Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikoni tena?Hakika hamtaiona mbingu,mtaangamia vibaya....kifo chenu kitakuwa Cha majuto na mateso.Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi.Kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao.Acheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee😭😭😭😭😭
Ee Mwenyezi Mungu,tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi.....tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea.Amina🙏🙏🙏. ....Daaah
Hakika hamtaiona mbingu,mtaangamia vibaya....kifo chenu kitakuwa Cha majuto na mateso.Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi.Kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao.Acheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee😭😭😭😭😭
Ee Mwenyezi Mungu,tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi.....tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea.Amina🙏🙏🙏. ....Daaah
So ni vizuri hivyo?Ila mimi naamini wanaofanya hivyo wengi ni wale masela waliochoka choka ndiyo wanawaingilia wanaume au ukikuta tajiri anafanya hivyo basi anawala wale tayari washakuwa Mashoga kabisa design ya kina Bobby Risky ,James Delicious and the like.
Halafu mabasha watakuwa ni Mental cases.
Mwenyez Mungu aturehemuYaan daaah
Aisee na mwezi wote huu??Kuna kichocho nimepita nimewakuta wameshushana trouser na miguno juu
So ni vizuri hivyo?
Inaumiza sana mkuuMmmhhh uzuri kwenye mitaro na kuchezea tope utokee wapi? Wanaofanya hivyo ni mental case!! Ni laana sijui wanapata faida gani ya kuzibua mitaro while wanawake warito warito wenye mvuto wapo kibao hadi wa kununua.
Tunakoenda ni aibu na fedhea kubwa sana...na sijui tutamueleza nini Mungu 😥Hii Dunia hii tunakoelekea,ndo maana namuunga mkono Putin
Wana umri gani?Uyole hapa mbeya....
Umewa elewa hao waliotoa onyoo?? Au umeamua kuandikaa tyuuh? Muwe mnasoma vizuri au taarifa mzichukue kwa weledi.Alafu kuna nchi moja uko imewaonya majirani zetu hapa juu ya muswada wa kuwafunga jela miaka 10. Watu wanaofanya hizi kazi