Sisi wapenda Uhuru na demokrasia tumeshachanga na tutachangia tenaKwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wapenda Uhuru na demokrasia tumeshachanga na tutachangia tenaKwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
CAG huwa anakagua na hakuna hicho ulichokitaja hapa!Porojo tupu, kwani hawakupewa ruzuku kwa ajili ya kampeni? Kila mtanzania anajua jinsi hii saccos ilivyo na matumizi mabovu ya rasilimali fedha. Wanaofaidi ni hao top layers tu wengine ndio imekula kwao mazima.
Jimbo gani? Maana naona uwanja wa lake Tanganyika umetapakaa wana Ccm.Hizo kura laki mbili nampa kwenye jimbo langu
Na ile michango ya wabunge ipo wapi hadi mchangishe watu?Kumbe hata CCM mnajua kua mmewatia umasikini wananchi?.
Kila mabadiliko yanahitaji gharama, hivyo sio mbaya kwa mwananchi kuchangia kwa aliyenacho, kama hana alazimishwi kuna njia nyingine ya kuchangia kiifikia ahadi ya maendeleo ya kweli
Hawa ni wahuni mkuu, wanadai wananchi wana halimbaya kiuchumi hapohapo wanawachangisha pesa sijui wanatuonaje Hawa watu.Mkuu VUTA-NKUVUTE unasahau kwamba:
1) Kampeni siyo za Urais tu, kuna Wabunge na Madiwani. Wote hao wanahitaji fedha kumudu kampeni. Je, chama kilijipangaje mapema, maana muda wa Uchaguzi Mkuu hujulikana?
2) Viongozi wa CHADEMA, na kwenye kampeni zinazoendelea, Lissu mgombea Urais amesikika akidai CCM imeharibu uchumi watu wamekuwa masikini kuliko awamu zilizopita. Hao wanaombwa kuchangia CHADEMA wana uwezo gani au ndio mpango wa kuwafanya masikini ili hayo madai yawe kweli?
3) CHADEMA, kama chama kikuu, kilikuwa kinapata mabilioni ya ruzuku. Isitoshe wabunge nao wamechangia kila mwezi na kufikisha mabilioni. Je, hii fedha imetumikaje maana hata ofisi, japo moja ya chama, haijajengwa.
Hiki ndio chama cha kuomba kuchangiwa gharama za kampeni?
Hapo kuna warundi kibao wameletwa na mitumbwiJimbo gani? Maana naona uwanja wa lake Tanganyika umetapakaa wana Ccm.
Mbona alipotoka Zanzibar ndugu Lissu aliongea na wanahabari, alilalamika hali ni mbaya sana kifedha? Kama mnachanga kweli hali ingekuwa hivyo?Sisi wapenda Uhuru na demokrasia tumeshachanga na tutachangia tena
Hiyo hali mbaya ya wananchi imeletwa na nani? CHADEMA au CCM inayokusanya Kodi! Iliyotawala miaka 60 sasa?Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Mwaka huu upinzani una hali mbaya sana.Hapo kuna warundi kibao wameletwa na mitumbwi
Muulize MEKO wenu ile RAMBIRAMBI ya WANA KAGERA ameifukia wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?????????????Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Mgombea wenu anazunguka anasema wananchi wana hali mbaya. Sasa kwa nini anawachangisha hata pesa?Hiyo hali mbaya ya wananchi imeletwa na nani? CHADEMA au CCM inayokusanya Kodi! Iliyotawala miaka 60 sasa?
Swali la kijinga.Muulize MEKO wenu ile RAMBIRAMBI ya WANA KAGERA ameifukia wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?????????????
Sitaki niwachoshe kwa meneno mengi. Nawaambieni tu kwa kifupi na kwa uhakika. Bakuli la michango analolitembeza mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu si la kubezwa au kumezwa. Yaweza kuwa ni kwa kujua au kutokujua, Lissu anaruka kikwazo kikuu kilichosukwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu: ukata kwa vyama vya upinzani. Ukata tata ungewakata na kuwavuta wapinzani nyuma na kuwafanya washindwe kufanya kampeni.
