Uchaguzi 2020 Nawamegea siri: 'Bakuli la Lissu' lijazwe michango, linasaidia kuruka kiunzi kikuu mwaka huu

Kama waliweza dhibiti media ili kuuwa coverage ya upinzani na bado coverage imekuwa kubwa nini Sasa wanaweza zuia.
Huwezi ukafanikisha mind control zama hizi Ni kuupiga ngumi ukuta
 
Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Wananchi wa wapi wana hali mbaga comrade?? Akisikia mr President hii statement yako kitakukuta kitu.. sisi ni tajiri
 
.....ninayejinafasi wa demokrasia ya vyama vingi, nimeshamchangia....
Naipenda Tanzania kwa 'ukubwa' wake!

Katu Tanzania haitakuja kuathiriwa na wale wanaoinenea mabaya Tanzania, bali hizo ni changamoto za kuimarisha Tanzania. Yaani naiona Tanzania Imara kabisa ulimwenguni katika nyanja zote za kimaendeleo siku si nyingi.

Kwa kifupi, hatuko tayari 'kuuzwa kwa mafungu' kama Mgombea urais wa chama cha Mbowe anavyojinasibu. Bila aibu anasema wazi kabisa kuwa Tanzania siyo lazima kuwepo siku za usoni! Hiyo kwa lugha rahisi ni kuwa ameishafika makubaliano na 'wanunuzi' kutuuza!

Mkuu, VUTA-NKUVUTE mmeyataka wenyewe, tusilaumiane!
 
Lissu anasema wananchi ni masikini, harafu masikini hao hao anawaomba michango, huu ni unyama wa hali ya juu sana.
 
Kwa mara ya kwanza tangu 2015 ndio nakuunga mkono. Hasa hapo kwenye kuchagua vyema.
Twende na JPM atatuvusha.
 
Lissu anasema wananchi ni masikini, harafu masikini hao hao anawaomba michango, huu ni unyama wa hali ya juu sana.
Kweli tu masikini wengi wetu lakini unapima faida ya kuchangia na gharama ya kuchangia, kama faida ni kubwa basi twende. Kuchangia hata jero, buku etc inatosha. It is a game of numbers.
 
Lissu anasema wananchi ni masikini, harafu masikini hao hao anawaomba michango, huu ni unyama wa hali ya juu sana.
hivi jaman Lisu ni lini unakuja Arusha?
sisi wananchi michango yetu inatuwasha tunataka tumchangie Rais wetu mtarajiwa Lissu ali tutegue mtego wa hila za maccm yamemzibia vyanzo vyote vya mapato
 
Kuna mtu aliniambia ukiona mwanamke ana sura nzuri, ujue kichwani hamna kitu, kama vile naanza kumuamini, kweli Mungu hakupi vyote.
Mkuu,nani sasa mwenye sura nzuri hapo?
Usidanganyike na hiyo picha,si yeye huyo.
 
Nilimshangaa Magu kubeza michango ya kusaidia kampeni..hajui hata vyama vikubwa vya Marekani wanafanya fund raising...jana Lissu kamjibu Sumbawanga kamwambi yeye Lissu sio mwizi na wala hapigi deal..
 
Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Wananchi wapi wenye hali mbaya, hawa wa Tz ya uchumi wa kati?!

Meko alisema asisikie mtu anasema vyuma 'vimekaza' au nawe umeanza uchochezi tukushughulikie?
 
Unafahamu kama ccm pamoja na umri wake na rasilimali kilizo jimilikisha bado kinachangiwa tena kwa 'kuwalazimisha' wachangiaji ambao hata sio wanachama/wapenzi wala wafuasi wake?
 
Nimemegewa Siri ruzuku ya vyama ilikatwa tangu January kwa kisingizio tunajenga Flyover 🔧
Hiyo siri uliyomegewa na kama umeiamini basi wewe ni kilaza wa mwisho. Yaani chadema wakatwe ruzuku halafu iwe siri?? Unawajua wachaga au unawasikia tu?
 
Hiyo siri uliyomegewa na kama umeiamini basi wewe ni kilaza wa mwisho. Yaani chadema wakatwe ruzuku halafu iwe siri?? Unawajua wachaga au unawasikia tu?

Wewe kweli mpumbavu ruzuku zimepigwa pini uliza credible sources utaambiwa.
 
Wewe umechangishwa?? Mnachota PESA za Kodi zetu kulazimisha kupendwa. Poor CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…