Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Sikuzidi weweHaunaa akili
Bora ccm kuliko hao wanaoigiza upinzani kupoteza vijana mda kumbe matapeliKwahiyo unawashauri vijana waisusie nchi yao wahamie mpirani kwenye Simba na Yanga? Hakuna kitu sisiem wanainjoi kama hicho.
Btw, hao mafisadi waliopo siku wakifikia mwisho wao wakajikatia moto nchi itaongozwa na TFF?
Nilidhani unazungumzia siasa vs soccer, kumbe chawa mzuri tu upo kwenye sisiem vs CDM.Bora ccm kuliko hao wanaoigiza upinzani kupoteza vijana mda kumbe matapeli
We ni chawa wa chama Gani?Nilidhani unazungumzia siasa vs soccer, kumbe chawa mzuri tu upo kwenye sisiem vs CDM.
TFF.We ni chawa wa chama Gani?
SawaTFF.
Nipo kwenye mpira, kama ulivyoshauri mkuu.
Huna point. Tuache siasa nchi iuzwe na wajingaKatika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia
Hujielewi we unaona haijauzwa hii au akili zako imeozaš¤£Huna point. Tuache siasa nchi iuzwe na wajinga
SahihiKaka mm nakuunga mkono one hundred percent.
Acha ushamba kwanza ndio uzungumze na mimiAcha ujuaji
Siasa lazima tufuatilie. Wewe tafuta hela na kushabikia Mpira tusipangiane chakufanyaHujielewi we unaona haijauzwa hii au akili zako imeozaš¤£
Unamsongo wa mawazo wa umasikini Mimi sijapangia mtu nimesema nawashauri vijana na wewe sio kijana ni mzee ambae hata banda la kulala huna wenzio wakiendesha V8 Sasa nashangaa unatoa povuSiasa lazima tufuatilie. Wewe tafuta hela na kushabikia Mpira tusipangiane chakufanya
Sijakuzidi weweHuna akili