Nawalaani wanaume wote waliodiriki na wanaoendelea kuwafanya kinyume na maumbile vijana wa kiume

Vijana wa kiume??? Ma binti jeee
 
Dunia ina mambooo,ingia kwenye mitaa mashoga wamezagaa,mabasha wamejaa dunia ina mamboo...

Mkuu hii dunia ni kama njia wote tunapita,we kusanya amali zako...
Mahesabu tutajua mbinguni
 
Dunia ina mambooo,ingia kwenye mitaa mashoga wamezagaa,mabasha wamejaa dunia ina mamboo...

Mkuu hii dunia ni kama njia wote tunapita,we kusanya amali zako...
Mahesabu tutajua mbinguni
Sawa mkuu
 
Ila wakiwaingilia watoto wa kike hakuna laana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…