Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Wajinga hao Sana wanajionaga wazungu ety n mikucha ya bandia pmbfu kbsa huwa ni kutokujiamini ndo kunapelekea mwanamke kuvaa miwigi hata kama ni la milioni 100 nakuona punguani kuvaa minywele bandia Mimi huwa nawakubali wanawake wanajiamini kama cariha Joanah hwa viumbe huwa hawavaagi miwigi na Wana nywele zao naturally kbsa ndo mifano ya kuigwaa kwa jamii





I,m not sure for my examples jaman mniwie radhi
 
Mnatakiwa mtambue kuwa hatuvai kwaajili yenu, ukiniona takataka mwingine ataniona cake. Chagua upendacho usitulazimishe
 
Kama hukumaanisha kuwa hawavai kwa ajili ya wanaume sasa kwanini umemaliza kwa kusema wanaume wanawaona kama Takataka??
 


Sivai mawigi kwasababu sipendi mavitu mengi mengi...ni kama vile nisivyopenda kuvaa nguo nyingi nyingi

Lakini ningekuwa napenda ningeyavaa bila kujali wanaume wananichukulia takataka ama vipi
 
Mbona nyie mnatumia arv za wazungu technology yao kuanzia huduma za kijamii, magari Hadi nguo za mitumba kwahyo mnajifanya wazungu sio? Kwahyo waafrica hatuajimini sio maana hata elimu ni yao ustaarabu ni wao kujifunza kusoma na kuandika ni wao hata huu mtandao isingekuwa wazungu wameanza na sisi tukaiga leo usingekuwa una jimwambafai hapa
 
Hao uliowa mention unawafahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…