nilikuwa nasoma comment kimya kimya ila imebidi nikujibu wewe mjinga mmoja usiyekuwa na adabu kwani ndugu wewe umesomea Amerika au unapata wapi nguvu ya kumtukana mwalimu aliyekufundisha kuandika hapa mtandaoni utopolo wako unasema hakuna haja ya kwenda shule aise wewe ungekuwa karibu viboko muhimu ,Sasa Fanya kweli basi watoto wako usiwapeleke kwa watu wasiokuwa na mwelekeo nunua laptop zako wawekee wajifunze hapo nyumbani tuone huo mwelekeo wako wa chooniKwani kufundisha nayo kazi? Yaani dunia ya leo hakuna hata haja ya mtoto kuhudhuria shule kila siku badala yake anajisomea mtandaoni tu as far as syllabus husika anayo.
Kujisomea mwenyewe unapata majibu sahihi kuliko nyie vilaz,a huko shuleni mnawalisha matango pori watoto.
Watoto wanaenda shuleni kila siku kwasababu mzazi apate muda wa kutosha kufanya shughuli zake nyingine tu lakini kama anakuwa na nafasi anamfundisha tu nyumbani wala hakuna haja ya kwenda kila siku.