Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mada za Twitter sikuhizi zinahamia jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu rinda zake wavuta bangi walishazi tanua sasa ndio maana unaona yuko hivyo alivyoUjue mwanaume kujifanya ni mwanamke ni dalili mbaya mkuu!
Badilika usije olewa.
Wewe nimuachie nani? Nilishakuambia lazima nikuweke ndani. Ni suala la mda tu.Chaliifrancisco wewe si unapuliza mbili tatu
Mchumba huyo kapatikana
Maji na mafuta hayajawahi kaa pamoja.Wewe nimuachie nani? Nilishakuambia lazima nikuweke ndani. Ni suala la mda tu.
Maji na mafuta yanapikwa chungu kimoja na chakula kinaiva watu wanakula.Maji na mafuta hayajawahi kaa pamoja.
Mwenzio huyu anayezielewa bangi kapatikana.
Mimi wa kukesha makanisani kama mwehu usipoteze muda wako kunifuatilia,, unatwanga maji kwenye kinu.
Chicha mwiba nini hilo?Ujue mwanaume kujifanya ni mwanamke ni dalili mbaya mkuu!
Badilika usije olewa.
Pole sanaMaji na mafuta yanapikwa chungu kimoja na chakula kinaiva watu wanakula.
Tutaongea kesho. Usiku mwemaPole sana
Basi wewe utakuwa unapenda dyudyu sio bangi Wala sigara, sisi wengine hatuvuti bangi lakini tukikuwekea dyudyu utarudi hapa kuja kutoa ushuhuda mpya mark my words [emoji7][emoji7][emoji7]Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma![emoji23]
Ndio vijana wako hao, pata picha baada ya miaka 15 taifa linaenda kuwa na watu wa aina ganicrazy, you're crazy
Oooh ,hahahaha
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!😂
😂 kumbe kaleviSikukiona kitanda 🙊
Samahani, naomba kukuuliza....hivi wewe si Wema Sepetu kweli?Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!😂
Yaani unatania na huku ushatuambia..!! 😂 😂 😂Mwanaume awe na pesa, akikosa six pack awe na kakitambi ka kufutia simu😁 avute tubangi au tusigara kidogo kama havuti chochote kati ya hivyo basi awe mlevi akishindwa ulevi awe mnywaji🤣gari ni lazima jamani jua ni kali na mvua pia ni nyingii mweeh😂😂😂😂😂. Bila kusahau awe na mapenzi ya dhatiii kabisa + kucare😂😂😂
Natania jamani🤣🤣🤣👋🏾
[emoji23][emoji23]Sasa tutafute hela au bangi?
Maana mnatuchanganya.
Mara mnataka hela mara bangi.