The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Sawa wewe hutakufa utaishi mileleKweli siasa ni na maisha yenyewe ni kutumikishwa na kuuwawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wewe hutakufa utaishi mileleKweli siasa ni na maisha yenyewe ni kutumikishwa na kuuwawa
We nae akili maandaziEndelea kutumikishwa harafu itajulikana nani mjinga wewe usiye na hela au mwenye pesa.
Wewe ambae ni kitumbua endelea kutumika na makamandaWe nae akili maandazi
Hata Mimi siwezi kufa kisa wajinga Fulani wa chademaSawa wewe hutakufa utaishi milele
Sawa kumbe na wewe utaishi mileleHata Mimi siwezi kufa kisa wajinga Fulani wa chadema
Mpumbavu,mwandamizi we we.huna aibuKatika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia
Kweli MTU na akili.zako timamu unawaambia vijana wasifuatilie siasa seriously?? Kuna watu maboya sana.Wewe ambae ni kitumbua endelea kutumika na makamanda
LabdaCcm ni sehemu nzuri kwa kijana anayependa siasa sababu atavuna utajiri
Unatupa almasi kwenye banda la nguruwe, huyo ni mjinga.Mpira sio maisha wala hauna maamuzi yoyote kuhusu maisha ya binadamu. Siasa ni maisha kuanzia unapoamka mpaka unapolala.
Mwanafalsafa wa kigiriki Aristotle aliwai sema kuwa " human being is a political animal by nature". Hii ni kutokana na kutojitosheleza mwenyewe yaani ni self insufficient anahitaji kuijaamiana na wengine ili maisha yaende na hii ndio siasa.
Hata wewe unachofanya kuwapanga watu kila siku sijui umasikini etc ni siasa ili ujitosheleze. Kwahiyo siasa itajadiliwa milele yote na itafanywa milele yote bila kukoma sababu ndio maisha ya watu na ndio inaongozwa ulimwengu wote sio mpira.
TAjiri afadhali nmekuona ukifa huozi wewe n8 chumaKatika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia
UKiwa tajiri lazima uwe tahira kidogoKwahiyo unawashauri vijana waisusie nchi yao wahamie mpirani kwenye Simba na Yanga? Hakuna kitu sisiem wanainjoi kama hicho.
Btw, hao mafisadi waliopo siku wakifikia mwisho wao wakajikatia moto nchi itaongozwa na TFF?
We fala wakuja ushindane na mimi wakati bado unanuka harufu ya mbeya.Acha ushamba kwanza ndio uzungumze na mimi
Sasa Kwa mtazamo wako Tanzania nzima vijana wakianza kushabikia mpira wakaachana na siasa unazanii baada ya miaka 10 nchi itaongozwa na nan?Katika kitu ambacho nawashauri vijana wenzangu tafuteni hela shabikieni mpira ila msishiriki mambo ya siasa sababu africa siasa ni Kwa vijana wajinga tu ambao watapoteza mda wao kumsikiliza mwanasiasa nadhani mmejionea wenyewe kinachoendelea mitandao I mimi natafuta hela nakula bata lakini masikini mmekazana kushupaza shingo kuitukana ccm kumbe wenye matatizo yapo chadema chama kisichotaka demokrasia