Uchaguzi 2020 Nawamegea siri: 'Bakuli la Lissu' lijazwe michango, linasaidia kuruka kiunzi kikuu mwaka huu

Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Kwani kwa kipindi cha miaka 5 shughuli za chama chao ziligharamiwa na fedha ipi???

Au nawe unaamini kuwa chama kilizimia ama kufa???
 
Hata kidogo hicho kionekane kimefanya jambo lenye utaifa. Je, vyama visivyo na ruzuku?

Jambo lenye utaifa kwani wao wanakusanya kodi?

Ww mshahara wako mbona ujaenda kujenga barabara?
 
Wangeweka namba za simu mtandaoni watu wachange,tigo,voda,eatel,halotel na zantel.kila mwenye nacho na mapenzi mema angechanga,hata 500 mtu atachanga.kwani zile faini zilichangwaje hii ya kampeni oshindikane
 
hata mie naamini kamanda!
Kitendo cha risasi 16 kupigwa kutokea kushoto, zikaukwepa mguu wa kushoto kisha zikakata kona kuupiga mguu wa kulia ili kumuokoa dereva aliyekuwa amekaa kulia kwa Lisu - Huo lazima uwe muujiza.

Ww ukilalia kiti Cha dereva kama vile unavyomlalia wife wako, miguu inakuwa Sawa na kama ukikaa kawaida?
 
Hivi zile pesa za wabunge wa Chadema walizokuwa wanachangia kutoka kwenye mishahara yao kwa ajili ya uchaguzi zimeenda wapi mkuu?
 
Lissu ni mpango wa Mungu kwa Watanzania. Haiwezekani kawaida tu mtu akapona risasi 16 alafu asiwe mpango wa Mungu.

Mwaka huu historia kuu ya kuangushwa Chama cha mapinduzi inaenda kuandikwa Tanzania.
Mungu tu pamoja na Lissu!

Amen Mkuu
 
Bado mweupe sana kichwani, endelea kujifunza kupitia darasa la jf.
 
Kama huelewi nyamaza, gharama za uchaguzi unajua ni kiasi gani? Na chama tawala unajua vyanzo vyake vya pesa?
Kwanini unataka kuzuia watu kuhoji. Nyie jamaa sio kabisa! Asiyeelewa anaeleweshwa sio kunyamazishwa.
 
Mbowe hata tukichanga yee anakura ela tu. Ndo maana mimi niriachaga kuchanga
Tangu lini uliichangia chadema wewe?. Kanunue zile chupi za chama chakafu nasikia ziko sokoni ukavae kisha kakeshe kwenye mwenge.
 
Hivi ukiwa CCM unakua MPUUZI kiasi hiki? Kuwa masikini haimaanishi mtu atashindwa kuchangia hata 100 au 500 Mkuu.
 
Mnasema hatupo kwenye uchumi wa Kati.

Wananchi ni maskini,

Halafu mnatembeza bakuli kwa maskini.
Ungependa kuona Tanzania ambayo wabunge wote, madiwani wote na raisi wawe ni ccm?
 
Jibu swali langu la kwanza. Mimi namnukuu Lissu anadai wananchi wapo hoi kwa miaka mitano,kwa nini anawachangisha?
Hajawapa kiwango cha kuchangia. Kila mwenyekupenda mabadiliko achangie kwa kadiri ya uwezo wake. Hata ww mwenyewe umewachangia indirect. Uliponunua bandle ili uweze kuingia humu JF, yule aliyekuuzia kapata faida kidogo nae akachingia CHADEMA direct.
 

Inawauma sana kuona mbinu zenu za kuzimu zinashindwa. Wanasaikolojia walishaliona hili mapema: "where your treasure is there your heart will be also"

Watu wakikuchangia hata senti moja, ujue kura yao unayo pia. Watanzania na umasikini wao wanataka ukombozi. Wanaichukia mno CCM kiasi cha kuchangia chochote toka kwenye umasikini wao waliolazimishwa na CCM kwa maiak yote hii.

Tundu Lissu ni aina nyingine ya mwanasiasa, na Si size ya Jiwe. Wanaomlinganisha na Lowassa 2015 ni mfano mzuri wa wanaCCM wengi waliorigwa kiakili.
 
Kwa kuwa hupendi kuhoji maovu yahusuyo CHADEMA, ficheni ugonjwa mauti itawaumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…