Ya Malawi yanaenda kutokea Tanzania sasaMaccm yakiona hii hotuba yatatamani yajinyonge...!!
T2020TAL hakuna namna ya kumzuia kushinda, japokuwa mafciem yanajiamini!
Ukweli ni kwamba kilichotokea kwenye uchaguzi wa TLS 2017 kitajirudia tena!!
Tanzania kuna kitu gani cha kuficha Mkuu, watu wakitaka data wanapata tu, au hujui jinsi wachina wanavodukua data kwa kinara wa dunia marekani pamoja na ujanja wao wote sembuse sisi bongoLisu ni sawa na mwanamke anayetoa nje siri ya ndani ya nyumba.. Ameichafua sana nchi huko Ulaya na Marekani, hovyo kabisa, haifai hata kuwa balozi wa nyumba 10!!
TL 2020 hana mpinzaniHii ni leo tarehe 8/8/2020 mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT...
Ni hotuba iliyojaa ukweli lakini nyuma yake ikimjaza upepo mpinzani wake mkuu Bwana Magufuli. Ni hotuba inayoamusha hisia za maudhi. Lakini afanyeje sasa maana hayo ndiyo katenda kweli...?
Huu ni mwanzo tu...
Kampeni za mwaka huu ni za piga nikupige. Ni za kufa na kupona. Lakini mwisho wa siku lazima opponent mmoja apigwe kwa KO...
Nimemtazama na kumsikiliza hadi mwisho huyu ndugu. Nikagundua haya yafuatayo;
å Lissu anajua kucheza na kulitawala jukwaa la kampeni....
å Anajua kuisoma hadhira yake na kuipa jambo analotaka liwaingie kwa lugha rahisi sana kueleweka....
å Lissu anajua kumuudhi mshindani wake....
å Lissu anajua kujitetea mwenyewe....
å Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa mambo mengi ya kimataifa na ya ndani ya nchi....
MAGUFULI wa CCM ni tatizo. Hafai na hana hata hadhi wala sifa ya kuitwa "Dr........."
Huyu hafai kuwa Rais wa nchi hii tena. Uwezo wake mdogo sana....
Tutaambiwa Ghadaffi alikuwa Rais wa Kuwait...
View attachment 1531552
sisi tuko peace hatuna cha kuficha mambo yetu JPM kayaweka kwenye mstari mpaka wanablooTanzania kuna kitu gani cha kuficha Mkuu, watu wakitaka data wanapata tu, au hujui jinsi wachina wanavodukua data kwa kinara wa dunia marekani pamoja na ujanja wao wote sembuse sisi bongo
Maendeleo gani yaliyofanywa na CCM??? Kuharibu biashara za mazao kama korosho na mbaazi??? Kuharibu uchumi wa nchi na kutengeneza majobless??!Huyo mwenye hoja ya ulaghai na upotoshaji. Eti anataka kupotosha ukweli kuwa tunapingana na mabeberu wakati tuna wahitaji.
Mh JPM hili kaliweka wazi mahusiano yetu na mabeberu yawe ni wini wini sio yale ya kudanganywa au kulazimishiwa ushoga.
Katika hili Lissu kapotosha, yeye mwaka 2020 anataka mahusiano yale ya 1970 ya kusaidiwa unga wa yanga? AMA yale ya kupewa vyandaru huku mkiangalia dhahabu ikiondoka kama makanikia?
Ushauri wa bure kwa wapinzani hotuba zenu mkifikiri kubeza mambo ya maendeleo yaliyofanywa na serikali ya CCM awamu hii mtaishia kuonekana kichekesho kwa walio wengi.
Saa nyingine unabaki kushangaa akili za cdm na viongozi wao. Mara tu wamesahau CCM walikuwa wanaogopa kuvaa hata sare zao, leo hii cdm ndio wanawaita rangi ya migomba. Wivu wao wakiona jinsi kila mwanaccm anavyojivunia sare za chama chake. Hili nalo halitoshi kuwapa ujumbe?
Piga kelele kwa Magufuli wakeeeeeeeeeHii ni leo tarehe 8/8/2020 mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa JMT...
Ni hotuba iliyojaa ukweli lakini nyuma yake ikimjaza upepo mpinzani wake mkuu Bwana Magufuli. Ni hotuba inayoamusha hisia za maudhi. Lakini afanyeje sasa maana hayo ndiyo katenda kweli...?
Huu ni mwanzo tu...
