Hapa ndipo shida ilipoanzia, mtu kudhani nchi ni sawa na nyumba yake na wananchi ni kama wake zake ni uendawazimu!Lisu ni sawa na mwanamke anayetoa nje siri ya ndani ya nyumba.. Ameichafua sana nchi huko Ulaya na Marekani, hovyo kabisa, haifai hata kuwa balozi wa nyumba 10!!
Sahau,,, ukiamka utamkuta JPM yupo Ikulu we endelea tu kuota...Lissu ndiyo rais wako View attachment 1531642
Hahaa na ile SGR hazita dumu sio..? Vipi kuhusu mradi wa kufua umeme, barabara, Corona, Ikulu ya chamwino, Terminal 3, Zile ndege n.k vyote havitadumu...?Tatizo la Magufuli ni kama ifuatavyo
1. Anaogopa mfumo wa utawala kupitia taasisi... anataka yeye ndio awe taasisi na aamua anavyo taka.. Ndio maana wengi wanasema mambo mengi anayo yafanya hayatadumu labda madaraja tuu.. lakini issue na madini na mikataba tayari zimemshinda kwa sababu kwanza bado ni siri..
2. Diplomasia ana ikwepa kitu ambacho atakwamba kwa sababu dunia ina wenyewe cha msingi cheza kwa akili.
3. Anaongelea zaidi vitu kuliko sera na utawala bora.
Mkuu ushtuki tril 40 mkopoHahaa na ile SGR hazita dumu sio..? Vipi kuhusu mradi wa kufua umeme, barabara, Corona, Ikulu ya chamwino, Terminal 3, Zile ndege n.k vyote havitadumu...?
Acheni wenge kashafanya vinavyoonekana na uzuri watanzania tumeviona ...
Bado tunamuamini JPM
Ushamba ni mzigo... wewe unadhani Ulaya na Marekani hawajui kinachoendelea hapa TanzaniaLisu ni sawa na mwanamke anayetoa nje siri ya ndani ya nyumba.. Ameichafua sana nchi huko Ulaya na Marekani, hovyo kabisa, haifai hata kuwa balozi wa nyumba 10!!
Tulia wewe mchawi wa kutumia fisi,kama hujamuelewa rudia kumsikiliza ,usikurupuke kujikomba kwa watawala.Kwani hiyo ndiyo ilani ya uchaguzi ya CHADEMA?? Hivi kwa akili yako unadhani watanzani ni wajinga kiasi gani kumchagua huyo mropokaji?
Hilo wanajifanya kuvalia miwani ya mbao na masikio kuyashindilia pambaMkuu ushtuki tril 40 mkopo
Waache waendelee kujidanganyaUshamba ni mzigo... wewe unadhani Ulaya na Marekani hawajui kinachoendelea hapa Tanzania
Mataga wote wamepigwa na butwaa baada ya kumuona mh Lissu anarudi akiwa fit, kiakili na kimwiliTulia wewe mchawi wa kutumia fisi,kama hujamuelewa rudia kumsikiliza ,usikurupuke kujikomba kwa watawala.
Hakuna kipya,,, kama mabeberu Lis ndo mkumbatia mabeberu mkubwa....Mkuu ushtuki tril 40 mkopo
Tundu Lisu amefanya mashambulizi makali kwa Magufuli leo mara baada ya kuchukua fomu, amemsema Magufuli kwa namna amabavyo hajawahi kusemwa kwa miaka mingi huku wananchi wakishangilia
kwa mwendo huu Tume ya Uchaguzi na System nzima Tanzania huenda wakamuengua asigombee maana itakuwa hatari kwa mashambulizi anayoyafanya, Chadema na yeye mwenyewe wangejizuia kwanza wafanye kila kitu kwa upole kisha kampeni zikikolea mashambulizi ndio yakolee kiasi
Subiri campaign.Lisu ajikite kutuambia atakayoyafanya, kila mtu anajua strength na weakness za Magufuli hivyo tumechoka kuzisikia.
Ni wakati muafaka sasa upinzani hasa Lisu kuanza kutumegea mikakati waliyo nayo katika kutuvusha kutoka hapa tulipo kwenda pazuri zaidi.
Tumechoka kila siku kusimuliwa blunder za Magufuli
Lugha chafu ni ipi , hebu iainisheKama ni kweli, basi angeacha lugha chafu katika kujenga kwake hoja. Lugha chafu na matusi si sehemu ya kujenga hoja!
Tatizo lenu mnataka majibu ya mkato kwa mambo magumu.Aliahidi akipona atakuja kutueleza simulizi(He Survived to Tell the Tale),subirini wakati ukifika mtaelezwa yote.Ndipo mtakapofahamu kuwa ubaya haulipi kamwe.Kwani hiyo ndiyo ilani ya uchaguzi ya CHADEMA?? Hivi kwa akili yako unadhani watanzani ni wajinga kiasi gani kumchagua huyo mropokaji?
Nadhani ww ni shahidi wa uhuru waliokuwa wanagombania unaowaita wapigania uhuru wa SA leo SA imekuwa nchi ya ajabu kabisa ukiangalia uchumi ulivyokuwa kabla ya hao unaowaita wapigania uhuru hawajaingia madarakani ni tofauti sana na ilivyo sasa kingine ni uhuru gani unautaka upewe unataka uhuru wa kutukana mitandaoni ? Nitajie nchi moja tu duniani ambayo inadhani inauhuru wa mwanachi kufanya chochote anachojisikia ? Acheni propaganda za kijinga kuwadanganya mtawaletea sijui uhuru leo Chama kinachoitwa cha Democracy hakuna hyo Democracy moja ya sifa ya Democracy ni smooth transition of power je chadema ipo hyo?Wewe ndiyo mpuuzi kabsa? Maendeleo yapi? Maendeleo siyo Hisani za CCM maendeleo hayaletwi na pesa binafsi toka mfukoni mwa mtukufu , wewe mwenyewe hujielewi unawaje kumwelewa Tundu lisu? Kule Africa kusini kuna maendeleo makubwa zaidi ya Tanzania ambayo yaliletwa na makaburu lakini wapigania uhuru walikataa kuishi kama mashetani wakadai uhuru wao na maisha yanaendelea vizuri
Kwani hiyo ndiyo ilani ya uchaguzi ya CHADEMA?? Hivi kwa akili yako unadhani watanzani ni wajinga kiasi gani kumchagua huyo mropokaji?
Inaitwa "you can fool some people some time but not all the people all the time"