Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Anatuletea unjeree hapa huyo njoroo ni gani?Aje nimpe mzigo apige pafu 2 za kuzugia aache uwaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatuletea unjeree hapa huyo njoroo ni gani?Aje nimpe mzigo apige pafu 2 za kuzugia aache uwaki
Ushoga umechachamaaNaomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!😂
Sigara bwegeAu Sigara kubwa?
Ndio ni hivyo ukimpa hizo aah mpe muda one hour only alafu muite kwa bedAhaaa
Kaingia mjini jioni hii na gari za makabichiAnatuletea unjeree hapa huyo njoroo ni gani?
Ndio Jina jingine hilo Buffalo SoldierSigara bwege
Tunatengenezwa wavuta bangi kwa namna tofautitofauti kabisa..!! Yaani hadi mbususu zinatengeneza wavuta bangi..!!Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu
Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!
Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!😂
gongo? no way😀😀😀siwezi aaaah abeeg🙌🏻Tunatengenezwa wavuta bangi kwa namna tofautitofauti kabisa..!! Yaani hadi mbususu zinatengeneza wavuta bangi..!!
Mamdogo Amehlo wewe vipi kuhusu wanywa gongo..!!?? Hawakukrezishi?
Dada To yeye vipi wale wa chimpumu? Hawakupagawishi?
Shemela Evelyn Salt vipi anayechanganya gongo kwenye mbege, hakutii mchecheto??
We Bantu Lady jichagulie mwenyewe, kama ni mchunga ng'ombe sema..!!
Ataniua asee acha atumie hizi nguvu za asili alizobarikiwaNdio ni hivyo ukimpa hizo aah mpe muda one hour only alafu muite kwa bed
Hapo Sawa 😂Ataniua asee acha atumie hizi nguvu za asili alizobarikiwa
Njoo tuchome kimojagongo? no way😀😀😀siwezi aaaah abeeg🙌🏻
Wa hivi starehe yake mbususuHavuti bhange
Havuti sigara
Hatafuni mirungi
Hatumii ugoro
Hanywi bia
Hajawahi kupiga punyeto.
Kama mwanaume hujawahi na au hufanyi mojawapo ya hayo ewe dada,, kaa mbali na mwanaume huyo maana ni KIAZI [emoji1648]
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
AminaHapo Sawa 😂
Aya sasaNihangaike mwisho nizoe magonjwa tu hapana asee!
Sasa tutafute hela au bangi?
Maana mnatuchanganya.
Mara mnataka hela mara bangi.
Basi mtaje mwenyewe..!! Au teja?gongo? no way😀😀😀siwezi aaaah abeeg🙌🏻
Mwisho mtuuwe sasa..!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vyoteee