Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 262
- 361
Ukifatilia biblia takatifu watu waliishii miaka miakenda (900).Na ndo maana tunakufa ovyo
Leo watu tunakufa mpk miaka 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifatilia biblia takatifu watu waliishii miaka miakenda (900).Na ndo maana tunakufa ovyo
Kwakua sijawaelewa vzr, tafadhari nakuomba unieleweshe?Umewa elewa hao waliotoa onyoo?? Au umeamua kuandikaa tyuuh? Muwe mnasoma vizuri au taarifa mzichukue kwa weledi.
Ndio makadirio Yao ya umriNingeweza kuwauliza mkuu wakati wapo kuchimbana? Au u mean makadirio?
Rudi kule ulikopata hilo onyo, utaelewa vizuri.Kwakua sijawaelewa vzr, tafadhari nakuomba unieleweshe?
Ulichukua hatua gani ulipowafumania?
Changamoto inaanzia hapa...watanzania tuko vzr sana.Rudi kule ulikopata hilo onyo, utaelewa vizuri.
Sio kwamba zinapendeza ila ndo ivo...kwa hili wazazi hatulazi damu...ikiwezekana na maandamano tunaendaHizi mada mnazipendea nini?
Kwa hyo umewafumania?Kuna kichocho nimepita nimewakuta wameshushana trouser na miguno juu
Ukifatilia biblia takatifu watu waliishii miaka miakenda (900).
Leo watu tunakufa mpk miaka 0
AmenHakika hamtaiona mbingu,mtaangamia vibaya....kifo chenu kitakuwa Cha majuto na mateso.Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi.Kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao.Acheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee😭😭😭😭😭
Ee Mwenyezi Mungu,tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi.....tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea.Amina🙏🙏🙏. ....Daaah
😂😂😂😂Hivi unaaacha chombo tamu km hii yaan unainjoi maisha unaenza kukutana na mwanaume mwenzio hao jamaa naona km kuna mende wako kichwani wanakata nyaya ndo maana wanakua network search haiwezekani ukalibinue janaume wakati kuna watoto wa kike laini watoto nyororo.View attachment 2564285