Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ndio anakuja na hizi dislikes ? Dah Bongo nyoso, hii December kama hujajipanga uta dislikes sanaTOM BANENI ni dogo flani tu anaforce maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio anakuja na hizi dislikes ? Dah Bongo nyoso, hii December kama hujajipanga uta dislikes sanaTOM BANENI ni dogo flani tu anaforce maisha
Kwa ufupi unataka vichaaNaomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!😂
TobaaaaBaada ya kuachana nae ukutane na mie mthabato, manake ni kuwa siwezi hata kukupandisha kitonga, lazima wanichapie.
Ni biscuit zenye miksa ya jani Korofi Zipo Sana kitaa tz Kwa sasa###UisiparamieBiskuti##linaweza kukuta jamboMuda upi ifike??
Hujanijibu ni vinini hivo kwamba nimpe?? Sijavielewa
Aiseeehhh! Wanangu wanavopebda biscuits sasa🙆Ni biscuit zenye miksa ya jani Korofi Zipo Sana kitaa tz Kwa sasa###UisiparamieBiskuti##linaweza kukuta jambo
Halafu ni watu wa sacrifice Sana kwenye mapenzi tupo romantikiHata mimi nawapenda sana wavuta bangi.
Ni wagumu halafu watamuu. Wamekaza sio poaa oyaaaaaa 🙌
Hivi upo!!Tobaaaa
Hii sio I'd mpya anajua anachofanyaTOM BANENI ignore inakuhusu naona JF umeingia kwa pupa
Nipo shikamoo 🤭Hivi upo!!
Ule mmea una baraka sana[emoji39]Wanasema wanao tumia meri jane wako vereee cool and romantic
Sijui lakini aliyesema ni nani
Jitahidi Kwa sasa uwe unasoma Sana maelekezo sio kwenye biscuit tuu hata kwenye bidhaa nyingine Haswa za misosi,,utanishukuru baadae,,wasalimie Wanangu!!Aiseeehhh! Wanangu wanavopebda biscuits sasa🙆
God forbid
Ndo umemalza chuo na utasema ajira ngumu?Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!😂
Kwa hio anatuzuga na mandevu yetu?Hii sio I'd mpya anajua anachofanya
ati???Njoo tuchome kimoja
Tushakubaliana mkuu, hii sio salam🤣Nipo shikamoo 🤭
😀😀😀😀😀teja tena😀😀😀😀Basi mtaje mwenyewe..!! Au teja?
Asante kwa kuni alert mkuu salamu zinefikaJitahidi Kwa sasa uwe unasoma Sana maelekezo sio kwenye biscuit tuu hata kwenye bidhaa nyingine Haswa za misosi,,utanishukuru baadae,,wasalimie Wanangu!!
We ichukue tu sina wa kumpa sasa 🤣Tushakubaliana mkuu, hii sio salam🤣