Nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela halafu shabikieni mpira achaneni na mambo ya siasa

Nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela halafu shabikieni mpira achaneni na mambo ya siasa

Katika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia
Ccm imebeba takataka za kila aina ;Unakuta hadi wewe mwanachama wao😁😁😁
 
Mpira sio maisha wala hauna maamuzi yoyote kuhusu maisha ya binadamu. Siasa ni maisha kuanzia unapoamka mpaka unapolala.

Mwanafalsafa wa kigiriki Aristotle aliwai sema kuwa " human being is a political animal by nature". Hii ni kutokana na kutojitosheleza mwenyewe yaani ni self insufficient anahitaji kuijaamiana na wengine ili maisha yaende na hii ndio siasa.

Hata wewe unachofanya kuwapanga watu kila siku sijui umasikini etc ni siasa ili ujitosheleze. Kwahiyo siasa itajadiliwa milele yote na itafanywa milele yote bila kukoma sababu ndio maisha ya watu na ndio inaongozwa ulimwengu wote sio mpira.
 
Katika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia
Hapa unafanya siasa

Achana na siasa deal na jamaa aliopiga pila la kufa mtu huko uwanjani
 
Mpira sio maisha wala hauna maamuzi yoyote kuhusu maisha ya binadamu. Siasa ni maisha kuanzia unapoamka mpaka unapolala.

Mwanafalsafa wa kigiriki Aristotle aliwai sema kuwa " human being is a political animal by nature". Hii ni kutokana na kutojitosheleza mwenyewe yaani ni self insufficient anahitaji kuijaamiana na wengine ili maisha yaende na hii ndio siasa.

Hata wewe unachofanya kuwapanga watu kila siku sijui umasikini etc ni siasa ili ujitosheleze. Kwahiyo siasa itajadiliwa milele yote na itafanywa milele yote bila kukoma sababu ndio maisha ya watu na ndio inaongozwa ulimwengu wote sio mpira.
Tangia ufanye siasa umepata faida Gani?
 
Katika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia
bila ya siasa hata huo mpira hutoshabikia
 
Katika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia
Je wajua kuna watu wanao zaliwa kinyume na maumbile ya mama zao?
 
Tangia ufanye siasa umepata faida Gani?
Punguza ujinga chief siasa uifanye husiifanye matokeo yake hayakwepeki ndio maana umekuja kuizungumzia hapa, imekuwa designed ili kulinda nature, mpira umekuwa deigned ili kusaidia siasa itawale zaidi

Kulingana na Aristotle hata wewe unachofanya kama kuanzisha kanisa la mipesa ni siasa, Sasa wewe kwakuwa unachofanya ni siasa pia. Kwa nadharia hii nikuulize umenufaika vipi na aina ya siasa unayoifanya?.
 
Back
Top Bottom