Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 905
- 1,002
Kabisa mkuu huu UDOMOZEGE unanitesa dah!hahahah! Kumbe mimi ninaunafuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu huu UDOMOZEGE unanitesa dah!hahahah! Kumbe mimi ninaunafuu?
WanazinguaPenzi baadae sana pesa mapema sana 🤣🤣🤣
Ndio hapo tunakuona playman kumbe uko busy waskini.Tumebanwa na majukumu mkuu , hata mda wa kutoka na kwenda kutafunana unakosekana kiongozi.
Nan anaonekana playman mkuu?Ndio hapo tunakuona playman kumbe uko busy waskini.
somebody means in nyaturu tribeKwanini mkuu[emoji2][emoji2][emoji2]
Sawa mkuusomebody means in nyaturu tribe
Forward butu kama KIBU DenisShalom,
Naomba wadau wa kuchukua namba za viumbe pendwa mnaanzisha project ila finishing mnashindwa tatizo lenu nini hasa?
Wazee wa incomplete projects Maneno mengi vitendo na finishing zero.
Karibu mseme changamoto zenu tuwasaidie.
Nawasubiria kwenye comments
Wadiz
Hii hutokea sana Kwa wanaume ambao Huwa wanajiamini sana,hawalililii wanawake so akikujibu vyongo unampotezea na kamwe hurudii matapishi.Shalom,
Naomba wadau wa kuchukua namba za viumbe pendwa mnaanzisha project ila finishing mnashindwa tatizo lenu nini hasa?
Wazee wa incomplete projects Maneno mengi vitendo na finishing zero.
Karibu mseme changamoto zenu tuwasaidie.
Nawasubiria kwenye comments
Wadiz
Hahaha! Ama kweli Dunia hadaa ulimwegu shujaa, yani umeombwa namba unafanya na calculation za finishing kabisaa!Kama unajua umuhimu wa finishing hata kwenye ujenzi utaacha hii tabia ya kuomba namba bila kuwa na sababu za msingi,
Binafsi hii tabia inanikata. Unakuta mkaka ushampia hesabu zako halafu anapotea na namba yako.[emoji56]
Unaomba namba then unakaa kimya kwa harakaharaka tunawaza hukuomba kwamba labda nimekuvutia ilaa unaombaga tuu kwa kila mtu ndio maana huwi na shauku ya kumtafuta mtu.Nan anaonekana playman mkuu?
😀😀😀😀 kwamba ushampigia hesabu kabisaKama unajua umuhimu wa finishing hata kwenye ujenzi utaacha hii tabia ya kuomba namba bila kuwa na sababu za msingi,
Binafsi hii tabia inanikata. Unakuta mkaka ushampia hesabu zako halafu anapotea na namba yako.😇
Upo mkoa gani kijanamnanisaidiaje mimi kijana mwenzenu ninaekua mzito kuomba namba, yani mwaka wa tano huu sijabadilisha demu
Niko huku kwa makonda, unataka uwe mwalimu wangu mkuuUpo mkoa gani kijana