Navutiwa sana na wanaume wanaovuta bangi au sigara

Kwa ivo ukiwa mthabato ndo upandishi kitonga??? Boya wewe jichanganye uone
 
Ray C kiuno bila skeleton usirudie tena wavutaji ganja sio ishu
 
Kanuni ni kupewa wa kufanana naye.

Kwa hiyo nakuelewa.

Ndege wafafanao huruka pamoja.
 
Nikohapa niPM
 
Kuna mgonjwa alikuja kwetu ni mdada wa mjini mkaliiii mwisho tukaangukia penzini
Kuja kushtuka anavuta bangi anataka nimpitishe jangwani kwenye matope
nikamwaga I know atakua anauza tu wanawake wa magomeni sio wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…