Mipango kabambe ilishasukwa kitambo kuvifanya vyama vya upinzani mwaka huu kuandamwa na ukata wa kifedha. CCM yetu yenyewe, kwakuwa ina rasilimali za kutosha na kutisha na kwakuwa imejibanza kwenye koti la Serikali, ilijiandaa kujidai itakavyo kwenye kampeni hizi huku wapinzani wakishindwa kufanya kampeni. Mipango ilisukwa vyema. Kampeni zina gharama nyingi: usafiri, malazi,mavazi, chakula, vifaa vya sauti, majukwaa na kadhalika.
Mipango ya kuufanya ukata umee kwenye vyama vya upinzani ilianza miaka kadhaa iliyopita. Karibu kila chama kikubwa cha upinzani hapa nchini vikiwemo CHADEMA, ACT na NCCR-Mageuzi kina chama au vyama rafiki nje ya Tanzania. Marafiki hao wa nje husaidia vyama hivyo kifedha hasa kwenye harakati kama hizi za kiuchaguzi. Na hakukuwa na ubaya kuhusu kusaidiana huko. Lakini, mwaka huu misaada hiyo imepigwa pini. Imezibwa. Hakuna misaada tena. Ukata!
Lissu ajaziwe bakuli lake. Achangiwe. Hata mimi, kama mfuasi ninayejinafasi wa demokrasia ya vyama vingi, nimeshamchangia Lissu. Lazima tuwe na mgombea strong wa upinzani ili kutufanya tuchague vyema. Lazima mwaka huu mchuano mkali uwe kati ya Dkt. Magufuli na Lissu. Lazima tusikie sera za kila mmoja wao na tuamue. Bakuli la Lissu, hata kama litakejeliwa na kudhihakiwa, lina maana kubwa: linaruka mipango ya kidhalimu ya kutengeneza ukata kwa wapinzani.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma, Tanzania)
[/QUOTE
Naomba namba nitume 10 hapa shwain hawa ccm
kama anavoongea MSHAMBA WENU MEKO Utopolo TUPUSwali la kijinga.
Mkuu jibu hoja kwa muuliza swal!Kama huelewi nyamaza, gharama za uchaguzi unajua ni kiasi gani? Na chama tawala unajua vyanzo vyake vya pesa?
Hii ni hoja makini!Kwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
Kwa sababu ni mchango wa hiari,na wananchi ni wenye chama wanakiwezesha chama lao kushika dolaKwani ile michango waliokuwa wanakatwa wabunge kwa ajili ya uchaguzi iko wapi? Wananchi wana hali mbaya kwa nini muwachangishe?
hakuna masikini mjinga ambaye ni mpinzaniMnasema hatupo kwenye uchumi wa Kati.
Wananchi ni maskini,
Halafu mnatembeza bakuli kwa maskini.
Nalazimika tu kujibu ingawa umenijibu kishabiki kuliko kiuchambuzi.Nimekusoma najaribu kukuelewa na "nondo" zako ila sikuelewi.
1. Matumizi ya ruzuku ya Chadema ni kwaajili ya mambo mengi, kuna kulipa mishahara ya wafanyakazi, na mambo mengine ya uendeshaji chama, zaidi unaambiwa ruzuku imekatwa na serikali ya Magufuli, na hata kama ingekuwepo, Chadema wanapata milioni 200 na kitu kwa mwezi, hizo hazitoshi kugawa kwa matumizi ya chama mikoa yote Tz Bara, nakushangaa sijui kitu gani hiki ulichokiandika.
2. Pointi yako namba mbili ndio inazidi kuonesha ulivyo kilaza, sasa kama Chadema inachangiwa na masikini wewe shida yako ni ipi? umeambiwa wale marafiki wao wa nje wamebanwa wasiwachangie na serikali ya Magufuli, sasa wewe ulitaka wachangiwe na nani? kwanini unawadharau watanzania na hali zao mbaya kiuchumi zilizosababishwa na sera mbovu kuwekeza kwenye vitu badala ya watu? hujui hizo mia mia za hao masikini zikijumlishwa kitapatikana kikubwa!.
3. Pointi yako namba tatu nimeshaijibu kwenye namba moja, rudi juu kaisome tena.