Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Dah hii ni hatari aisehBaba wa dini kapiga mtoto wa age7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hii ni hatari aisehBaba wa dini kapiga mtoto wa age7
Ni ajabu sana aisehDaaa,Dunia duniaa
Inasikitisha
Mwenzio hadi tunzo kapewa na JF cocastic unamsikia huyu mkuu emu toa neno akusikie maana daah, mimi sina cha kuongezea Ila siungi mkono hilo jambo nipo upande wa UG ingawa wamelambwa 1-0 na TZAcheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee😭😭😭😭😭
Vijana wa kiume??? Ma binti jeeeHakika hamtaiona mbingu,mtaangamia vibaya....kifo chenu kitakuwa Cha majuto na mateso.Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi.Kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao.Acheni mara Moja,tubuni....!msifanye ivo jamani....siyo vizuri Wana wazazi pia hao mwee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ee Mwenyezi Mungu,tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi.....tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea.Amina[emoji120][emoji120][emoji120]. ....Daaah
Ila wakiwaingilia watoto wa kike hakuna laana?Hakika hamtaiona mbingu, mtaangamia vibaya, kifo chenu kitakuwa cha majuto na mateso. Haijalishi umeshawishiwa au umeshawishi, kumwingilia mtoto wa mwenzio kinyume na maumbile ni laana na mnadhalilisha hao vijana na wazazi wao. Acheni mara moja, tubuni, msifanye hivyo jamani, siyo vizuri wana wazazi pia hao mwee!😭😭
Ee Mwenyezi Mungu, tufumbue macho kama ulivyowafumbua Adamu na Hawa pale Edeni wakajua kuwa wamekutenda dhambi, tufumbue nasi tujue namna tunavyokukosea, amina🙏🙏. Dah!
Umetoka kwenye mijadala ya afya umekuja kwenye mijadala ya uzinzi. We jamaa ukifanikiwa kwenda mbinguni utapewa kazi ya kudeki vyooNa utakuta jitu zima limekaa kijiweni linasimulia linavyo sodimise watu.Aibu kuliko aibu.