Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #41
WeJe wajua kuna watu wanao zaliwa kinyume na maumbile ya mama zao?
Kweli Mimi ni mjinga sababu sipati pesa kwenye siasa ila mtu akiwa ccm nampongeza sana sababu atavuna utajiri wa milelePunguza ujinga chief siasa uifanye husiifanye matokeo yake hayakwepeki ndio maana umekuja kuizungumzia hapa, imekuwa designed ili kulinda nature, mpira umekuwa deigned ili kusaidia siasa itawale zaidi
Kulingana na Aristotle hata wewe unachofanya kama kuanzisha kanisa la mipesa ni siasa, Sasa wewe kwakuwa unachofanya ni siasa pia. Kwa nadharia hii nikuulize umenufaika vipi na aina ya siasa unayoifanya?.