Nawachukia sana hawa matapeli wanaouza dawa mbele ya misikiti

Achana na unga wa muhogo tumia majan ya makunde,kivumbasi na chumvi ya mawe hakika kila kitu kitakuwa sawaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ pole sana mzee
Haya mahitaji nayachanganyaje mkuu?
 
Lakini kwanini uongozi wa misikiti naruhusu hawa wahuni wananing'iniza tunguli mbele ya misikiti? Na unakuta wanauza hadi dawa ya kufukuza majini. Hivi wanafahamu umuhimu wa majini kwa waislamu?
Jini ana umuhimu gani kwa muislam?
 
washanipaga sana hao, Ila bado wanaendelea kunipiga. Ukishaumwa unakua very Helpless kabisa
 
Kuwa stress free ni major factor wengi hawana shida ya nguvu za kiume shida ni stress mambo yamekuwa mengi na yanazidi kuongezeka
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ni ukweli..kwa wanawake ushauri ukitaka mumeo asipungukiwe na nguvu za kiume mtii tuu na kumjali...huo ugonjwa hautausikia
 
Kwa hiyo bora wazee wa mkongoraa(Maasai)
Ila hapo kwenye unga wa mhogo umezingua Mkuu...
 
Hakuna Namna unaweza kutenganisha uislam na ushirikina. Wengine hampendi kusikia haya ila Ndio ukweli
 
Itakua huyo tu kakutapeli. Mbona mi niliwahi nunua dawa ya unga kama hiyo palee markaz ikani bless sanaa.
Yaani nilikua nadate na shugamami msingi ilikua kiuno ndio kukatizakatiza nikamkuta ostaaz anauza unga mweupe unachota kidogo unaweka kwenye maji ya kunywa unakunywa.
Haloo ukitoka hapo unasimamia ukucha tu.
Wewe ilikua bahati mbaya. Na wala usikonkludi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…