Kampeni za mwaka huu ni za piga nikupige. Ni za kufa na kupona. Lakini mwisho wa siku lazima opponent mmoja apigwe kwa KO...
Nimemtazama na kumsikiliza hadi mwisho huyu ndugu. Nikagundua haya yafuatayo;
å Lissu anajua kucheza na kulitawala jukwaa la kampeni....
å Anajua kuisoma hadhira yake na kuipa jambo analotaka liwaingie kwa lugha rahisi sana kueleweka....
å Lissu anajua kumuudhi mshindani wake....
å Lissu anajua kujitetea mwenyewe....
å Lissu ana ufahamu mkubwa sana wa mambo mengi ya kimataifa na ya ndani ya nchi....
MAGUFULI wa CCM ni tatizo. Hafai na hana hata hadhi wala sifa ya kuitwa "Dr........."
Huyu hafai kuwa Rais wa nchi hii tena. Uwezo wake mdogo sana....
Tutaambiwa Ghadaffi alikuwa Rais wa Kuwait...
View attachment 1531552
Ushoga haupo acha uongo CCM wakienda ulaya hupiga magoti kuomba omba misaada na huwaita wazungu ni wahisani wafadhili, lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga unyanyasaji wao hukimbilia kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM wao ni mbuzi jikeHuyo mwenye hoja ya ulaghai na upotoshaji. Eti anataka kupotosha ukweli kuwa tunapingana na mabeberu wakati tuna wahitaji.
Mh JPM hili kaliweka wazi mahusiano yetu na mabeberu yawe ni wini wini sio yale ya kudanganywa au kulazimishiwa ushoga.
Katika hili Lissu kapotosha, yeye mwaka 2020 anataka mahusiano yale ya 1970 ya kusaidiwa unga wa yanga? AMA yale ya kupewa vyandaru huku mkiangalia dhahabu ikiondoka kama makanikia?
Ushauri wa bure kwa wapinzani hotuba zenu mkifikiri kubeza mambo ya maendeleo yaliyofanywa na serikali ya CCM awamu hii mtaishia kuonekana kichekesho kwa walio wengi.
Saa nyingine unabaki kushangaa akili za cdm na viongozi wao. Mara tu wamesahau CCM walikuwa wanaogopa kuvaa hata sare zao, leo hii cdm ndio wanawaita rangi ya migomba. Wivu wao wakiona jinsi kila mwanaccm anavyojivunia sare za chama chake. Hili nalo halitoshi kuwapa ujumbe?
Hayajazoeleka awamu hii mkuuNi kwamba Magufuli ndio hawezi siasa za ushindani, wakati wa kina Mtikila maneno yalikuwa makali kuliko hayo. Hiyo ndio siasa boss.
Mungu atutendeeYa Malawi yanaenda kutokea Tanzania sasa
Hayajazoeleka kipindi hiki mkuuMbona ameongea maneno ya kawaida kwenye siasa? Acheni woga ndugu. Utawaambukiza watu woga bila sababu.
CCM haina maendeleo hata makaburu wa South Africa walikuwa na maendeleo makubwa mno kupita CCM mara 100Maendeleo gani yaliyofanywa na CCM??? Kuharibu biashara za mazao kama korosho na mbaazi??? Kuharibu uchumi wa nchi na kutengeneza majobless??!
Magufuli lazima ashinde, je upinzani tumejiandaaje kumlinda Tundu lisu kwa miaka mitano ijayo, akiwa hana nafasi yoyote serikalini ?Maccm yakiona hii hotuba yatatamani yajinyonge...!!
T2020TAL hakuna namna ya kumzuia kushinda, japokuwa mafciem yanajiamini!
Ukweli ni kwamba kilichotokea kwenye uchaguzi wa TLS 2017 kitajirudia tena!!
Itabidi wayazoee, tena nondo zaidi ya hizi.Hayajazoeleka kipindi hiki mkuu
Kamati kuu ya CCM inaenda kuvurunda zaidi kwa kuwachuja wagombea ubunge kwa hila fitna majungu ya kutengeneza wakati wagombea wa kura za maoni wote walitoa Rushwa hakuna CCM hakutoa Rushwa, badala warudie upya uchaguzi wote wanaenda kufanya uonevu kwa baadhi yao kuwakata majina yao, hapo ndipo waliokatwa watafanya yao na chadema kuingia ikulu kiulaini.Tatizo ccm wanamtegemea zaid jiwe,kwa hiyo anachofanya lisu ni kumdhoofisha kabla ya kampein ili wakose cha kuongea!