Nawachukia sana hawa matapeli wanaouza dawa mbele ya misikiti

Nawachukia sana hawa matapeli wanaouza dawa mbele ya misikiti

Lakini kwanini uongozi wa misikiti naruhusu hawa wahuni wananing'iniza tunguli mbele ya misikiti? Na unakuta wanauza hadi dawa ya kufukuza majini. Hivi wanafahamu umuhimu wa majini kwa waislamu?
Hili ndo lilikuwa lengo[emoji23]
 
Lakini kwanini uongozi wa misikiti naruhusu hawa wahuni wananing'iniza tunguli mbele ya misikiti? Na unakuta wanauza hadi dawa ya kufukuza majini. Hivi wanafahamu umuhimu wa majini kwa waislamu?
Mada ni nzuri! lakini nahisi kuna kitu kingine nyuma ya pazia, kwanza sio kweli kua wanakua na tunguli, halafu majini wanaumuhimu gani kwa Waislamu?.
 
Mada ni nzuri! lakini nahisi kuna kitu kingine nyuma ya pazia, kwanza sio kweli kua wanakua na tunguli, halafu majini wanaumuhimu gani kwa Waislamu?.
Majini yana umuhimu kwa waislamu mkuu. Ngoja nimuite FaizaFoxy aje atusaidie hapa.
 
Majini yana umuhimu kwa waislamu mkuu. Ngoja nimuite @faizaaje atusaidie hapa.
Mie mwenyewe Muislamu, Qurani imetuambia Hakika ya shetani ni adui kwenu jihadharini nao.
 
Mie mwenyewe Muislamu, Qurani imetuambia Hakika ya shetani ni adui kwenu jihadharini nao.
Tunaongea kuhusu MAJINI mkuu. Au na SHETANI naye ametajwa kwenye kohorani?
 
Back
Top Bottom