becknature
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 665
- 825
kweli kiongozi sikua nafahamu ulichomaanisha,kama umesoma point niliyoandika pale juu ni kwamba kuna wakati wanavaa wigs ili kuwahisha mambo yaende haraka, sasa sijaona jinsi kuvaa kigodoro kitamfanya awe fasta katika shughuli zake kwahyo sitaruhusu.Kuvisha chupi zenye vigodoro kuongeza muonekano wa ukubwa wa makalio. Ni kweli hujui au umeona tu unisumbue mkuu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...jamani umenichekesha Sana.Halafu wakivaa hayo majitu wanavyojishongondoa kama wazungu koko.....
Mara arudishe nywele nyuma kwa kidole, mara ajitikise bichwa eti nywele zirudi nyuma kama za mzungu. Amejitwika na makucha kama jini maimuna.
Wigi lenyewe gumu kama katani grade C. Akizungusha bichwa makatani yanajigeuza mzobe mzobe kama helmet.
Halafu sijui nani kawaambia wanapendeza?
Hakuna tofauti wote wanataka kupendeza TU...Eti naulizaa, amyevaa wigi ni tofauti na anayevaa kigodoro?
Kama ni tofauti please nisaidie kutofautisha kabla sijakubaliana na wazo la bagonza "penye wigi waweza weka kigodoro"
Sasa Cariha,kwani lazima uvae wigi?,Hivi ukisuka yebo huwezi kupendeza,Ukisuka kawaida huwezi kupendeza?.Nikose tu mwanaume anayeshindwa kufanya Mambo ya kiume na kuniambia nisifanye nitakacho hanifai huyo, lazima aelewe vitu ninavofanya ni kwa sababu ni mwanamke na hormones za kike ningekuwa wakiume navaa mawigi na kujipodoa ana haki ya kunikataza
Mkuu napenda kubadili mapigo ka kinyonga nikitaka kitu nafanya nisipotaka sifanyi tena mtu akinipigia kelele naenda kununua mengi nivae vizuri, siwezi suka yeboyebo daily huwa zinachoshaSasa Cariha,kwani lazima uvae wigi?,Hivi ukisuka yebo huwezi kupendeza,Ukisuka kawaida huwezi kupendeza?.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Halafu wakivaa hayo majitu wanavyojishongondoa kama wazungu koko.....
Mara arudishe nywele nyuma kwa kidole, mara ajitikise bichwa eti nywele zirudi nyuma kama za mzungu. Amejitwika na makucha kama jini maimuna.
Wigi lenyewe gumu kama katani grade C. Akizungusha bichwa makatani yanajigeuza mzobe mzobe kama helmet.
Halafu sijui nani kawaambia wanapendeza?
Duh!!!!,Umeolewa ?Mkuu napenda kubadili mapigo ka kinyonga nikitaka kitu nafanya nisipotaka sifanyi tena mtu akinipigia kelele naenda kununua mengi nivae vizuri, siwezi suka yeboyebo daily huwa zinachosha
SijaolewaDuh!!!!,Umeolewa ?
[emoji23][emoji23][emoji23] ubishi nao ni kipaji ndugu yanguwitnessj nawajua Sana kina Joanah na cariha Hawa viumbe nawajua in out haswa ubishi wa cariha haka kadada kabishi Sana sijawahi kuona lkn joanah yeye anauzungu mwingi hasa yale mavazi yake yananikoshaga Sana huwa hapendi kuvaa nguo nying ananiambiaga zinamkera au kwa sababu ya joto la DSM sina uhakika
Yote tisa kumi nawapa salama ziwafikie
kichwa tofali😂😂😂Kuna wengine bila mawigi huwezi ongozana nao
Kweli kabisa, akina Oprah, Tina Turner, Whitney Houston ni takataka na hawajiamini.Wanawake wanaovaa ma wig wengi wao hawajiamini
Takataka kabisaKweli kabisa, akina Oprah, Tina Turner, Whitney Houston ni takataka na hawajiamini.
Takataka zinazowafanya daima waonekane vijana, na zinawaingizia $$$, na wapenzi (wenza) wanao.Takataka kabisa
[emoji23][emoji23]Tena umenikumbusha kuna wigi nataka nikachukue.
I can't wait [emoji847][emoji847]