Nawapa siri kubwa wanawake: Ukitaka mwanaume akuone kama takataka, vaa wigi

Sawa
 
Sasa haujaolewa halafu unakataa kuja PM,isije fika miaka ile ya kukesha madhabahuni ukisaka mume kwa udi na uvumba
Mimi niolewe au nisiolewe I don't care na amani, na siwezi kesha kulia niolewe, Mimi humwomba Mungu na kumshjkuru anizidiehie kipato hyo ndo furaha. Hyo kukesha eti nipate mwanaume I will never waste my energy and my time
 
Hizi nyuzi za mawigi zimefufuka Tena[emoji1787]
Kuna ule mmoja yaani nilicheka nusu nizimie...wanaume nyie ni wanafiki Sana.
 
Mimi niolewe au nisiolewe I don't care na amani, na siwezi kesha kulia niolewe, Mimi humwomba Mungu na kumshjkuru anizidiehie kipato hyo ndo furaha. Hyo kukesha eti nipate mwanaume I will never waste my energy and my time
Sawa, mume sio lazima, ila hakikisha unashika mimba na kuzaa angalau, hakuna atakae kuuliza kuhusu mume kama una mtoto wa kwako unayemlea, trust me.
 
Sawa, mume sio lazima, ila hakikisha unashika mimba na kuzaa angalau, hakuna atakae kuuliza kuhusu mume kama una mtoto wa kwako unayemlea, trust me.
Umeandika ukweli Ila huyo anayefatilia yangu ana shida, maana ndoa ni exaggerated Sana kuliko uhalisia
 
Mimi niolewe au nisiolewe I don't care na amani, na siwezi kesha kulia niolewe, Mimi humwomba Mungu na kumshjkuru anizidiehie kipato hyo ndo furaha. Hyo kukesha eti nipate mwanaume I will never waste my energy and my time
Subiri msimu wa baridi,tuone km utaendelea na kauli yako hii
 
Afu wew[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…