Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Tulia ivo ivo 🤣🤣🤣🤣Wewe unayeniitaga mkuu😂
Chuga kumekuharibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia ivo ivo 🤣🤣🤣🤣Wewe unayeniitaga mkuu😂
Chuga kumekuharibu sana
Mwanaume awe na pesa, akikosa six pack awe na kakitambi ka kufutia simu😁 avute tubangi au tusigara kidogo kama havuti chochote kati ya hivyo basi awe mlevi akishindwa ulevi awe mnywaji🤣gari ni lazima jamani jua ni kali na mvua pia ni nyingii mweeh😂😂😂😂😂. Bila kusahau awe na mapenzi ya dhatiii kabisa + kucare😂😂😂Mungu nipe maisha marefu yapo mengi sijayajua kumbe
Sasa tuwalize pole pole nyie jinsia ya KE nini mnataka?
wenye pesa
Wenye six pack
Wavuta bangi/sigara
Wenye gari
Ama vipi mbona mnatuchanganya sasa!
We ledada, jibu lako la kuuwa wanaume linahitajika hapa
Ni sana😀Kidogo😂😂😂
Usiache kipeleka moto kichuga ingawa kwa sasa unaishi daa😁Jana nilienda mgahawa fulani kula, nikakutana na Dada mrembo sana sana na pete means mke wa mtu.
Hapakua na nafasi ya kukaa ikabidi nikae kiti cha kutazama naye, nikamsalimia, kila mtu akaendelea na mambo yake.
Alipokuja mhudumu nikamwambia "Ni aje Bro" yule Dada akatabasamu sana huku ananiangalia.
Nikamwambia vipi Dada? Tunaenda sawa au kuna shida nikupishe, akasema "napenda sana ulivyo msalimia huyo Kaka" Ni aje bro"
Akaniuliza wewe ni wa Arusha, nikamwambia nimezaliwa huko, kusoma huko, ila kwa sasa nipo Dar es salaam.
.Mazungumzo yalinoga, tukabadilishana namba, na tunaongea etc.
Naweza kuelewa unachosema
Usiache kipeleka moto kichuga ingawa kwa sasa unaishi daa😁
Ng’ombe hazeeeki maini peleka moto mzeeMimi nalala na mke wangu tu, Mzee mwenzangu, mambo ya kupeleka moto nimewaachia vijana.
OooohNinapenda mwanaume ambae ni mkimya halafu mwana ila awe mrefu mwembamba kiasi😁
Jaman nishushieni net niko katikati ya ndoto mbu wataning’ata wanikatishe ndoto yangu
WeweUsiache kipeleka moto kichuga ingawa kwa sasa unaishi daa😁
😂😂😂😂😂😂Mtatuua Mbwa nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizoo una nn lakinii wee?Hata mimi nawapenda sana wavuta bangi.
Ni wagumu halafu watamuu. Wamekaza sio poaa oyaaaaaa [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo tulikubaliana avute bangi, ila sio kuwa tejaa.Wavuta bangi watamu sana mashalaaah
Achana na hawa wanaojifanya wasomi kutwa nzima YOU KNOW, OFKOZ, yess, me, this .. theee theee theee the the the....
Ukutane na kidume halisi mvuta bangi jamani shangazi mie nalowaaahhh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lamomy cocastic Dr. Mariposa
imeisha hiyo 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo tulikubaliana avute bangi, ila sio kuwa tejaa.
Mbna inaelewekaaaa
NakaziaaIla ukweli mademu wengi wanapenda sana wanaume wahuni wahuni.
Ongezaaa sautiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imeisha hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bangi kwa mbali, mizagamuo ya kushato [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kuwa makini kijana na kijambio chako utaumia hapa mjiniilo Tako limenidatisha nwenzako