendelee kuwaza kubinafsisha vitu vidogo dogo, wakati kule juu penye tatizo la msingi tunaendelea kupaacha kama palivyo, alaah, kumbe inawezekana hata vichwa vyetu pia vinatakiwa kubinafsishwa, kwasababu fikra zetu nazo ni mgando.
Wala hawajashindikana. Tatizo lilianza pale mwizi wa kuku anafungwa miaka 10 ila mwizi wa mabiliano kifungo cha miaka Mitano au kulipa faini.Watanzania ni wezi imeshindikana kuwadhibiti kutokana na aina ya viongozi iliyopo na wanalindana sana kwenye wizi wao hivyo serikali haipati pesa zinazo stahiLi kupitia badari bora kuwapa wawekezaji tuu